Baadhi ya vyombo vya habari vya nchi jirani vinaeneza uongo, vichukuliwe hatua Kali

Baadhi ya vyombo vya habari vya nchi jirani vinaeneza uongo, vichukuliwe hatua Kali

Akisema .... yupo .....

Huwezi kuendesha nchi kwa hearsay ! Yaani watu waache kufanya shughuli za kunufaisha watanzania, waanze kufanya ufafanuzi uzushi wa waliokosa hoja!

Hao waliokosa hoja wangeonekana wa maana kama wangekuja na hoja za kuwawezesha watanzania kufurahia uchumi huu wa kati kisha na kuwapa mbinu ya kuwawezesha watanzania waiingize nchi yao Jamhuri ya Muungano Tanzania kwenye uchumi wa kwanza. Lakini wapi wapo tu "wanajibaraguza"!
 
Huwezi kuendesha nchi kwa hearsay ! Yaani watu waache kufanya shughuli za kunufaisha watanzania, waanze kufanya ufafanuzi uzushi wa waliokosa hoja!

Hao waliokosa hoja wangeonekana wa maana kama wangekuja na hoja za kuwawezesha watanzania kufurahia uchumi huu wa kati kisha na kuwapa mbinu ya kuwawezesha watanzania waiingize nchi yao Jamhuri ya Muungano Tanzania kwenye uchumi wa kwanza. Lakini wapi wapo tu "wanajibaraguza"!
Katika Information Theory, uongo unakanushwa kwa ukweli.

Na usipokanusha uongo kwa kuweka wazi ukweli, umeuachia uongo utawale na kuchukuliwa kama ukweli.

Rais Magufuli ni rais wa nchi. Si mwali aliyewekwa ndani.

Hajaonekana hadharani wiki mbili.

Katiba ya nchi inasema wananchi wana haki ya kupewa habari za muhimu kuhusu maendeleo ya nchi yao.

Habari za uzima wa rais zinahusu mustakabali wa nchi nzima.

Rais Magufuli yuko wapi?

Kwa nini haonekani?
 
Katika Information Theory, uongo unakanushwa kwa ukweli
Hii nguvu ungeitumia kuhoji institution ya kifalume na malikia huko Uingereza juu ya tuhuma nzito za ubaguzi kwa mkwe wao na mjukuu wao, ungeondoa dhana nzima ya biased opinions na double standard based narratives unazoelekea kuziunga mkono!!
 
waje wajifunze kwa habib mchange na musiba jinsi ya kuendesha magazeti kwa uweledi kabisa
fahari.png
 
Dawa ya muongo ni ndogo.

Akisema uongo, kanusha kwa ukweli...
hawezi toka sababu watu fulani wameamua waandike hawezi kutoka.

anatoka wakati wake wa kutoka unapokuwa umefika.
kwenye hili lazima tujue rais na msanii wa bongofleva ni tofauti.
 
Magazeti ya nchi moja jirani yanaandika habari za uongo na kusababisha taharuki, naomba mamlaka zinazohusika zichukue hatua stahiki.
Mfano People Daily online hasa la leo.

Ni wakati mzuri Sasa Watanzania tushikamane kuitetea nchi yetu.
Wewe unauhakika gani kuwa ni uongo? Hakuna anaekanusha wala anaetoa ufafanuzi. Kuna methali ya kiswahili isemayo ' Lisemwalo lipo, kama halipo laja'. Penye ukweli uongo hujitenga. Ni vyema ukweli uutenge uongo.
 
Hii nguvu ungeitumia kuhoji institution ya kifalume na malikia huko Uingereza juu ya tuhuma nzito za ubaguzi kwa mkwe wao na mjukuu wao, ungeondoa dhana nzima ya biased opinions na double standard based narratives unazoelekea kuziunga mkono!!
Mimi si raia wa Uingereza, wala si mkazi wa Uingereza.

Tuongelee ya kwetu Tanzania kwanza kabla ya kujishaua kuhusu ya Uingereza.

Usitake kupoteza mjadala.
 
hawezi toka sababu watu fulani wameamua waandike hawezi kutoka.

anatoka wakati wake wa kutoka unapokuwa umefika.
kwenye hili lazima tujue rais na msanii wa bongofleva ni tofauti.
Wewe unajuaje hawezi toka kwa mpango huo na hajafa tayari?
 
Mimi si raia wa Uingereza, wala si mkazi wa Uingereza.

Tuongelee ya kwetu Tanzania kwanza kabla ya kujishaua kuhusu ya Uingereza.

Usitake kupoteza mjadala.
Kwanza kina malkia washajibu huko... ila hapa watueleze kipi ni kipi??
 
Magufuli na selikali haiwezi kufanya kazi kihuni namna hiyo!

Sabaya tu aliwapuuza sembuse Magufuli?
Uhuni ni kuacha nchi inakuwa katika mtafaruku kwa sababu rais hajaonekana hadharani wiki mbili bila kutoa maelezo yenye ushahidi wa wazi kuhusu hali ya rais.

Kama anaumwa watuambie, kama mzima wamuoneshe.

Kwa nini hawafanyi hivyo?

Wananchi wana haki ya kikatiba ya kupatiwa habari muhimu za mendeleo ya nchi yao, hali ya afya ya rais ni moja ya habari muhimu hizi.

Kuminya habari kuhusu hali ya afya ya rais si uhuni tu, ni kuvunja katiba pia.
 
Kwanza kina malkia washajibu huko... ila hapa watueleze kipi ni kipi??
Hawa wengine uwezo wao mdogo wa kufikiri unajionesha hata kwenye majibizano nao hapa.

Anaingiza habari za Malkia kwani Malkia kajifungia wiki mbili ndani?

Kama hii ndiyo gia yake ya kututoa kwenye mjadala anatumia tricks za kitoto sana.
 
Narudia Selikali haiwezi kufanya kazi kihuni kwa shinikizo la mihemuko ya wahuni wachache aina ya kina Lisu
Hahahaha nasema tena mbona huwa anajibu mambo ya mtandaoni akiwa jukwaani??? Mbona huwa wanatoa waraka wanapoona jambo linapotoshwa... Mpango kaenda kuongea na waandishi huku ana canula bado na kukohoa kama kote... kawasamehe waliomzushia kifo..hapo hajajibu uzushi wa watu??? Si tuambiwe tu kipenzi chetu, Raisi wetu, amiri jeshi mkuu wetu yu wapi maana tumemiss kufikewa bana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom