Baadhi ya marais wenye elimu kubwa Afrika, Rais Magufuli ashika namba tano

Baadhi ya marais wenye elimu kubwa Afrika, Rais Magufuli ashika namba tano

Bora yule Bashite mwenye vyeti feki kuliko elimu kubwa isiyokuwa na msaada kwa wananchi wako.
 
Rich Pol,

Toa na orodha ya marais wenye elimu kubwa waliowahi kuleta maendeleo ya maana kwa mataifa wailoongoza.
 
Elimu ya Darasani bila Busara ni Upupu

Elimu Darasani bila Hekima ni Ujinga
 
Kuna watu wana degree kumi na moja za facult 11 tofaut tofauti sasa wewe huyo namba tano ana kadegree kamoja tuu tena ka kemia alafu unasema readers are the leaders tena kwa kadegree kamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom