Baada ya Wife kuniweka Lockup naona kama natengenezewa mazingira ya ku react nichukue hatua kali

Kwanza pole kwa madhila,binafsi nimegundua kwamba wanaume walio serious na kusaka maisha ni rahisi sana kuteswa na wake zao.Wanawake walio katika ndoa za mitala ama mwanaume mchepukaji ni watulivu kwa waume zao.Ushauri kwa mleta mada ni kuwa ajitahidi upate mwanamke haraka ili iwe fimbo ya kumchapa nayo kwani sidhani kama kuna mwanaume wa kumuoa akiwa na watoto wanne kwa maisha yalivyo kiurahisi bali mume wake ndiyo alitumika kama daraja kwa wanaume walaghai. .Akibaki singo atasumbuliwa lkn akiwa na mwanamke hata kama hajamrasmisha ni fimbo kwa yule mpumbavu.
 
Ningekuwa mimi ndio mmiliki wa mtandao,watu ambao mpo serious kama nyie,nawapa lebo kabisa katika id zenu

Nimeona katiba yenu mpo makini sana
 
Wakati wa kuwana hakikisha watoto wawili unabaki nao ww acha ubwege Tena pambana kiume watoto wawili wabaki kwako ukishindwa hilo Hauna tofauti na lokole
Ni vyema watoto wakalelewa na mmoja tu ili kuepusha mpasuko wa watoto wenyewe kwa wenyewe huko mbeleni. Hii inaweza ikaja kuwa vita mbaya zaidi.
 
Pole sana Mkuu
Nadhani mahusiano yenu yapo hatua mbaya
Nakupongeza zaidi unavo handle situation
Nashauri kama talaka mpe tu
Tuendelee na maisha mengine, japo kama ametembea na watoto kwenye mgao wa nyumba unaweza pata 10%
Umeandika kama huna kichwa. Apate 10% kwa sababu zipi? Kisa watoto. Hao watoto wameshirikiana na wazazi wao kuijenga hio nyumba? Kama hujui kitu ni bora kukaa kimya kuliko kubwabwaja ushuzi kama huu.
 
Nimekuelewa sana chief
 
Ni kwel kuhusu kumpenda, sio uongo, haikua rahisi kukubali hii hali upesi
 
Umeandika kama huna kichwa. Apate 10% kwa sababu zipi? Kisa watoto. Hao watoto wameshirikiana na wazazi wao kuijenga hio nyumba? Kama hujui kitu ni bora kukaa kimya kuliko kubwabwaja ushuzi kama huu.
Nimekudharau sana
 
Yani ulifuma picha za uchi za mkeo akiwa safari kikazi afu hizo picha hakutuma kwako afu kakupeleka dawati eti na wewe unataka yaishe 😂 , inaonekana huyo mwanamke alikuwa anakuendesha kama gari bovu lakini nikupongeze tuu kwa kuwa mtulivu kwenye drama zake umetumia akili kutokunasa kwenye mitego yake. lakini ina uhakika baada ya talaka atakujaga kukumbeleza umsamehe mrudiane mlee watoto na wewe utakubali 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…