Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Fatilia vizuri mkuu sakata la USAID kabla ya kutolea mfano. Wao hawajasusa bali wamepata Boss asiewapenda kawakatishia bajeti zao kwa ushauri wa musk.
Babu na USAID ni vitu viwili tofauti
Babu na USAID ni vitu viwili tofauti
Sawa Ndio maana nimetumia mfano WA USAID mwanzoni walikuwa wanatoa ila baadae wakasusa na huna cha kuwafanya