DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Kusoma sio kujua kiingereza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh.... Haya buanaJe unajua kwamba Rais Magufuli wa Tanzania ndio rais anaye ongoza ki -elimu kuliko wote katika Afrika.?
Soma hii.
https://answersafrica.com/latest-10-most-educated-african-presidents-no-1-tops-the-world-list.html
Unafikir rais wa Kazakhstan anamjua rais wa Burundi?Haiwezi kua kweli mbona anaichezea sana elimu?
Na mbona hajui kuinteract na watu? Au kuchanganua mambo ya nchi zingine?
Mbona hajui rais wa kuwait, Libya na Afghanistan ni nani?
Ooh ok kuna kua msomi halafu kuelimika na ulichosoma.
Kuna marais wawili Tanzania ?Safi jpm,
Hii habari mbaya sana upande wa pili wa shilingi, utaambiwa mwenyekiti wa ufipa ndio msomi nambari wani afrika[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wait
Is Mugabe still a president? Be updated dude.Ni jambo zuri, Lakini nina mashaka na vigezo walivyotumia. Robert Mugabe vipi?
Mark Ravalomanana vipi naye?
Ni uhandisi, uzamili, uzamivu tu au kuna vigezo vingine?
Si mlisema hamumtambui jpm kama rais?Kuna marais wawili Tanzania ?
Tulisema mimi na nani ?Si mlisema hamumtambui jpm kama rais?
Ufipa nzimaTulisema mimi na nani ?
Alikuwepo Mugabe, kaipeleka wapi Zimbabwe?Safi jpm,
Hii habari mbaya sana upande wa pili wa shilingi, utaambiwa mwenyekiti wa ufipa ndio msomi nambari wani afrika[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wait
Kwani habari inasemaje?Alikuwepo Mugabe, kaipeleka wapi Zimbabwe?
Tusipoteze mda bwana mdogo!!Siwajui hao ufipa.
Ni wajomba zako ?
Ufipa ni wajomba zako ?Tusipoteze mda bwana mdogo!!
Kila mara sentence yoyote inayoconsist “Dr Maghufuli”, “kusoma”, “msomi”,“Phd”, na “kiingereza”, basi namkumbuka Ben Saanane hapo hapo.Je unajua kwamba Rais Magufuli wa Tanzania ndio rais anaye ongoza ki -elimu kuliko wote katika Afrika.?
Soma hii.
https://answersafrica.com/latest-10-most-educated-african-presidents-no-1-tops-the-world-list.html
KawaulizeUfipa ni wajomba zako ?
Nimuulize nan wakat wewe ndiye uliyewataja.Kawaulize