Demarcation
Senior Member
- Jan 21, 2014
- 178
- 248
Labda anataka kupiga kote kote,kule kwa baba mlezi na huku kwa baba mzazi, na bado hujui labda kuna wababa wengine zaidi nao wanapigwa matunzo fake ya mtoto fake!!Mpeleke kwa Babu yake uliempa jina lake, mbona njaa imezidi hadi unamleta kwangu tena wakati hatumii jina langu?
Nasoma comment tu...
japo kuna kidada kilienda na ujauzto wang afu kiliambia kinatoa ujauzto nikakikemea sana.
Naskia kimejifungua, nakipgia simu kinakataa hakina mtoto, na cjui mtoto ubin kapewa wangu au lah!
Kibaya zaid hakitaki matumiz wala huduma yoyote toka kwangu tangu kikiwa ujauzto(tupo mbali) kwa kudai hana ujauzto.
Numbisa tumfanyaje huyu
Nakazia hapo kuna jamaa kambambikzia.. Ngja tuone miaka ikatikeMpotezee atarudi mbeleni. Huyo alikutumia kama sperm donor tu. Ni wale single mothers by choice au ana mtu wake kambambikizia huyo mtoto
Sasa kama hawakulea, kwa nini uende kuwaomba msaada tena?Huyo Babu ndezi tu alitegemea kubembelezwa wakati hawakulea hata mimba wala kutoa kifuta jasho kwa wazazi wa mwanamke. Azile tu mtoto akikua asije mlaumu kwa kumtelekeza
Baadhi ya Wanawake walivyo matapeli hawashindwi kutengeneza vyeti feki vya kuzaliwa wakawapa wanaume watatu mtoto mmojaLabda anataka kupiga kote kote,kule kwa baba mlezi na huku kwa baba mzazi, na bado hujui labda kuna wababa wengine zaidi nao wanapigwa matunzo fake ya mtoto fake!!
Sasa kama hawakulea, kwa nini uende kuwaomba msaada tena?
Huyo mama mtoto asingeenda kuomba msaada, huo mvurugano usingetokea
Sasa mkuu watoto wengi wa masingo mother siwamepatikana kwa uzinzi?Ndiyo mtoto wa nje ya ndoa ni mtoto aliepatikana bila uadilifu wewe unaejiita Baba huna hata haki ya kumuozesha wala yeye mtoto hana haki ya kurithi
Kiufupi ubini hauna maana yeyote kwa mtoto hasa kwenye hii dunia ya sasa ila kwa sababu sisi waafirica ni jamii yenye tabia ya kutilia maanani mambo yasiyo na maana alafu yenye maana hatuna muda nao.Udanganyifu unaofanywa na wake za watu kwenye ndoa zao kuhusu watoto huwa ni wa muda tu, baadae Mama mwenye akili lazima atamwambia mtoto wake asili yake imetoka wapi, ndiyo maana kuna wa baba wawili tu, Baba mzazi, na baba mlezi, ila baba mzazi ni mmoja tu!!
Ndo maana nimekuambia kuwa huyo binti ndo mwenye matatizo kwa sababu mtoto ukisha mnyima ubini wa baba yake unakuwa umenyanganya huyo mtoto hivyo hutakiwi kumusisha kwa chochote kuhusu huyo mtoto.Jikite kwenye mada. Hayo mambo ya kukataa mimba ni mada nyingine. Hapa tunaongelea mtu ambaye hajakataa mtoto ila matunzo hatoi hadi babu wa mtoto kuanza kusaidia ila naye akajitoa baada ya kugundua mtoto hatumii ubini wa baba yake.
Hakuna mtoto asiyekua na ubini,kitu kibaya ni kumpa mtoto ubini usiokua wake kwa sababu za ubinafsi wa mama wa mtoto!!Sasa mkuu watoto wengi wa masingo mother siwamepatikana kwa uzinzi?
Kwa hiyo kutowapa ubini wa baba zao wako sahihi.
Umasikini ndiyo chanzo cha yote hayo, kuna watu wengi tu tena watu wazima wameukana hadi uraia wa nchi zao kisa njaa, lakini hiyo bado aibadilishi asili yako!!Kiufupi ubini hauna maana yeyote kwa mtoto hasa kwenye hii dunia ya sasa ila kwa sababu sisi waafirica ni jamii yenye tabia ya kutilia maanani mambo yasiyo na maana alafu yenye maana hatuna muda nao.
Kitendo cha mtoto kuzaliwa na ukadhibitisha kabisa kuwa huyu mtoto ni wako alafu ukamtelekeza ni sawa umemkana kabisa.
Hivi leo hii ww ungekuwa mtoto wa mtaani, tangu uzaliwe hujawahi kumuona baba yako unamsikiaga tu yupo sehemu fulani alafu akajitokeza mtu akakuambia nikuchukue nikutunze
,nikusomeshe, nikutengenezee maisha kama mtoto wangu ila kuanzia leo ukane ubini wa baba yako utumie ubini wangu au ubaki mitaani ukiteseka ww utachagua kipi?
Vijana wasasa huko mbeleni tutakuja kupata tabu ya kukanwa na watoto wetu kwa sababu ya huu ujinga wetu wa kuzaa watoto na kuwatelekeza eti wakikuwa watanitafuta.
Sasa hivi wazazi wanahangaika kusomesha watoto lakini akisha kuwa na kujitegemea hana muda na ww sembuse ww uliye mtelekeza?
Una udhibitisho wa kutosha kuwa hiyo mimba ilikuwa ya kwako?Nasoma comment tu...
japo kuna kidada kilienda na ujauzto wang afu kiliambia kinatoa ujauzto nikakikemea sana.
Naskia kimejifungua, nakipgia simu kinakataa hakina mtoto, na cjui mtoto ubin kapewa wangu au lah!
Kibaya zaid hakitaki matumiz wala huduma yoyote toka kwangu tangu kikiwa ujauzto(tupo mbali) kwa kudai hana ujauzto.
Numbisa tumfanyaje huyu
Hiyo sheria haina uhalisia wa maisha ya kawaida,mfano Uislamu hauruhu kumuita ubini wako mtoto uliye mzaa nje ya ndoa.Sheria inasema kama Mama mtoto hana uhakika wa Nani ni Baba mtoto anatakiwa jina la Baba mtoto aliandike Ajulikani,mfano mtoto anaitwa John jila la Baba ataitwa Ajulikani.
Basi huo ni udhibitisho tosha kuwa ubini sio kitu cha lazima kwenye maisha ya mwanadamu mpaka muwatolee povu mabinti za watu.Umasikini ndiyo chanzo cha yote hayo, kuna watu wengi tu tena watu wazima wameukana hadi uraia wa nchi zao kisa njaa, lakini hiyo bado aibadilishi asili yako!!
Kwa hiyo unataka kusema uislamu ndiyo unakukataza kuitambua damu yako uliopewa na Mungu!!??Hiyo sheria haina uhalisia wa maisha ya kawaida,mfano Uislamu hauruhu kumuita ubini wako mtoto uliye mzaa nje ya ndoa.
Hivi kati ya baba aliye telekeza mtoto na mama aliye mlea huyo mtoto ni nani mwenye ubinafsi?Hakuna mtoto asiyekua na ubini,kitu kibaya ni kumpa mtoto ubini usiokua wake kwa sababu za ubinafsi wa mama wa mtoto!!
Ww kumtambua hujakatazwa lakini huna haki yeyote juu ya huyo mtoto na hutakiwi kudai chochote kuhusu huyo mtoto .Kwa hiyo unataka kusema uislamu ndiyo unakukataza kuitambua damu yako uliopewa na Mungu!!??
Mbona comment ina makasiriko nn shida mama,,,Huyo Babu ndezi tu alitegemea kubembelezwa wakati hawakulea hata mimba wala kutoa kifuta jasho kwa wazazi wa mwanamke. Azile tu mtoto akikua asije mlaumu kwa kumtelekeza
Naona unaongea kwa hasira za kutelekezewa mimba/mtoto.Kama hakupewa taarifa basi atulie anafoka foka nini mtoto si wao afate taratibu apewe jina la ukoo wake. Saa nyingine mnaepushiwa laana za ulevi kwa jina kuchepushwa