Baadhi ya ndugu wauza nyumba ya familia Kariakoo iliyokuwa na waqfu. Mapanga yatembea nje nje

Baadhi ya ndugu wauza nyumba ya familia Kariakoo iliyokuwa na waqfu. Mapanga yatembea nje nje

Huyu dada inaonekana alitaka kuliuza pekee yake hilo ghorofa au kumkabidhisha mme wake kufaidi yeye na watoto wake kumbe ndugu wakashtuka mapema tuuze kila mtu afe na chake maana watu watakufa je ghorofa wajukuu watahusishwa kurithi mali hiyo akili kumkichwa!!
Yes. Umeona mbali.
Dada alitumia nafasi ya usimamizi kuwaminya wenzake
 
Mimi kwetu mtoto wa kwanza, na hiyo mijumba ya urithi ipo kuanzia Oysterbay, Mbezi Beach (several), Mbwamaji, mpaka mikoani.

Mashamba na viwanja ndiyo nahitaji spreadsheet la excel kuyalist.

Lakini, nimetafuta mwenyewe nyumba zangu Marekani na kuongeza.

Na nimewaambia nyumbani kwenye mambo ya urithi sitaki mali, nikipewa michoro ya kiinjinia aliyochora mzee wangu, na vitabu vyake fulani muhimu alivyovipenda, nitafurahi tu.

Nina matatizo ya kifalsafa na mali za urithi.
 
mtoto wa kike akikatalia nyumbani anamkuwa yeye ndio mama na anawatafutia baba..watakomba rasilmali zote kwa hila ..kuna kesi ina miaka 20 hapa bubiki shinyanga mwanake kazalia nyumbani kamiliki mashamba ngombe na uridhi wotw wa babake ...kwa kigezo alikuwa akimhudumia....hatari na nusu wajukuu ndio wamiliki wa majumba na mali zote
 
Mimi kwetu mtoto wa kwanza, na hiyo mijumba ya urithi ipo kuanzia Oysterbay, Mbezi Beach (several), Mbwamaji, mpaka mikoani.

Mashamba na viwanja ndiyo nahitaji spreadsheet la excel kuyalist.

Lakini, nimetafuta mwenyewe nyumba zangu Marekani na kuongeza.

Na nimewaambia nyumbani kwenye mambo ya urithi sitaki mali, nikipewa michoro ya kiinjinia aliyochora mzee wangu, na vitabu vyake fulani muhimu alivyovipenda, nitafurahi tu.

Nina matatizo ya kifalsafa na mali za urithi.
Shukuru Mungu.
 
mtoto wa kike akikatalia nyumbani anamkuwa yeye ndio mama na anawatafutia baba..watakomba rasilmali zote kwa hila ..kuna kesi ina miaka 20 hapa bubiki shinyanga mwanake kazalia nyumbani kamiliki mashamba ngombe na uridhi wotw wa babake ...kwa kigezo alikuwa akimhudumia....hatari na nusu wajukuu ndio wamiliki wa majumba na mali zote

Ni kweli ila huyu binti yeye analinda wosia wa baba yake
 
Mimi kwetu mtoto wa kwanza, na hiyo mijumba ya urithi ipo kuanzia Oysterbay, Mbezi Beach (several), Mbwamaji, mpaka mikoani.

Mashamba na viwanja ndiyo nahitaji spreadsheet la excel kuyalist.

Lakini, nimetafuta mwenyewe nyumba zangu Marekani na kuongeza.

Na nimewaambia nyumbani kwenye mambo ya urithi sitaki mali, nikipewa michoro ya kiinjinia aliyochora mzee wangu, na vitabu vyake fulani muhimu alivyovipenda, nitafurahi tu.

Nina matatizo ya kifalsafa na mali za urithi.
Kuna familia moja wako obay wana mgogoro mkubwa unaenda miaka zaidi ya 10
Hao watoto wanavyotifuana ni
Balaa

Ova
 
Kugombea mali za familia ni kama vile umekubali kwamba wewe huwezi kutafuta zako.

Urithi ni haki ya mtoto pia.

Familia zote zenye nguvu ya kiuchumi Duniani zinarithisha mali kwa vizazi vyao.
Hii mantiki yako uliyoielezea haina mashiko pia inapingana na uhalisia.
Mfano wa familia zenye mafanikio zaidi ni hizi
The Rothschild family(bankers)
Bush family(politicians)
Sinclair(nobles)
Toyoda family (Toyota)
Lee family(Samsung)
Waltons family
Mars family
Al Saud family
Ambani family
Koch family
Hizo familia zote zimefika hapo zilipo kwa kurithishana mali, kurithi ni suala na uumbaji na muendelezo wa maisha ya binadamu na urthi pekee ulio halali ni ule mtoto kurithi kwa mzazi wake (BABA).
 
Back
Top Bottom