Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
nimemtumia kama mfano. Naongelea kwa ujumla wa mitandao.Mkuu nina mashaka humjui vizuri Sirjeff Dennis usingekuwa unayaongea haya! Kuna watu wanamaisha.[emoji16][emoji16]
Mko wengi mnaoigiza maisha.Tatizo watu mnaReflect vilivyomo mtandaoni na maisha halisi..Ona sasa unasoma comment tu na ku Spectaculate
Hao ndio wamejaa. Baada ya kutembeza bahasha kwa miaka mingi akija kupata wewe ambaye hujapata anakwambia mbona kazi zipo sema hujaamua tu. Maskini kashasahau alikotoka.Kuna mmoja alinitumia kimemo.[emoji1787]
"Ishi na watu vizuri.kazi zipo"
Baada ya yy kupata kazi
Nyie haya maisha
[emoji23][emoji23][emoji23],Anahisi unaishi kwa dezo.[emoji23][emoji23]kuna mtu kasema nnaonekana sijui uchungu wa kutafuta hela utadhani anajua naishije[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Sasa Kwani kuna ubaya hapo??.Kuna mmoja alinitumia kimemo.[emoji1787]
"Ishi na watu vizuri.kazi zipo"
Baada ya yy kupata kazi
Nyie haya maisha
Ukimjua mtu wa hivyo kaa mbali na yeye mwache aishi kivyake achana na urafiki wa hivyo na pia mtu akishatusua ww bado mzee baba hakuna urafiki tena. Kwa maana urafiki unachangamka ikiwa mnafanya kazi sawaKuna siku moja nilikuwa kwenye kijiwe cha draft hapa Dar, mzee mmoja alisema msaki (mmiliki wa kibo complex) anatuona Sie wote hapa hatuna akili, nilidhani wanaongea hivyo sababu wanamwonea wivu Ila baadaye nilikuja gundua maneno yao yana ukweli kwa kiasi flani, wala si wivu.
Yani utakuta rafiki yako kabahatika kupata tenda yenye mshahara mnono anaanza kukwambia maneno kama haya Katika nyakati tofauti mkiwa mnapiga story:
1) Huna hata baiskeli
2) Fulani hana pesa anaishi maisha magumu Kama wewe
3) Una akili za kimaskini na za kifukara kabisa.
Wakati hapo mwanzoni kabla mambo hayajamnyookea, hakuwa na kauli hizo. Ni kauli za kuumiza roho ila kwavile ni mshkaji unazipotezea.
Yani mtu anakwambia hivyo wakati yeye alivyokuwa kwenye kipindi kigumu kiuchumi, na wewe uko kwenye neema hukuwahi kumtamkia kauli hizo.
Waliowahi kukutana na hali kama hizi nje hapa mtoe shuhuda zenu.
Hakuna tajiri mkarimuTafuteni tu hela wakuu ili nanyi siku moja muoneshe watu wanaowazunguka tajiri mkarimu yukoje.
Binadamu tukipata nafasi tuwe na maneno.mazuri na pia tuwasaidie wenye kuhitaji msaada wetu. Kuna muda unakwama mtu una mwomba hata mshikaji, ndugu au jamaa tu karibu au hata jirani akupe mchongo au akipata mchongo akumegeee pande hayo majibu sasa aisee utakoma maana bora hata ungekaa kimya.Kuna siku moja nilikuwa kwenye kijiwe cha draft hapa Dar, mzee mmoja alisema msaki (mmiliki wa kibo complex) anatuona Sie wote hapa hatuna akili, nilidhani wanaongea hivyo sababu wanamwonea wivu Ila baadaye nilikuja gundua maneno yao yana ukweli kwa kiasi flani, wala si wivu.
Yani utakuta rafiki yako kabahatika kupata tenda yenye mshahara mnono anaanza kukwambia maneno kama haya Katika nyakati tofauti mkiwa mnapiga story:
1) Huna hata baiskeli
2) Fulani hana pesa anaishi maisha magumu Kama wewe
3) Una akili za kimaskini na za kifukara kabisa.
Wakati hapo mwanzoni kabla mambo hayajamnyookea, hakuwa na kauli hizo. Ni kauli za kuumiza roho ila kwavile ni mshkaji unazipotezea.
Yani mtu anakwambia hivyo wakati yeye alivyokuwa kwenye kipindi kigumu kiuchumi, na wewe uko kwenye neema hukuwahi kumtamkia kauli hizo.
Waliowahi kukutana na hali kama hizi nje hapa mtoe shuhuda zenu.
😃😃no hard feelings bruv usipanicMko wengi mnaoigiza maisha.
CEO on the social media and broke in real life.
Yan maandishi mtu analeta hard feelings[emoji23][emoji23][emoji23],Anahisi unaishi kwa dezo.
Ni mastori tu ya mtandaoni. Naelewa😃😃no hard feelings bruv usipanic
Pamoja mkuuNi mastori tu ya mtandaoni. Naelewa
Mbona haitoshi hata nusu ya kitimoto?Mkuu nipe namba yako ya m.pesa nikutumie japo 7500tsh upunguze ukali wa maisha japo siku moja,agiza kabisa kitimoto na pepsi ya baridi utasahau maumivu
Ila inazalisha visasi piaNi kweli inaumiza,lkn zinakupa akili ya kuhaso kutafuta cash.
Mshamba huyoMkuu mm sinaga wivu mtu wa karibu yangu akifanikiwa kipesa, kwasababu najua huenda one day yeye anaweza kuNisaidia, shida inakuja pale ambapo waliofanikiwa wanatoa kauli za kujiona wao ni demi gods
Nina bamdogo wangu mmoja huyo Rip alipata kazi hazina, yenye mshahara mnono, naye alikua na tabia ya kuita wengine maskini na kuwauliza kama wana hela plus dharau kibao Paubae5
who knows unaweza ukawa umekutana na msema kweliWaliofanikiwa sio wote lakini they never tell openely how