Waliofanikiwa sio wote lakini they never tell openely howbinafsi sijaona kejeri zaidi ya kuona fursa tu katika hayo maneno,mnaweza mkawa marafiki lakini hujawahi hata muuliza ametoboaje mwenzio sasa anajaribu kukushtua kwa maneno ya kero ili uchukue hatua binafsi ningemwomba connection ili hayo anayokuambia yasijirudie