wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
- Thread starter
- #41
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo watu wanachukulia "hutu si mwana?hana shada huyu na vile akiachiwa boda nje ndio kabisaa anaona haina shidaKuna watu wazembe kupita kiasi. Unakodi bodaboda, anafika katikati ya safari anasimama, na wewe unaona sawa, anapiga simu na wewe unaona sawa, anaomba simu na wewe unaona sawa, anaondoka na simu na wewe unaona sawa! Jamani huu ni zaidi ya upunguani. Navyojua ukikodi gari au boda, mwendeshaji anatakiwa akupeleke moja kwa moja bila kuingiza mambo yake ya binafsi, hata kutumia simu haitakiwi. Mteja una haki na wajibu wa kumuonya iwapo unaona anafanya mambo mengine ya binafsi!
Sijui kwa kweli maana alivyoniadisia ninebaki kinywa waziWengi hulizwa kwa uzembe wao wenyewe hakuna cha dawa wala nini.
Nimpe simu yangu bodaboda naumwa? Au jamaa yako aliomba boda amtafutie malaya bar.?
comment zangu ili ujione mjuaji?
Kabisa mkuu maana jamaa anasema wala hakuwa na mawazo kama jamaa anaweza fanya kama alivyofanyiwaBasi katika mambo ambayo huwa nayapinga na kusema ni ujinga ni hili la kusema wanatumia dawa kupumbaza! Hakuna dawa ya kupumbaza. Matapeli siku zote hucheza na ubongo wako na kukufanya uamini kwa muda kile wanachokuambia ni kweli japo baadae ukija kutafakari utajiona ulikuwa mjinga kupita maelezo. Unachotwa kiakili tu na hakuna la zaidi.
Roho yako ni tofauti na wengine unakua kuna ile huyu ni mwana hana shidaKati ya vitu sipendi ni kuazima simu yangu
Sio mimi ndugu ni jamaa angu tuuUnawasingizia boda kwa uzembe wenu..
vingereza
Jamaa kachukulia mwana mwanaMojawapo kati ya vitu ambavyo boda boda anatakiwa kutii ni simama hapo, ongeza mwendo, punguza mwendo, nisubiri hapa. Hana ruhusa ya kusimama bila mimi kumwambia.
Huo ni uzembe wako.
Huruma ya jamaa imemponzaPoleni sana, na kwa nini umpe simu yako aitumie...
Jamaa hakujua kinachotokea maana aliachiwa boda kwanza na alipoona suka hamwoni akashuka kwenye boda eti anamfuata jamaa alieingia na cm yake kule bar basi boda katoka kawasha boda safariiKweli huu ni uzembe wa hali ya juu. Simu ni article personal. Kukupa simu labda uwe mama yangu. Yaani mtu baki tu nikupe simu yangu. Simu siku hizi ni benki pia. Utampaje mtu baki tu kifaa chenye taarifa zako za benki?
Jamaa hakujua kinachotokea maana aliachiwa boda kwanza na alipoona suka hamwoni akashuka kwenye boda eti anamfuata jamaa alieingia na cm yake kule bar basi boda katoka kawasha boda safarii
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaa pembeni huna hoja na upunguze kujipendekeza.Katu hakuna neno ^vingereza^ katika lugha ya Kiswahili unayojidai kuwa mbobezi na msanifu wake!
Huo ni ujinga, mleta hoja na jamaa yako ni wazembe. Unampaje mtu simu yako? Japo nakubaliana nawe juu ya bodaboda kutokuwa waaminifu, si baadhi, wengi wao.Yaani wanapaki pembeni na barabara au karibu na kituo cha daladala wakipata abiria mnaelewana vizuri tuu na anakupeleka lakini akifika sehemu iliopo bar anasimama anatoa simu yake kujifanya anampigia mtu halafu anairudisha mfukoni kisha anakuambia "naomba simu yako nimcheki jamaa"hapo anataja jina la mhudumu mojawapo wa hiyo bar.
Ukimpa simu anapiga halafu anashuka kwenye boda yake anazima kabisa na ufunguo anachomoa halafu anaenda na simu yako mle ndani bar yeye anakuacha na boda yake sasa hapo ukijichanganya umfuate mle ndani yeye kumbe ameshakusoma unaingiaje yeye anatoka fasta anaenda washa pikipiki yake anapotea na simu yako wewe unabaki unaulizia lile jina alilotamka.
Nimeoana niwaambie maana jamaa yangu juzi tuu leo siku ya 3 simu yake imeondoka kwa style hiyo .
Ukipanda pikipiki jitahidi upande kwa unayemjua au kama yuko kijiweni kwake hakikisha kavaa reflector ile yenye namba ya kijiwe hata ikitokea tatizo inakuwa rahisi kulitatua.
Jumapili ikiwe njema kwenu.
Unajua tofauti ya zangu na yangu? au unabwatuka tu? huna hoja kaa pembeni.Usiseme: ^COMMENT ZANGU.^
Sema: ^COMMENTS ZANGU.^
Which school did you go?
Mi hapo nahusikaje .Huo ni ujinga, mleta hoja na jamaa yako ni wazembe. Unampaje mtu simu yako? Japo nakubaliana nawe juu ya bodaboda kutokuwa waaminifu, si baadhi, wengi wao.
Sasa sijui nini kilimponza hadi kampa jamaa simuHakujua kilichotokea? Kweli? Kwa hiyo alitoa simu akiwa nusu kaputi? Elewa ninachokisema. Hakutakiwa kutoa simu kwanza. Achana na mambo ya kuingia bar.
Japana wamekuwa matapeli bora niwaunguze tuuMbona unawachoma wana Wa stendi [emoji848]