Baadhi ya miradi ya uwekezaji inayoweza kufanywa na wastaafu

Ila yule baba!! Acha alale tuπŸ™ŒπŸ™Œ
Sababu zilizotolewa na watetezi wanasema eti sisi Wazee wa Kiume tulikuwa tunaibiwa hela zote za Pension na wachuchu bila kuzifikisha nyumbani.

Nikasema hivi hawa jamaa, wanafikiri Mzee wa Kipare ERoni anaweza kweli kuibiwa na Mwanamke hata elfu 10 yake ya Pension?

All in all sababu zao, hazikuwa na mashiko, maana kama ni watumishi wote wa Umma mbona Wabunge wanapewa zote Kila baada ya miaka 5
 
Kwa hicho kipato cha almost 1M Kwa Mwezi kinamtosha kabisa Mstaafu

Muhimu asiwe na stress za kusomesha wakati huo

Ndiyo maana katika vitu sipendi ni kuendelea kuzalisha watoto hata baada ya miaka 45

Ukifanya hilo kosa, ni lazima utakuwa unatumia kipato chako cha Pension kulipia ada watoto wako maana wakati huo watakuwa SekondariπŸ™Œ
 
Ni lazima kuwa strategic mzee, yaani ukishafika 45yrs habari ya kuzaa achana nayo kabisa, labda kwa mtu mwenye changamoto za uzazi, ila umri huo ukijumlisha 20 manake ukiwa na 65 bado unasumbuka na kusomesha....

Kuna mzee wangu ana 71 sasa, ana watoto wawili na wote wapo chuo kikuu, aisee mzee ana stress sio poa, na alikuwa mtumishi wa serikali, alistaafu na mshahara mzuri tu. Yeye alikuwa na changamoto ya uzazi so alichelewa kupata watoto.
 
Wapuuzi kweli!

Aahh yule mpare ni nomaπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Cc ERoni
 
Uzi mzuri...
 
Huyu atasaidia kutuondolea upweke mzee mwenzanguπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† tutazeeka nako...
Hapo mmefanya vizuri, maana maisha ya Uzee bila Wajukuu ama watoto wa kuwafanyia fujo kidogo inakuwa Mtihani sana

Maana Atoto wakati huo atakuwa anapiga tripu za Mjini Kila mara kwenda kusalimia watoto wenu, wakati huo wewe utakuwa unaambiwa ukae nyumbani kulinda nyumba πŸ˜œπŸ™Œ
 
Kama mtu hakufanya biashara kabisa wakati wa ajira basi akistaafu mradi pekee usio na stress kwake ni kulea wajukuu zake tu.

Ila kama alikuwa ana biashara aendelee kujichanganya na biashara yake asifikirie kama kastafu, itamsaidia

Ila bhana usije ukajichanganya kutaka kumshauri Mstaafu, kamwe hamtaelewana hata kama ni mzazi wako wewe muache tu alivyo πŸ˜‚
 
Mzee mwenzangu bado unataka kuendelea kusomesha watoto Kwa hela ya Pension

Tena watoto wenyewe hawa, Shule wanazo soma Kila Mwaka wanaenda Vacation South AfricaπŸ™Œ
Shule za kata zipo🀣🀣
 
Angalia Mpare asikufundishe Upare wake hadi Kwa Mimi Babu yako

Maana tangu nimeomba uninunulie Kiko imepita miezi 8 sasa na Kiko haiji 😜
🀣🀣🀣🀣🀣 ananifundisha tu vitu vya ajabu ajabu.
Babu kiko si nilikuletea ukaikataa!! Pambana na hali yakoπŸ€ͺ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…