Baadhi ya marafiki wakifanikiwa kipesa tu kidogo, wanaanza maneno ya kejeli

Baadhi ya marafiki wakifanikiwa kipesa tu kidogo, wanaanza maneno ya kejeli

binafsi sijaona kejeri zaidi ya kuona fursa tu katika hayo maneno,mnaweza mkawa marafiki lakini hujawahi hata muuliza ametoboaje mwenzio sasa anajaribu kukushtua kwa maneno ya kero ili uchukue hatua binafsi ningemwomba connection ili hayo anayokuambia yasijirudie
Waliofanikiwa sio wote lakini they never tell openely how
 
Mkuu mm sinaga wivu mtu wa karibu yangu akifanikiwa kipesa, kwasababu najua huenda one day yeye anaweza kuNisaidia, shida inakuja pale ambapo waliofanikiwa wanatoa kauli za kujiona wao ni demi gods

Nina bamdogo wangu mmoja huyo Rip alipata kazi hazina, yenye mshahara mnono, naye alikua na tabia ya kuita wengine maskini na kuwauliza kama wana hela plus dharau kibao Paubae5
Ahh its okay…. ni hela zao pia
Ukitaka uenjoy hii life usipende associate na watu ambo wata-consume your peace….. ukiona mtu ana dharau kisa may be ana hela unamuacha cuz kazihangaikia its his money… Let jim do whatever he want…

my take… Keep Pushing 🤍💋
 
Mkuu kwani wote tusio na pesa ni kwa sababu hatuhaso? na wewe ni wale wale tu. Mtu kama hana pesa basi mnamwita mvivu, mjinga, hakui kitu[emoji1787][emoji1787]

Paul Makonda sasa hivi ni bilionea lakini enzi z nyuma akiwa kama mimi walimwona hivyo.

Hatuwezi kufanikiwa wakati mmoja tuache dharau. Tutamke maneno mema kwa wenzetu wenye changamoto za kiuchumi.
[emoji23][emoji23][emoji23],Mimi napenda sana mtu anidharau kwasababu ya Umasikini wangu ili nipate hasira kali za kupambana.
 
Ahh its okay…. ni hela zao pia
Ukitaka uenjoy hii life usipende associate na watu ambo wata-consume your peace….. ukiona mtu ana dharau kisa may be ana hela unamuacha cuz kazihangaikia its his money… Let jim do whatever he want…

my take… Keep Pushing 🤍💋
Hii nayo ni pointi inatupa raha duniani. Kila mtu anaraha yake kwa urefu wa kamba yake.
 
Unajua uzuri wa hii mitandao ya kijamii ipo kinadharia zaidi. Unaweza kuta mtu anajadili kuhusu nyumba yake na gari yake hapa kumbe hata mkokoteni hana na anaishi kwa mjomba akilala sebuleni.

Huyo anaekwambia anatafuta pesa za wajukuu ukute anashinda kijiweni matumaini yake yote yapo kwenye betting, ana bet shilingi 100 kwa matumaini ya kupata mamilioni. Kila analoliandika ni kupitia ndoto zake alizonazo kupitia pesa atakayoshinda siku hiyo kama mkeka ukitiki. Akishindwa anakuja na ndoto nyingine.

Ushauri wangu, usitilie maanani sana matajiri wa mitandaoni, wengi wao hiyo ndio sehemu pekee ya kuishi karibu na ndoto zao kwa kuigiza uhusika wa matamanio yao.
🤣🤣
 
Unajua uzuri wa hii mitandao ya kijamii ipo kinadharia zaidi. Unaweza kuta mtu anajadili kuhusu nyumba yake na gari yake hapa kumbe hata mkokoteni hana na anaishi kwa mjomba akilala sebuleni.

Huyo anaekwambia anatafuta pesa za wajukuu ukute anashinda kijiweni matumaini yake yote yapo kwenye betting, ana bet shilingi 100 kwa matumaini ya kupata mamilioni. Kila analoliandika ni kupitia ndoto zake alizonazo kupitia pesa atakayoshinda siku hiyo kama mkeka ukitiki. Akishindwa anakuja na ndoto nyingine.

Ushauri wangu, usitilie maanani sana matajiri wa mitandaoni, wengi wao hiyo ndio sehemu pekee ya kuishi karibu na ndoto zao kwa kuigiza uhusika wa matamanio yao.
Mkuu nina mashaka humjui vizuri Sirjeff Dennis usingekuwa unayaongea haya! Kuna watu wanamaisha.[emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom