Baadhi ya Viongozi waliokufa vifo tata

Baadhi ya Viongozi waliokufa vifo tata

PK ahusike, TiSs yako imelala?,military intelligence nayo imelala?
Kwani PK alipojaza watu wake hadi tulipomsikia Mtikila akisema kuwa kuna mapandikizi ya kumwaga, hiyo intelligence ilikuwa wapi.

Kuja kushtuka ni kweli wameajiriwa hadi idara na wizara nyeti. Ukaanzishwa msako kuwakamata na wengine walifanikiwa kutoroka.

Hii nchi kama kweli tungekuwa na intelligence yenye nguvu tusingekuwa tunaibiwa kijinga hivi.

Kuna intelligence ya kulinda maslahi ya akina fulani tu.

Mfano mdogo, Wakenya huja mara kwa mara na kuanzisha vi saccos vya upigaji. Utasikia saccos fulani imewapiga wa Tz mamilioni ya pesa.

Kila mwaka mchezo ni huohuo. Hiyo intelligence huwa wapi?
 
Utata upi wakati aliuliwa kwa mapanga?

Utata ni Mtu anakufa wakati hakuwa mgonjwa,
Hajapata ajali, wala kupigwa risasi au mapanga
Haya tuambie ni akina nani walimpiga mapanga Dr. Sengondo? Kifo kuwa cha utata hata kama ameuliwa na mapanga au risasi kinatosha kuwa na utata

Mpaka leo kifo cha Johnn F. Kennedy ni tata tena ni zaidi ya miaka 50 sasa, mpaka leo kifo cha Karume ni tata japo aliuwawa kwa risasi? Utata unakuja kuwajua ni akina nani ambao walishiriki mauaji hayo na walikuwa na dhamira ipi na walitumwa na nani?
 
Kwani PK alipojaza watu wake hadi tulipomsikia Mtikila akisema kuwa kuna mapandikizi ya kumwaga, hiyo intelligence ilikuwa wapi.

Kuja kushtuka ni kweli wameajiriwa hadi idara na wizara nyeti. Ukaanzishwa msako kuwakamata na wengine walifanikiwa kutoroka.

Hii nchi kama kweli tungekuwa na intelligence yenye nguvu tusingekuwa tunaibiwa kijinga hivi.

Kuna intelligence ya kulinda maslahi ya akina fulani tu.

Mfano mdogo, Wakenya huja mara kwa mara na kuanzisha vi saccos vya upigaji. Utasikia saccos fulani imewapiga wa Tz mamilioni ya pesa.

Kila mwaka mchezo ni huohuo. Hiyo intelligence huwa wapi?
Vyombo hivi vipo kulinda royal families ONLY
 
Utata upi wakati aliuliwa kwa mapanga?

Utata ni Mtu anakufa wakati hakuwa mgonjwa,
Hajapata ajali, wala kupigwa risasi au mapanga
Kuna mwamba kaandika huko Eti mchina Yan Buwen anahusika na ilo tukio
 
1688608064294.png

1688608112628.png


Baada ya Tanzania kupata uongozi wa hovyo na mchafu, nimejikuta namkumbuka mwanangu Christopher Mtikila (RIP aka R.A). Ni mtoto pekee aliyekuwa akipiga kelele na kusikika tena kwa uchungu mkubwa. Japo namuona Boniface Mwabukusi akijaribu kuvaa viatu vyake, hana makeke kama ya mwanangu huyu. Je akina Mtikila wengine mnangoja nini kuamka na kuidai Tanganyika na mapema? Maana, huu ujingi na ukumbaff unaoendelea unahitaji watu walio tayari kujitoa mhanga kwa ajili ya watu wetu.
 
Wote hao kifo kilichoniuma zaidi ni Mtikila.. mpaka leo sijaelewa kifo chake ilikuaje, halafu kilizimwa ghafla sana
Anayekumbuka vzr kile kifo anielezee vizuri
 
View attachment 2679668
View attachment 2679669

Baada ya Tanzania kupata uongozi wa hovyo na mchafu, nimejikuta namkumbuka mwanangu Christopher Mtikila (RIP aka R.A). Ni mtoto pekee aliyekuwa akipiga kelele na kusikika tena kwa uchungu mkubwa. Japo namuona Boniface Mwabukusi akijaribu kuvaa viatu vyake, hana makeke kama ya mwanangu huyu. Je akina Mtikila wengine mnangoja nini kuamka na kuidai Tanganyika na mapema? Maana, huu ujingi na ukumbaff unaoendelea unahitaji watu walio tayari kujitoa mhanga kwa ajili ya watu wetu.

Kuna yule renatus mkinga nae alikuja kuja saa hivi sijui yuko wapi
 
Back
Top Bottom