Baadhi ya madereva pikipiki (bodaboda) ni wezi, chukua tahadhari

Tatizo watu wanachukulia "hutu si mwana?hana shada huyu na vile akiachiwa boda nje ndio kabisaa anaona haina shida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa mkuu maana jamaa anasema wala hakuwa na mawazo kama jamaa anaweza fanya kama alivyofanyiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli huu ni uzembe wa hali ya juu. Simu ni article personal. Kukupa simu labda uwe mama yangu. Yaani mtu baki tu nikupe simu yangu. Simu siku hizi ni benki pia. Utampaje mtu baki tu kifaa chenye taarifa zako za benki?
Jamaa hakujua kinachotokea maana aliachiwa boda kwanza na alipoona suka hamwoni akashuka kwenye boda eti anamfuata jamaa alieingia na cm yake kule bar basi boda katoka kawasha boda safarii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakujua kilichotokea? Kweli? Kwa hiyo alitoa simu akiwa nusu kaputi? Elewa ninachokisema. Hakutakiwa kutoa simu kwanza. Achana na mambo ya kuingia bar.
Jamaa hakujua kinachotokea maana aliachiwa boda kwanza na alipoona suka hamwoni akashuka kwenye boda eti anamfuata jamaa alieingia na cm yake kule bar basi boda katoka kawasha boda safarii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ni ujinga, mleta hoja na jamaa yako ni wazembe. Unampaje mtu simu yako? Japo nakubaliana nawe juu ya bodaboda kutokuwa waaminifu, si baadhi, wengi wao.
 
Huo ni ujinga, mleta hoja na jamaa yako ni wazembe. Unampaje mtu simu yako? Japo nakubaliana nawe juu ya bodaboda kutokuwa waaminifu, si baadhi, wengi wao.
Mi hapo nahusikaje .
Mi nimeleta hoja kisa cha rafiki yangu alichofanyiwa.unaniita mzembe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…