Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
😍Hata uka chase vipi hamtalingana mtazidiana tu.
Tujifunze kuwa waungwana tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😍Hata uka chase vipi hamtalingana mtazidiana tu.
Tujifunze kuwa waungwana tu.
🤣🤣🤣🤣Hakika mkuu wangu....
Haswaaa... ...
Jamii yetu HAIJIPENDI kiukweli....kwani mwenye kujipenda kidhati atajiamini vyema kwa hali yeyote uliyokuwa nayo........
Huku mitaani kunachekesha sana....sana yaani.....
Ukiwa na maisha ya afadhali kipato na ukaishi hulka za "DOWN TO EARTH" wandewa wanashangaa sana....watakuita majina tofautitofauti ...mara mshamba...mara mchawi na mshirikina wa ngende....🤣🤣
#Hatujawa duniani tuyaishi maisha ya wengine
#Siempre JMT🙏
😲😲🤣🤣surely also he shud learn to celebrate people when they r winning🤍
kwani mkuu huwezi kufanikiwa na ukaendelea kuwa neema na baraka kwa wenzako badala ya kuwabagaza?surely also he shud learn to celebrate people when they r winning🤍
Pardon umeelewa nilichoandika🤦🏽♀️kwani mkuu huwezi kufanikiwa na ukaendelea kuwa neema na baraka kwa wenzako badala ya kuwabagaza?
Ni ushamba huo. Tena matajiri wenyewe halisi hawana vimaneno vya kiswazi kama wakinamama wa Tandale
😲😲Hahaha hata hivyo maskini hapendi ukweli.
Umaskini uko kama kile ukimwambi ukweli wewe kilema anakwambia unamnyanyapaa.
Hao wazee mafaller tu...huyo Msaki ndio namjua alikuwa dalali wa mchanga lkn ni mpambanaji mwanzo mwisho.
Ni kweli inaumiza,lkn zinakupa akili ya kuhaso kutafuta cash.Kuna siku moja nilikuwa kwenye kijiwe cha draft hapa dar, mzee mmoja alisema msaki (mmiliki wa kibo complex) anatuona Sie wote hapa hatuna akili, nilidhani wanaongea hivyo sababu wanamwonea wivu Ila baadaye nilikuja gundua maneno yao yana ukweli kwa kiasi flani, wala si wivu..
Yani utakuta rafiki yako kabahatika kupata tenda yenye mshahara mnono anaanza kukwambia maneno kama haya Katika nyakati tofauti mkiwa mnapiga story:
1)Huna hata baiskeli
2)Fulani hana pesa anaishi maisha magumu Kama wewe
3)Una akili za kimaskini na za kifukara kabisa..
Wakati hapo mwanzoni kabla mambo hayajamnyookea, hakuwa na kauli hizo. Ni kauli za kuumiza roho ila kwavile ni mshkaji unazipotezea.
Yani mtu anakwambia hivyo wakati yeye alivyokuwa kwenye kipindi kigumu kiuchumi, na wewe uko kwenye neema hukuwahi kumtamkia kauli hizo.
Waliowahi kukutana na hali kama hizi nje hapa mtoe shuhuda zenu
Mkuu mm sinaga wivu mtu wa karibu yangu akifanikiwa kipesa, kwasababu najua huenda one day yeye anaweza kuNisaidia, shida inakuja pale ambapo waliofanikiwa wanatoa kauli za kujiona wao ni demi godssurely also he shud learn to celebrate people when they r winning🤍
Mara nyingi waliokosa maisha bora(kula vyema na KUSHIBA utotoni ,kusoma vyema,malezi bora ya heshima na adabu kwa utu na kwa wengine) ndio wakipata FEDHA ukubwani huwa na hulka hizo....🤣kwani mkuu huwezi kufanikiwa na ukaendelea kuwa neema na baraka kwa wenzako badala ya kuwabagaza?
Ni ushamba huo. Tena matajiri wenyewe halisi hawana vimaneno vya kiswazi kama wakinamama wa Tandale
Asante mkuu kwa mfano hai.😲😲
Mkuu sasa unamuona mtu ni mlemavu kabisa halafu tena unamwambia wewe ni kilema tu ?!!!
Mkuu kwani wote tusio na pesa ni kwa sababu hatuhaso? na wewe ni wale wale tu. Mtu kama hana pesa basi mnamwita mvivu, mjinga, hakui kitu🤣🤣Ni kweli inaumiza,lkn zinakupa akili ya kuhaso kutafuta cash.
Shukran chifu 🙏Asante mkuu kwa mfano hai.
Unajua uzuri wa hii mitandao ya kijamii ipo kinadharia zaidi. Unaweza kuta mtu anajadili kuhusu nyumba yake na gari yake hapa kumbe hata mkokoteni hana na anaishi kwa mjomba akilala sebuleni.Haha jana nliingia Insta story ya sirjeff dennis, Humu jf anatumia ID ya Ontario, alisema hawezi pokea ushauri kutoka kwa mtu ambaye hajui kesho atakula nini, yeye anatafuta pesa za kula za wajukuu wake Pythagoras Me too chizcom Toxic Concotion
👍🤣🤣Maneno haya huwezi kuyasikia kwa Yule aliyezaliwa hela anazikuta
Ila sisi wakujikakamua kwenye jua Kali tukipata,ni kasheshe
🤣🤣🤣🤣ukweli mtupu.Unajua uzuri wa hii mitandao ya kijamii ipo kinadharia zaidi. Unaweza kuta mtu anajadili kuhusu nyumba yake na gari yake hapa kumbe hata mkokoteni hana na anaishi kwa mjomba akilala sebuleni.
Huyo anaekwambia anatafuta pesa za wajukuu ukute anashinda kijiweni matumaini yake yote yapo kwenye betting, ana bet shilingi 100 kwa matumaini ya kupata mamilioni. Kila analoliandika ni kupitia ndoto zake alizonazo kupitia pesa atakayoshinda siku hiyo kama mkeka ukitiki. Akishindwa anakuja na ndoto nyingine.
Ushauri wangu, usitilie maanani sana matajiri wa mitandaoni, wengi wao hiyo ndio sehemu pekee ya kuishi karibu na ndoto zao kwa kuigiza uhusika wa matamanio yao.
binafsi sijaona kejeri zaidi ya kuona fursa tu katika hayo maneno,mnaweza mkawa marafiki lakini hujawahi hata muuliza ametoboaje mwenzio sasa anajaribu kukushtua kwa maneno ya kero ili uchukue hatua binafsi ningemwomba connection ili hayo anayokuambia yasijirudieKuna siku moja nilikuwa kwenye kijiwe cha draft hapa Dar, mzee mmoja alisema msaki (mmiliki wa kibo complex) anatuona Sie wote hapa hatuna akili, nilidhani wanaongea hivyo sababu wanamwonea wivu Ila baadaye nilikuja gundua maneno yao yana ukweli kwa kiasi flani, wala si wivu.
Yani utakuta rafiki yako kabahatika kupata tenda yenye mshahara mnono anaanza kukwambia maneno kama haya Katika nyakati tofauti mkiwa mnapiga story:
1) Huna hata baiskeli
2) Fulani hana pesa anaishi maisha magumu Kama wewe
3) Una akili za kimaskini na za kifukara kabisa..
Wakati hapo mwanzoni kabla mambo hayajamnyookea, hakuwa na kauli hizo. Ni kauli za kuumiza roho ila kwavile ni mshkaji unazipotezea.
Yani mtu anakwambia hivyo wakati yeye alivyokuwa kwenye kipindi kigumu kiuchumi, na wewe uko kwenye neema hukuwahi kumtamkia kauli hizo.
Waliowahi kukutana na hali kama hizi nje hapa mtoe shuhuda zenu.
Tuukubali ukweli.[emoji44][emoji44]
Mkuu sasa unamuona mtu ni mlemavu kabisa halafu tena unamwambia wewe ni kilema tu ?!!!
Ukweli upi ?!!!Tuukubali ukweli.
Tutadanganyana hadi lini?
Hii ni tabia ya ccm kudanganya kila kitu.