Demarcation
Senior Member
- Jan 21, 2014
- 178
- 248
Labda anataka kupiga kote kote,kule kwa baba mlezi na huku kwa baba mzazi, na bado hujui labda kuna wababa wengine zaidi nao wanapigwa matunzo fake ya mtoto fake!!Mpeleke kwa Babu yake uliempa jina lake, mbona njaa imezidi hadi unamleta kwangu tena wakati hatumii jina langu?