Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Kweli kabisa, hijabu hazikutosha hawakufuata ushauri wàko.Mpelekee hijab maana hazitoshi.. anajifunika hijab kama Allah
79)
Chapter: The saying of the Prophet (saws): "Allah does not sleep" and "His veil is light, and if he were to remove it, the splendour of his face would burn all of his creation, as far as has sight reaches".
Reference : Sahih Muslim 179c In-book reference : Book 1, Hadith 352 USC-MSA web (English) reference : Book 1, Hadith 345 (deprecated numbering scheme)
Hadithi zingine ni za kipuuzi sana.
kwa bahati mbaya, wameshauwa.Waswahili wanasema uongozi ni karama. Huyu bwana sinwari anaonekana si wa mchezo mchezo.
Kwanza kaongoza Hamas tawi la kijeshi kuanzia Oktober 7 mpaka Leo. Israel anauwa Lebanon , Syria , Iraq, Iran na Yemen lakini wamemshindwa mwanaume yupo Gaza Km 30 kutoka boda ya Israel na Palestine.
Sinwar ameingia katika uongozi na kukataa zaidi ya mara tati sasa mapendekezo ya US, Egypt na Qatar katika usuluhisho ambao inaonekana ku favor Israel.
Alipoiingia Sinwar Hezbollah ni kama wametiwa mafuta kwenye moto hawapoi ni kumwaga moto tu
Hakika Hamas mmepata kiongozi atakae wavusha. Kamanda Yahya Sinwar.
View attachment 3080047
TeyariYaani Israel itishwe na hiko kikaragosi, kikikaa kindezi kitaungana na wale mabikra 72
Kiko wapi muwe mnaweka akiba ya maneno!Pole najua inauma
Nani anafuatia..Mwaka hamalizi ataingia kwenye kilengeo tu. Si huyo bingwa amekoswakoswa juzi mlangoni kwake.
Kila nikisoma uzi huu naona aibu mimi yaani!Waswahili wanasema uongozi ni karama. Huyu bwana sinwari anaonekana si wa mchezo mchezo.
Kwanza kaongoza Hamas tawi la kijeshi kuanzia Oktober 7 mpaka Leo. Israel anauwa Lebanon , Syria , Iraq, Iran na Yemen lakini wamemshindwa mwanaume yupo Gaza Km 30 kutoka boda ya Israel na Palestine.
Sinwar ameingia katika uongozi na kukataa zaidi ya mara tati sasa mapendekezo ya US, Egypt na Qatar katika usuluhisho ambao inaonekana ku favor Israel.
Alipoiingia Sinwar Hezbollah ni kama wametiwa mafuta kwenye moto hawapoi ni kumwaga moto tu
Hakika Hamas mmepata kiongozi atakae wavusha. Kamanda Yahya Sinwar.
View attachment 3080047
Waswahili wanasema uongozi ni karama. Huyu bwana sinwari anaonekana si wa mchezo mchezo.
Kwanza kaongoza Hamas tawi la kijeshi kuanzia Oktober 7 mpaka Leo. Israel anauwa Lebanon , Syria , Iraq, Iran na Yemen lakini wamemshindwa mwanaume yupo Gaza Km 30 kutoka boda ya Israel na Palestine.
Sinwar ameingia katika uongozi na kukataa zaidi ya mara tati sasa mapendekezo ya US, Egypt na Qatar katika usuluhisho ambao inaonekana ku favor Israel.
Alipoiingia Sinwar Hezbollah ni kama wametiwa mafuta kwenye moto hawapoi ni kumwaga moto tu
Hakika Hamas mmepata kiongozi atakae wavusha. Kamanda Yahya Sinwar.
View attachment 3080047a
Asingefika mbali, wengi huwa wanaishi kwa sababu za kidiplomasiàtu sio kwa sababu wanajificha IDF isipofika. Hata babu wa Iran hana pa kujificha ninsuala la Muda tu wakiamua analambishwa sakafuNani anafuatia..
Badooo unaendelea na tarumbetaaa hiziiiWaswahili wanasema uongozi ni karama. Huyu bwana sinwari anaonekana si wa mchezo mchezo.
Kwanza kaongoza Hamas tawi la kijeshi kuanzia Oktober 7 mpaka Leo. Israel anauwa Lebanon , Syria , Iraq, Iran na Yemen lakini wamemshindwa mwanaume yupo Gaza Km 30 kutoka boda ya Israel na Palestine.
Sinwar ameingia katika uongozi na kukataa zaidi ya mara tati sasa mapendekezo ya US, Egypt na Qatar katika usuluhisho ambao inaonekana ku favor Israel.
Alipoiingia Sinwar Hezbollah ni kama wametiwa mafuta kwenye moto hawapoi ni kumwaga moto tu
Hakika Hamas mmepata kiongozi atakae wavusha. Kamanda Yahya Sinwar.
View attachment 3080047
Mwanangu hapa ulimaliza kila kitu.Mwaka hamalizi ataingia kwenye kilengeo tu. Si huyo bingwa amekoswakoswa juzi mlangoni kwake.
Huyu member Sasa hivi atakuwa Yuko jikoni kuandaa shombo jingine .Waswahili wanasema uongozi ni karama. Huyu bwana sinwari anaonekana si wa mchezo mchezo.
Kwanza kaongoza Hamas tawi la kijeshi kuanzia Oktober 7 mpaka Leo. Israel anauwa Lebanon , Syria , Iraq, Iran na Yemen lakini wamemshindwa mwanaume yupo Gaza Km 30 kutoka boda ya Israel na Palestine.
Sinwar ameingia katika uongozi na kukataa zaidi ya mara tati sasa mapendekezo ya US, Egypt na Qatar katika usuluhisho ambao inaonekana ku favor Israel.
Alipoiingia Sinwar Hezbollah ni kama wametiwa mafuta kwenye moto hawapoi ni kumwaga moto tu
Hakika Hamas mmepata kiongozi atakae wavusha. Kamanda Yahya Sinwar.
View attachment 3080047
Shombo ndio niniHuyu member Sasa hivi atakuwa Yuko jikoni kuandaa shombo jingine .
Bado nipo sana hii vita Bado mbichi sanaaBadooo unaendelea na tarumbetaaa hiziii
Tuketeeen mwingineeeeeee mmojammmojaaaa
Haitasaidia kusimamisha vitaAnakisiwa kauliwa leo.
Saaana hadi ayatollah aharishie remba lakeBado nipo sana hii vita Bado mbichi sanaa