Baadhi ya marais wenye elimu kubwa Afrika, Rais Magufuli ashika namba tano

Baadhi ya marais wenye elimu kubwa Afrika, Rais Magufuli ashika namba tano

Cha msingi sio elimu kwa maana ya Paper Qualifications. Hata kama una degree 10 lkn bado unaogopa kukubali uchaguzi huru tu tena wa serikali za mtaa, sasa hizo Paper Degrees zina faida gani? Si ni takataka tu.

Hata Mugabe (Rip) alikuwa nazo sijui sita lkn kafa nazo na hata hazikumsaidia wakati akiitawala Zimbabwe kibabe. Hizo degrees zinafaa sana kwenye research huko lkn kwenye uongozi hazisaidii sana.
 
Namba tano ana Elimu kubwa lakini Ana uelewa mdogo.
 
Hii nimeiona huko YouTube na kui - upload na kuileta hapa kwa mjadala....

Ni nini maoni yako? Unakubaliana na orodha hii huku Bw John Pombe Magufuli akiwa - top kwenye orodha?

Na je, Rais wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli anastahili kuwa kwenye orodha hii?

Huyu aliyekuja na orodha hii ni nani na ni wa wapi na ametumia vigezo gani gani eti kuja na orodha hii?

Mbona elimu yake hususani PhD ya Rais wetu imekuwa very much challenged na wadau mbalimbali hapa Tanzania to the extent that wengine wamepoteza maisha kwa ajili ya kuhoji hili?

Well, watch and listen to it 👇 🙂👇🙂🙂
 
Hii nimeiona huko YouTube na kui - upload na kuileta hapa kwa mjadala....

Ni maoni yako? Unakubaliana na orodha hii? Rais wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli anastahili kuwa kwenye orodha hii?

Huyu aliyekuja na orodha hii ametumia vigezo gani gani eti? Mbona elimu hususani PhD ya Rais wetu inakuwa challenged sana na wadau hapa Tanzania to the extent that wengine wamepoteza maisha kwa ajili ya kuhoji hili?

Well, watch and listen to it 👇 🙂👇🙂🙂
View attachment 1263282
Huku ni kutaka kudhalilisha mh na elimu yetu ionekana hamna kitu mbele ya welevu. Critical thinking and argumentation hamna kitu
 
Hii nimeiona huko YouTube na kui - upload na kuileta hapa kwa mjadala....

Ni nini maoni yako? Unakubaliana na orodha hii huku Bw John Pombe Magufuli akiwa - top kwenye orodha?

Na je, Rais wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli anastahili kuwa kwenye orodha hii?

Huyu aliyekuja na orodha hii ni nani na ni wa wapi na ametumia vigezo gani gani eti kuja na orodha hii?

Mbona elimu yake hususani PhD ya Rais wetu imekuwa very much challenged na wadau mbalimbali hapa Tanzania to the extent that wengine wamepoteza maisha kwa ajili ya kuhoji hili?

Well, watch and listen to it [emoji116] 🙂[emoji116]🙂🙂
View attachment 1263282

Msomi sana ambae kampoteza Saanane kwa sababu ya kuhoji usomi wake huo huo!

What an irony!?

Alieandaa list ni clueless!

Tunaojua wala hatubabaiki!
 
Kama mwanamme anasema atapiga mpaka shangazi za wapinzani wake, si tu hajaelimika, hana hata hadhi ya kuwa mwanamme mwenye staha.

Yani nimeongelea kiwango cha mwanamme wa kawaida tu, sijataka hata kuongelea hadhi ya urais.
 
Mheshimiwa Rais wetu JPM ni msomi kuliko marais wote africa. Nichukue fursa hii kumpongeza kwa hatua hii. Tunahitaji Rais msomi sio wapia porojo wa vijiweni kama akina fulani.

Zaidi:-
 
Mheshimiwa Rais wetu JPM ni msomi kuliko marais wote africa. Nichukue fursa hii kumpongeza kwa hatua hii. Tunahitaji Rais msomi sio wapia porojo wa vijiweni kama akina fulani.

Zaidi:-

Halla kwa Ben Saanane popote alipo,tunakumiss sana.
 
mod uliyehamishia uzi wangu huku nakuambia radi itakayo kutwanga wewe inapiga pushups mida hii...
 
Mi sioni hata kama kuna maana ya kujadili elimu ya vyeti. Werevu hawapimi elimu kwa vyeti vya anayehisiwa kaelimika, bali wanaangalia mabadiliko yanayosababishwa na muelimikaji. Wanaangalia actions za muelimikaji kama zipo kisomi.

Siku mpya inakuja nguvu mpya na mawazo mapya
 
Back
Top Bottom