Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Hamjui, ila siku akitaka kumtumia kama reference ya speech yake itabidi amjue.Unafikir rais wa Kazakhstan anamjua rais wa Burundi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamjui, ila siku akitaka kumtumia kama reference ya speech yake itabidi amjue.Unafikir rais wa Kazakhstan anamjua rais wa Burundi?
Pamoja elimu yake yote lkn kashindwa kutuambia watanzania zilipo [HASHTAG]#onepointfivetrii[/HASHTAG] .Je unajua kwamba Rais Magufuli wa Tanzania ndio rais anaye ongoza ki -elimu kuliko wote katika Afrika.?
Soma hii.
https://answersafrica.com/latest-10-most-educated-african-presidents-no-1-tops-the-world-list.html
Lini na wapi?Si mlisema hamumtambui jpm kama rais?
Nadhani kama wewe ulivyoquote kabla ya kuelewa!! Eti msomi kuliko wote Africa sifa za kijinga na kijuha kabisa. Ukaenda mbali eti upande wa pili watasema fyokofyoko ndio wa kwanza!! Mamaezenu, Clinton alikuwa na Elimu gani?Kwani habari inasemaje?
Soma uelewe kabla ya kuna kuquote
Je wajua duniani Rais msomi, aliyetumia English kupata mpk degree na asiyejua English kuongea ni yy Pumba Maharage. Mpk nchi za nje anaogopa kwenda ili wasitushangaeSafi jpm,
Hii habari mbaya sana upande wa pili wa shilingi, utaambiwa mwenyekiti wa ufipa ndio msomi nambari wani afrika[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wait
Hajui kutamka entrepreneurshipHaiwezi kua kweli mbona anaichezea sana elimu?
Na mbona hajui kuinteract na watu? Au kuchanganua mambo ya nchi zingine?
Mbona hajui rais wa kuwait, Libya na Afghanistan ni nani?
Ooh ok kuna kua msomi halafu kuelimika na ulichosoma.
Acha mzahaJpm ni ndio rais msomi kuliko marais wote wa afrika
usomi kwako ni nini?Je unajua kwamba Rais Magufuli wa Tanzania ndio rais anaye ongoza ki -elimu kuliko wote katika Afrika.?
Soma hii.
https://answersafrica.com/latest-10-most-educated-african-presidents-no-1-tops-the-world-list.html
Tuma salamu basi😅Magufuli ni msomi na anatumia kiswahili ila kuna watu wanaelimu ya kawaida tu wanatutisha sisi