Baadhi ya kina dada acheni hii tabia ya kuchukua vitu vya wenza wenu mnapowatembelea

Kuna jamaa yangu yeye alinunua mtungi wa gesi demu kaja kabeba.siku nyingi e kaja magetoni kwake na mdogo wake wa kike kakuta kitandani mwamba kanunua ile suruali ya matobo mdogo mtu akachukua na beby wake kabeba tshirt aisee na redio kabeba.dwmu alijua kumkanda jamaa.mshahara ukitoka demu anapakiana nae kwa boda kwenda atm.nlikua nacheka balaaa demu mwenyewe malaya tu maku nje nje
 
Ms R siku uje ujaribu kubeba feni tu nitakunyoosha kidole mpaka usitamani kuja tena
 
Tatizo lipo kwako wala usiwalaumu.

Mjinga mmoja aje kwangu atake kuondoka na mali zangu nimuangalie tu haiwwzekani! Labda demu wangu sababu napata utamu na tulizo la moyo .
Siku ikitokea huyo nitamwitia mwizi wampige wamchome moto
Huwezi
 
Kwenye vikao vyetu tutakuachia kweli daftari si watalibeba pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…