Baadhi ya miradi ya uwekezaji inayoweza kufanywa na wastaafu

Hapo mmefanya vizuri, maana maisha ya Uzee bila Wajukuu ama watoto wa kuwafanyia fujo kidogo inakuwa Mtihani sana
Mdangane tu ajichanganye🤣
Maana Atoto wakati huo atakuwa anapiga tripu za Mjini Kila mara kwenda kusalimia watoto wenu, wakati huo wewe utakuwa unaambiwa ukae nyumbani kulinda nyumba 😜🙌
Baba ni mlinzi wa familia🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣 ananifundisha tu vitu vya ajabu ajabu.
Babu kiko si nilikulerea ukaikataa!! Pambana na hali yako🤪
Hahaha.............. tafadhali mwambie akufundishe vyote sio Upare wake tu


Maana tuliowahi kuwa-date wapare tunajua tuliyopitia

Mtu unampa hela ya Nyama lakini unapikiwa ugali na vidagaa Mchanga kweli 🙌
 
Hahaha.............. tafadhali mwambie akufundishe vyote sio Upare wake tu


Maana tuliowahi kuwa-date wapare tunajua tuliyopitia

Mtu unampa hela ya Nyama lakini unapikiwa ugali na vidagaa Mchanga kweli 🙌
Bora hata vidagaa mchanga, huku ni mwendo wa makande tu! Hata nuru nimekosa🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Nikiwa na kitinda mimba hata aende kukaa mwaka sina shida...muhimu ni maokoto tu mzee mwenzangu!😆
 
Bora umshauri akikataa unamwacha, uzuri wake unaweza kumshauri Kwa maandishi kama hivi

Akienda tofauti una mprintia na kumpeleka docs kama ushahidi

Suala la kujifunza kujiwekeza ni muhimu sana, ndiyo maana baadhi ya Ofisi kwenye vile vikao vya mwisho wa Mwaka, mnapewa hizo risala na Maboss wenu

Wakati mwingine mnaletewa hadi Washauri

Ofisi ambazo watumishi wake hawajishughulishi, zinaongoza Kwa majungu aisee
 
Ndugu usidanganye wastaafu, hakuna biashara anaweza kuifanya kwa ustadi at age 60 - 65.

Wewe umekaa ofisini miaka 40 hujawahi hata kuuza maji ya uhai mtaani kwa jumla leo hii uanze uwekezaji kwenye kilimo ama biashara utakufa siku si zako kwanza kikubwa hata thinking yako na mwili ushaanza kuchoka.

Kitu pekee umaweza kufanya ni kuwekeza kiinua mgongo chako benki ili wakulipe faida ya depost yako...unakula polepole hadi cku ya msiba wako hela iwepo ya jeneza na chakula kwa waombolezaji.

Unaweza pia kuwekeza kwenye soko la hisa kama huo utaalamu unao - yaani ulikuwa kwenye fani ya Biashara na uwekezaji kipindi cha ajira yako.

Ni ushauri tu ili wewe mstaafu usije kulia na ukose wa kukufuta machozi kama wenzako eti kuwekeza kwenye kilimo & ufugaji,
 
Nikiwa na kitinda mimba hata aende kukaa mwaka sina shida...muhimu ni maokoto tu mzee mwenzangu!😆
Hahaha..............na kweli, maana Kwa huo umri hata huwezi kuwa na wivu naye sana ila yeye ndiyo atakuwa nao kwako

Maana asipokaba hadi penati atakuta umevizalisha vitoto vya elfu 2 😜
 
Hahaha..............na kweli, maana Kwa huo umri hata huwezi kuwa na wivu naye sana ila yeye ndiyo atakuwa nao kwako

Maana asipokaba hadi penati atakuta umevizalisha vitoto vya elfu 2 😜
🤣🤣🤣🤣 sasa akivizalisha si ni stress zake mwenyewe!!
 
Iko POA .Lakin sio mpaka tustaafu hata kabla ya kustaafu tunaweza kuchukua baadh na kuwekeza ili kuwa na vyanzo vingi vya kipato Zaidi ya mshahara. Maana Kila aliyeajiriwa nimstaaf mtarajiwa na muda was kujiandaa kustaafu ni kabla ya kustaafu
 
Ni sahihi Mkuu

Ndiyo maana tumeshauri kwamba suala la kuwekeza ni endelevu

Inatupasa wote tuanze kujifunza kuwekeza

Of course ukianza Uwekezaji at 60-65 lazima utapoteza Mtaji wote maana ishu ya usimamizi itakuwa vigumu Kwa umri huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…