Baadhi ya majina ya Kisukuma na maana zake

MACHIBYA The over thrower! Hawa ni wale waliokuwa wanafanya timing enzi za utemi, anachukua utemi kwa kupmpindua mtemi aliyepo na anachukua yeye
 
Uti okonyela ngalu, ulishitimba shisukuma sha mgati gete sha bhanamhala bha kale, Uti wa kwigushija.
Aleyo olo wakala na banamhala, olo wigeshaga nabo gete gete, olo waboneka nabho, mamihayo gabho wutungilija gete kumoyo, olo waleka nyachilochilo, olo waleka ishibi, olo weta bunyalali gete, wokobiza mno wa masala gete.

Ateho mno kukuwela wetaga kebi.

Kongono ole mno wa masala.

Hange olo wetaga kebi, ekobiza kongono mamunho mange getaga kebi kutangolega kwakwo.

Eteho kebi ya kutotwangweleja kwenako.

Pye mamihayo nyalali. Pye mamihayo gaaganikwa ko maaganiko nalibona gate na kebi gete.

Kongono nosoma, mamihayo ga kaya na ga bazungu.

Natogwile kosoma, kongono henaho okomanya mamihayo minge. Okobiza namhala wa nyalali.
 
Kiranga bhana sikuwezi, unaandika kisukuma cha zamani mno cha wazee wa kale, neno kama "kuboneka"' yaani kula, na bhunyalali, wema/uzuri" wasukuma wa miaka hii hawatumii, naanza kudauti inawezekana wewe ni muhenga.
 
Kiranga bhana sikuwezi, unaandika kisukuma cha zamani mno cha wazee wa kale, neno kama "kuboneka"' yaani kula, na bhunyalali, wema/uzuri" wasukuma wa miaka hii hawatumii, naanza kudauti inawezekana wewe ni muhenga.
Sisi nyumbani tulikuwa tunatwanga Kisukuma tupu.

Halafu wanakuja binamu kutoka Ng'wanza wanataka kuja kuona bahari Dar uwapeleke, hata Kiswahili hawajui, halafu wenyewe wanafikiri kila mtu lazima awe anajua Kisukuma.

Wanakuongelesha bila kujali unajua au hujui.

Hapo lazima ujue kwa lazima tu.
 
Saguda...
Mihangwa...aliyetabiliwa
Luhaga....
Mashimba.....
Luhende...
Magembe...
Masunga....
Magaya....
Mwigulu/Ngw'igulu
Ngassa....
Kombe...
Makula....
Malunde....mawingu
Nchilu........mwenye hasira
Masele.....
Makonda.....
Mwigulu MBIGUNI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…