Baadhi ya kina dada acheni hii tabia ya kuchukua vitu vya wenza wenu mnapowatembelea

Nadhani hili swali ulitakiwa ujiulize ww maana mwanaume anaye pata mlo kamili na aliye kamilika hawezi kujiita mama samia au kupelekeshwa na visichana vya mitaani mpaka una kuja kulalama mtandaoni.
Chukua kaa la moto tia kinywani itakusaidia kupunguza ujinga.
 
Sasa kama ndugu yangu mama Samia unalalamika🤣je mimi na makutupora au Intelligent businessman 🤣tusemeje majobless Promax watu tunawaza kuuza had uduvi mkono uende kinywani
 
Wa hivyo usiwalete tena home,nenda nao lodge wakileta maswali waambie wakija kwako wanaondoka na vitu vyako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…