Baadhi ya Single mama acheni tabia mbaya ya kuwapa watoto ubini wa kwenu badala ya baba zao halisi

Baadhi ya Single mama acheni tabia mbaya ya kuwapa watoto ubini wa kwenu badala ya baba zao halisi

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Huu ni ujinga wa hali ya juu. Kama mtoto ni wa Popoma muite Clara Popoma badala ya kumpa ubini usio wake.

Single mama baadhi yenu mnawapa ubini wa baba zenu kitu ambacho sio sawa. Hasira zako kwa aliyekupa mimba hazimhusu mtoto.

Yule ni baba yake wa damu hivyo ni haki ya mtoto kuitwa kwa jina lake. Ugomvi wenu usimhusishe mtoto.

Nimeandika kwa hasira baada ya mtoto mmoja wa kike kukosa msaada kwa babu yake baada ya babu kuona mjukuu anatumia ubini wa kwa mama. Kijana wa huyu mzee alizaa na binti na hawakuoana.

Na kijana ni mtu mpuuzi na mlevi ambaye katelekeza damu yake. Baada ya mwanamke kuona mambo magumu ndo akaamua kwenda kwa mkwewe kuomba msaada.

Yule dingi hakuwa na noma ila akatibuka vibaya baada ya kuona mjukuu wake hatumii jina la ukoo wao.

Akasitisha huduma zote na kutaka jina libadilishwe kwanza.
 
Isije akawa ndo Huyu unaye msemea, maana Huyu naye alifanya hivyo hivyo( single mama) 🙂
Screenshot_20250301-190308.png
 
Huu ni ujinga wa hali ya juu. Kama mtoto ni wa Popoma muite Clara Popoma badala ya kumpa ubini usio wake. Single mama baadhi yenu mnawapa ubini wa baba zenu kitu ambacho sio sawa. Hasira zako kwa aliyekupa mimba hazimhusu mtoto. Yule ni baba yake wa damu hivyo ni haki ya mtoto kuitwa kwa jina lake. Ugomvi wenu usimhusishe mtoto.

Nimeandika kwa hasira baada ya mtoto mmoja wa kike kukosa msaada kwa babu yake baada ya babu kuona mjukuu anatumia ubini wa kwa mama. Kijana wa huyu mzee alizaa na binti na hawakuoana. Na kijana ni mtu mpuuzi na mlevi ambaye katelekeza damu yake. Baada ya mwanamke kuona mambo magumu ndo akaamua kwenda kwa mkwewe kuomba msaada. Yule dingi hakuwa na noma ila akatibuka vibaya baada ya kuona mjukuu wake hatumii jina la ukoo wao. Akasitisha huduma zote na kutaka jina libadilishwe kwanza.
'Na kijana ni mtu mpuuzi na mlevi ambaye katelekeza damu yake.......' !! Kwa maneno haya, mtoto kupewa jina la ukoo wa Mama ni sahihi. Huyu mama alichemsha pale alipoona mambo magumu na kwenda kuomba msaada ukweni.
Vijana acheni kutundika mimba tu na kutelekeza watoto, Tunzeni ili muendeleze vizazi vyenu,siyo hit and run utegemee unaongeza ukoo.
 
Walimuita mwanangu John Mwampetele badala ya John Shimba ya Buyenze. Wakati wa kwenda shule ulipofika hawa hapa eti wanataka nianze kulipia ada tena academy kabisa. Niliwauliza swali moja tu "Huyo Mwampetele ndiye baba wa mtoto?"

Waliondoka!

Mtoto walinikatalia kumchukua halafu eti wananiletea Umwampetele kha! Mbona walibadilisha jina chap! 💪
 
Walimuita mwanangu John Mwampetele badala ya John Shimba ya Buyenze. Wakati wa kwenda shule ulipofika hawa hapa eti wanataka nianze kulipia ada tena academy kabisa. Niliwauliza swali moja tu "Huyo Mwampetele ndiye baba wa mtoto?"

Waliondoka!

Mtoto walinikatalia kumchukua halafu eti wananiletea Umwampetele kha! Mbona walibadilisha jina chap! 💪
Kule Zanzibar mtoto wa nje ya ndoa jinsia ya kiume upewa jina la Abdallah Abdallah wao wanasema mtoto wa nje ya ndoa ni mtoto wa Mama na wajomba.
 
Huu ni ujinga wa hali ya juu. Kama mtoto ni wa Popoma muite Clara Popoma badala ya kumpa ubini usio wake. Single mama baadhi yenu mnawapa ubini wa baba zenu kitu ambacho sio sawa. Hasira zako kwa aliyekupa mimba hazimhusu mtoto. Yule ni baba yake wa damu hivyo ni haki ya mtoto kuitwa kwa jina lake. Ugomvi wenu usimhusishe mtoto.

Nimeandika kwa hasira baada ya mtoto mmoja wa kike kukosa msaada kwa babu yake baada ya babu kuona mjukuu anatumia ubini wa kwa mama. Kijana wa huyu mzee alizaa na binti na hawakuoana. Na kijana ni mtu mpuuzi na mlevi ambaye katelekeza damu yake. Baada ya mwanamke kuona mambo magumu ndo akaamua kwenda kwa mkwewe kuomba msaada. Yule dingi hakuwa na noma ila akatibuka vibaya baada ya kuona mjukuu wake hatumii jina la ukoo wao. Akasitisha huduma zote na kutaka jina libadilishwe kwanza.
Kama ambavyo mtoto ana haki ya kuitwa ubini wa baba yake halisi hivyo hivyo mtoto ana haki ya kupata matunzo kutoka kwa huyo huyo baba halisi.
Kama unaona huna haki ya kutunza mtoto hivyo hivyo huna haki yeyote ya kudai ubini wako kwa huyo mtoto.

Hii tabia ya kijinga ya kuzaa hovyo watoto na kuwatelekeza kwa matumaini eti akikuwa atanitafuta ni dhana iliyo pitwa na wakati dunia ya sasa imebadilika.
Kama sasa hivi unazaa mtoto unamtunza, unamsomesha ,unampa kila kitu lakini akisha jitegea hana muda na ww sembuse ambaye ulimtelekeza?
 
Back
Top Bottom