Baadhi ya fani zenye ajira kubwa Duniani: Wazazi somesheni watoto nje Degree za Cyber Security na Aeronautical Engineering

Baadhi ya fani zenye ajira kubwa Duniani: Wazazi somesheni watoto nje Degree za Cyber Security na Aeronautical Engineering

Hahah kuna mwana alisoma Robortics&Artificial intelligence akajifanya mzalendo akarudi zake bongo.

Kapigwa vumbi balaa hakuna kazi wala nini kajaribu kufanya projects/start up za hapa na pale(Funds zikawa ni kikwazo) akapoteza miaka 4 yake hapa bongo.

Akaona upuuzi huu,akatafuta scholarship yuko Sweden.
Mkuu huo ndiyo ukweli, Tz hatuna ubunifu. Tumejaa ukiritimba. Natamani Dkt Magufuli angekuwa ndiye waziri wa Elimu nadhani angekuwa ameliona hili. Unakuta nchi kama nchi haijui idadi ya wasomi wake wanaorejea toka nje za nchi na haijui wamerejea na utalaamu gani ili utumike pahala gani kwa manufaa ya nchi. Nchi imejaa majungu majungu tu. Balozi zetu ndiyo sehemu ya kupigia per diem, hawafahamu kabisa umuhimu wa diaspora, ikitokea umeenda ubalozi wanakuona wewe ni mkimbizi. In short Dkt Magufuli hajapata viongozi mathubuti wenye maono wa kuongoza wizara ya Elimu. Huyo mdau unayemsema si yeye tu, kuna mtu nasikia alisomea mambo ya acturial nje za nchi alivyorejea alikula msoto mpaka akaamua kurudi huko alikotoka.
 
Dah mkuu unatu motivation speaker au ya kweli haya.

Yaani utaamjniwa vipi bila cheti sasa??
Hebu tufafanulie kabla hatujaenda darasani.
Me nilisoma ICT(informational communication technology)
Cheti kweli ni muhimu endapo practically ukawa upo vizuri,lkn unaweza ukawa na cheti kizuri lkn practically ukawa shallow,hapo cheti chako ktk field ya IT hakitokusaidia.

Kuna dogo mmoja alikuwa anasoma UCC pale diploma huku akiwa anapiga CCNA field alikuwa anafanyia TTCL,yule dogo alipata kazi kwenye maswala ya ATM huku akiwaacha watu na bachelor zao na sasa hivi bosi pamoja na diploma yake.
 
The majority of entry-level
cybersecurity jobs do not
require coding skills. However, being able to write and understand code may be necessary for some mid-level and upper-level cybersecurity positions that you will become qualified for after you've built a few years of experience.

Huo ndo uhalisia uliopo.
Basi sijui manake jamaa ni wanangu nawajua udhaifu wao na wao wanakili code wana unga unga tu.

Kweli kwa dunia ya sasa code ni muhimu sababu ina rahisisha vitu vingi sana,mimi mwenyewe kwenye field yangu tumembiwa ,ili uwe best Network Engineer kwa siku za mbele basi lazima ujue code na ni kweli mimi mwenyewe nimeanza kuona.

Ila jamaa zangu wa cyber code wana niambia hawagusi kabisa.
 
Cheti kweli ni muhimu endapo practically ukawa upo vizuri,lkn unaweza ukawa na cheti kizuri lkn practically ukawa shallow,hapo cheti chako ktk field ya IT hakitokusaidia.

Kuna dogo mmoja alikuwa anasoma UCC pale diploma huku akiwa anapiga CCNA field alikuwa anafanyia TTCL,yule dogo alipata kazi kwenye maswala ya ATM huku akiwaacha watu na bachelor zao na sasa hivi bosi pamoja na diploma yake.
We we jamaa unanifungua akili sana aseeh
So kwa kuanzia naweza pata wapi nondo??
 
We we jamaa unanifungua akili sana aseeh
So kwa kuanzia naweza pata wapi nondo??
Kwanza wewe mwenyewe tambua unataka nini,hii utakusaidia kufanya kitu unachokipenda sababu field za IT zina badilika sana so unachokifanya hakikisha unakipenda,labda unataka Database(MySql,Oracle),Programming(python,Java,C++,PHP,Go),Networking (Cisco,Juniper,Huawei nk),Server,Cyber,System Analysis and Design.

Ukishajipima wewe mwenyewe unachokiweza na kukipenda,sasa ingia youtube mule kuna tutorial nyingi tu,download utapata maelekezo yote au ingia torrent napo kuna tutorial nyingi download video na vitabu,baada ya hapo soma sana theory na practical,ukishajilizisha sasa unaweza kwenda level za juu ktk hiyo field.

Husiogope mwanzo mgumu,mimi networking nimeijulia baada ya kumaliza chuo.Chuo nimetoka mweupe mimi na cheti changu ila skills sina,nilisoma Network YouTube na kuna vitabu nilivisoma ndivyo vilivyonisaidia.
 
Ukweli ni huu kwa Afrika
Kuna degree Tanzania hamna ila zina soko sana duniani, vijana wa PCM zinawafaa.

Wazazi, mkiwa na pesa na mkiwa na watoto wazuri waliofaulu vizuri PCM pelekeni Ulaya au Marekani wakasome degree za Cyber Security na Aeronautical Engineering.

Ni baadhi ya hot cake degrees, dunia nzima inawataka.
 
Kuna degree Tanzania hamna ila zina soko sana duniani, vijana wa PCM zinawafaa.

Wazazi, mkiwa na pesa na mkiwa na watoto wazuri waliofaulu vizuri PCM pelekeni Ulaya au Marekani wakasome degree za Cyber Security na Aeronautical Engineering.

Ni baadhi ya hot cake degrees, dunia nzima inawataka.
Ukweli wa Afrika ni huu.
IMG-20200622-WA0003.jpeg
 
Basi sijui manake jamaa ni wanangu nawajua udhaifu wao na wao wanakili code wana unga unga tu.

Kweli kwa dunia ya sasa code ni muhimu sababu ina rahisisha vitu vingi sana,mimi mwenyewe kwenye field yangu tumembiwa ,ili uwe best Network Engineer kwa siku za mbele basi lazima ujue code na ni kweli mimi mwenyewe nimeanza kuona.

Ila jamaa zangu wa cyber code wana niambia hawagusi kabisa.
Labda ni sahihi kwa upande wao.Sababu huu uwanja hauhitaji sana coding especially entry level. Ila kuna wakati unaweza amua ku-move on.Na kadri unavyoendelea kwenda juu basi kujua programming hakuepukiki.Unaweza kuwa mtaalamu wa career fulani katika level za nchi yako.Ila tukiku-rank according to international standard unakuwa mweupe.Yaweza kuwa hiyo inatokana na mwamko wenyewe wa career husika kwa nchi hiyo.Mfano sisi Tz upande wa Infosec bado.Na hata mtu akiwa hata hatua zile za awali T unaweza kumwita 'professional'.Mfano upande wa cyber security huwa wanajali sana certifications.Na wana cert yao maarufu inaitwa CISSP.Hii ukiwa nayo ndo wanasema umeingia rasmi kwa hii carrier.Ila uliza wabongo wangapi wanayo.Wachache sana.Wengi wanaojiita wataalamu wa cyber kwetu hawana.Kuna mwingine nilimwambia kuhusu certs akanicheka.Akasema dunia ya leo haihitaji certs ni skills tu.Nikasema poa.Ila nakumbuka 2017 TCRA walitoa ajira upande huu.Tukazicheki.Ilikuwa inahitaji experience ya miaka mitatu sijui.Sema niliyomwambia yote aliyakuta.hata hiyo cert ilihitajika.Pamoja na vingine pia.Hata programming ilihitajika pia(java,c).Akachukua maamuzi ya kujiendeleza.So coding inahitajika kwa upande wa level za juu kaka.Kuna article nzuri sana nilikuwa naisoma ntakupatia nikiitafuta tena.Inaeleza vizuri sana.
Ila pia hii nyanja ukiipiga vema ukajiendeleza ukawa tayari kwa ushindani wa kimataifa inakutoa vizuri sana.Kuna jamaa yangu ambaye kwangu ni kama role model wangu kwenye haya mambo aliamua kuikamatia hii ngoma.Kachukua certs zote za entry level. Kajiendeleza akabeba hadi vile vya level za juu.Alikuwa anahudhuria hadi makongamano ya hawa watu huko Marekani.Sasa hivi anafanya kazi UK kama senior kwenye haya mambo,analipwa £500 per day!
Mimi nami nilipanga hii iwe carrier yangu sema nilijitoa nilipoona ina 'multiple layers'.
 
Mkuu huo ndiyo ukweli, Tz hatuna ubunifu. Tumejaa ukiritimba. Natamani Dkt Magufuli angekuwa ndiye waziri wa Elimu nadhani angekuwa ameliona hili. Unakuta nchi kama nchi haijui idadi ya wasomi wake wanaorejea toka nje za nchi na haijui wamerejea na utalaamu gani ili utumike pahala gani kwa manufaa ya nchi. Nchi imejaa majungu majungu tu. Balozi zetu ndiyo sehemu ya kupigia per diem, hawafahamu kabisa umuhimu wa diaspora, ikitokea umeenda ubalozi wanakuona wewe ni mkimbizi. In short Dkt Magufuli hajapata viongozi mathubuti wenye maono wa kuongoza wizara ya Elimu. Huyo mdau unayemsema si yeye tu, kuna mtu nasikia alisomea mambo ya acturial nje za nchi alivyorejea alikula msoto mpaka akaamua kurudi huko alikotoka.
Dah!...maisha haya...?
 
Kwanza wewe mwenyewe tambua unataka nini,hii utakusaidia kufanya kitu unachokipenda sababu field za IT zina badilika sana so unachokifanya hakikisha unakipenda,labda unataka Database(MySql,Oracle),Programming(python,Java,C++,PHP,Go),Networking (Cisco,Juniper,Huawei nk),Server,Cyber,System Analysis and Design.

Ukishajipima wewe mwenyewe unachokiweza na kukipenda,sasa ingia youtube mule kuna tutorial nyingi tu,download utapata maelekezo yote au ingia torrent napo kuna tutorial nyingi download video na vitabu,baada ya hapo soma sana theory na practical,ukishajilizisha sasa unaweza kwenda level za juu ktk hiyo field.

Husiogope mwanzo mgumu,mimi networking nimeijulia baada ya kumaliza chuo.Chuo nimetoka mweupe mimi na cheti changu ila skills sina,nilisoma Network YouTube na kuna vitabu nilivisoma ndivyo vilivyonisaidia.
Ubarikiwe sana. Mkuu lakini ni bora kusoma kitu chenye kulipa kuliko kusoma zile kozi then ukauze protector..
 
Labda ni sahihi kwa upande wao.Sababu huu uwanja hauhitaji sana coding especially entry level. Ila kuna wakati unaweza amua ku-move on.Na kadri unavyoendelea kwenda juu basi kujua programming hakuepukiki.Unaweza kuwa mtaalamu wa career fulani katika level za nchi yako.Ila tukiku-rank according to international standard unakuwa mweupe.Yaweza kuwa hiyo inatokana na mwamko wenyewe wa career husika kwa nchi hiyo.Mfano sisi Tz upande wa Infosec bado.Na hata mtu akiwa hata hatua zile za awali T unaweza kumwita 'professional'.Mfano upande wa cyber security huwa wanajali sana certifications.Na wana cert yao maarufu inaitwa CISSP.Hii ukiwa nayo ndo wanasema umeingia rasmi kwa hii carrier.Ila uliza wabongo wangapi wanayo.Wachache sana.Wengi wanaojiita wataalamu wa cyber kwetu hawana.Kuna mwingine nilimwambia kuhusu certs akanicheka.Akasema dunia ya leo haihitaji certs ni skills tu.Nikasema poa.Ila nakumbuka 2017 TCRA walitoa ajira upande huu.Tukazicheki.Ilikuwa inahitaji experience ya miaka mitatu sijui.Sema niliyomwambia yote aliyakuta.hata hiyo cert ilihitajika.Pamoja na vingine pia.Hata programming ilihitajika pia(java,c).Akachukua maamuzi ya kujiendeleza.So coding inahitajika kwa upande wa level za juu kaka.Kuna article nzuri sana nilikuwa naisoma ntakupatia nikiitafuta tena.Inaeleza vizuri sana.
Ila pia hii nyanja ukiipiga vema ukajiendeleza ukawa tayari kwa ushindani wa kimataifa inakutoa vizuri sana.Kuna jamaa yangu ambaye kwangu ni kama role model wangu kwenye haya mambo aliamua kuikamatia hii ngoma.Kachukua certs zote za entry level. Kajiendeleza akabeba hadi vile vya level za juu.Alikuwa anahudhuria hadi makongamano ya hawa watu huko Marekani.Sasa hivi anafanya kazi UK kama senior kwenye haya mambo,analipwa £500 per day!
Mimi nami nilipanga hii iwe carrier yangu sema nilijitoa nilipoona ina 'multiple layers'.
Certificate zinakubeba sana ,tatizo gharama kuna kipindi nilikuwa nilisha soma CCNP R and S ,tatizo hela ya kufanyia pepa ilikata na issue yenyewe nikapiga chini ila nataka nipige CCNA cyber ops,nilishaanza kuisoma najua mpaka Mwisho wa mwaka Mungu akijalia nitakuwa ninayo.
 
Certificate zinakubeba sana ,tatizo gharama kuna kipindi nilikuwa nilisha soma CCNP R and S ,tatizo hela ya kufanyia pepa ilikata na issue yenyewe nikapiga chini ila nataka nipige CCNA cyber ops,nilishaanza kuisoma najua mpaka Mwisho wa mwaka Mungu akijalia nitakuwa ninayo.
Hongera all best
 
Naomb kuuliza unawezaje kua mtaalamu wa IT na kusoma hizo professional cert..kama ume graduate katika masomo tofauti na koz za IT wala huna foundation ya PCM..una wezaje kufanikiwa?

#MaendeleoHayanaChama
 
Mkuu huo ndiyo ukweli, Tz hatuna ubunifu. Tumejaa ukiritimba. Natamani Dkt Magufuli angekuwa ndiye waziri wa Elimu nadhani angekuwa ameliona hili. Unakuta nchi kama nchi haijui idadi ya wasomi wake wanaorejea toka nje za nchi na haijui wamerejea na utalaamu gani ili utumike pahala gani kwa manufaa ya nchi. Nchi imejaa majungu majungu tu. Balozi zetu ndiyo sehemu ya kupigia per diem, hawafahamu kabisa umuhimu wa diaspora, ikitokea umeenda ubalozi wanakuona wewe ni mkimbizi. In short Dkt Magufuli hajapata viongozi mathubuti wenye maono wa kuongoza wizara ya Elimu. Huyo mdau unayemsema si yeye tu, kuna mtu nasikia alisomea mambo ya acturial nje za nchi alivyorejea alikula msoto mpaka akaamua kurudi huko alikotoka.
Sio hajapata viongozi yeye mwenyewe ni tatizo kwa kuanzia ebu kumbuka wale vijana wa Udom.Kiujumla Tanzania tuna safari ndefu sana kupata viongozi ambao watakuwa na mawazo ya maendeleo ila hawa tulionao ni watu waliojaa wivu ndio mana unaona mpaka sasa hivi waliomaliza chuo wengi hawajapata ajira.
 
Kuna degree Tanzania hamna ila zina soko sana duniani, vijana wa PCM zinawafaa.

Wazazi, mkiwa na pesa na mkiwa na watoto wazuri waliofaulu vizuri PCM pelekeni Ulaya au Marekani wakasome degree za Cyber Security na Aeronautical Engineering.

Ni baadhi ya hot cake degrees, dunia nzima inawataka.
Changamoto ya watanzania tulio wengi tunaona course yenye jina gumu basi ndio hot cake. Iyo ulioitaja Aeronautical engineering sio kama unavodhani ni rahisi kupata ajira. Aliesoma iyo course akirudi Tanzania ku[ata ajira sio kazi rahisi sababu apa nchini kuna makampuni yanahitaji zaidi Aircraft Maintenance Engineer + license sasa ukitoka chu ako na iyo degree yako bila kua na license utasota sana labda ujuane na mtu akusaidie. Vijana wengi wa kitanzania sasa wana degree za Aeronautical Engineering wako mtaani na kupata kazi nje ya nchi sio rahisi kama tunavyodhani, wengi wamerudi Tanzania baada ya kutofanikiwa kupata kazi nje ya nchi.
 
Sio hajapata viongozi yeye mwenyewe ni tatizo kwa kuanzia ebu kumbuka wale vijana wa Udom.Kiujumla Tanzania tuna safari ndefu sana kupata viongozi ambao watakuwa na mawazo ya maendeleo ila hawa tulionao ni watu waliojaa wivu ndio mana unaona mpaka sasa hivi waliomaliza chuo wengi hawajapata ajira.
Kwa ajira mkuu hapo ni tatizo. Nadhani mimi na wewe tunahusika pia ktk kutengeneza ajira kwa vijana.
 
Back
Top Bottom