min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Kaka nisingefanya hivyo yule mwanamke angekuja kunitesa sana maishani , cha kufanya hapo mgonge talaka yake temana nae kabisa, wala ushauri wa kusuluhisha usiusikilize kabisa atakuja kukusumbua zaidi ya hapo.Daahh..hapa kwakwel ni too much, mtu anakubadilishia kabisaa mfumo wa maisha completelly