Baadhi ya majina ya Kisukuma na maana zake

Baadhi ya majina ya Kisukuma na maana zake

Aleyo olo wakala na banamhala, olo wigeshaga nabo gete gete, olo waboneka nabho, mamihayo gabho wutungilija gete kumoyo, olo waleka nyachilochilo, olo waleka ishibi, olo weta bunyalali gete, wokobiza mno wa masala gete.

Ateho mno kukuwela wetaga kebi.

Kongono ole mno wa masala.

Hange olo wetaga kebi, ekobiza kongono mamunho mange getaga kebi kutangolega kwakwo.

Eteho kebi ya kutotwangweleja kwenako.

Pye mamihayo nyalali. Pye mamihayo gaaganikwa ko maaganiko nalibona gate na kebi gete.

Kongono nosoma, mamihayo ga kaya na ga bazungu.

Natogwile kosoma, kongono henaho okomanya mamihayo minge. Okobiza namhala wa nyalali.


hahahhha ghashi naga no bhebhe ushimanile gete !no nene nhale mhuno!ngw'anza gete
 
Halafu nashukuru kwa kunipa maana ya jina Limi nimeelewa kwanini waliamua kunipa hilo jina.
iiiii...Kumbe ni lijina lyako? Maana yake ALIYEZALIWA MCHANA. Na LIMI HAGATI...Maana yakwe aliye zaliwa Saa SITA Mchana!
 
iiiii...Kumbe ni lijina lyako? Maana yake ALIYEZALIWA MCHANA. Na LIMI HAGATI...Maana yakwe aliye zaliwa Saa SITA Mchana!

Iiiiigghhh bhaabhaa, usiseme kwanguvu watasikia...

Wasije wakajua maan kwa jina la LIMI najulikana maeneo maeneo ambako ni nyeti sana, acha niishie hapo wasije jumamosi wakanifata kazini.

Wabheja.
 
Iiiiigghhh bhaabhaa, usiseme kwanguvu watasikia...

Wasije wakajua maan kwa jina la LIMI najulikana maeneo maeneo ambako ni nyeti sana, acha niishie hapo wasije jumamosi wakanifata kazini.

Wabheja.
Wewe ni msukuma au mnyamwez?
 
Shileki...umenkumbusha huyu madam wangu enzi hizo...alikuaga bonge la beautiful, yan alkuaga akiingia class nkua cmwelew maana mawazo yangu yalkua yanahama ghafla....too bad nlhama bila kumwambia feelings zangu,na hadi leo cjui whereabouts zake,madam Shileki kama upo humu know that Nilikupendaga saaana bas 2 nlkuaga domo zege enz hizo za O'level
 
Back
Top Bottom