Baadhi ya vyombo vya habari vya nchi jirani vinaeneza uongo, vichukuliwe hatua Kali

Baadhi ya vyombo vya habari vya nchi jirani vinaeneza uongo, vichukuliwe hatua Kali

Nikithibitisha ni mzima wa afya,na hajafa,ili kukanusha taarifa za kukisia tu mtandaoni,nitakuwa natumia nguvu kubwa sana kukuridhisha.
Mkuu tulia tuli Nyumbu wanakwenda kuumbuka siku si nyingi. Wamesahau kuwa Mkulu haendeshwi na maneno ya watu wa vibarazani
 
Mkuu tulia tuli Nyumbu wanakwenda kuumbuka siku si nyingi. Wamesahau kuwa Mkulu haendeshwi na maneno ya watu wa vibarazani
Unaelewa kwamba hata Magufuli akiibuka mzima leo nchi bado itakuwa imeumbuka kwa kuwa na rais Slopoke?
 
Wana haki ya kujua rais wao alipo,ila hawana uamuzi wa kuamua ni kila baada ya muda gani lazima aonekane.

Kama ambavyo sio wote wanaojua ramani ya nyumba ya mwajiriwa wao yaani ikulu.
 
Ndioooo! Sisi hatumi. Waliokuwa wanapima walisimamishwa kazi. Takwimu hazitolewi kwanini wasijisifu and the wao taasisi zao za afya ziko huru utaalamu kwanza.

Kikubwa sisi tunakimbilia kwaokutibiwa
Unalia nini wakati wako jiuujuuuuuu sana
 
Mkuu tulia tuli Nyumbu wanakwenda kuumbuka siku si nyingi. Wamesahau kuwa Mkulu haendeshwi na maneno ya watu wa vibarazani
Naona wameanza kuwa wapole.

kigogo mapema kabisa akajisema"sisemi neno"
dada yao wa ugaibuni nayeye akaikana post yake.

Walishtuka kwamba wanawezakuwa wanadakishwa tonge la moto.
 
Tushikamane kwenye kutetea jizi la kura? Ingekuwa tuna huo umoja tusingeona wapinzani wakiuwawa ili ccm ikae madarakani kwa shuruti. Mngekuwa mnataka umoja msingekubaliana na siasa za kihayani za awamu hii.
 
Mnavyozidi kutapatapa bila kujibu swali hili dogo tu, "yuko wapi Magufuli?", ndivyo mnavyozidi kutoa mwanya kwa uzushi wowote kuhusu hali yake kutapakaa.

That is simple information dynamics.

Kama yupo na ni mzima, kwa nini inakuwa vigumu sana kumuonesha kwa kadamnasi uzushi wote uishe?
 
Ndioooo! Sisi hatumi. Waliokuwa wanapima walisimamishwa kazi. Takwimu hazitolewi kwanini wasijisifu and the wao taasisi zao za afya ziko huru utaalamu kwanza.

Kikubwa sisi tunakimbilia kwaokutibiwa
Unalia nini wakati wako jiuujuuuuuu sana
nenda moshi ukaone wakenya wanavyojaa kcmc.

wachana na story za vijiweni.hayo mambo yalikuwa zamani.
 
Haiwezekani mtu anayeeneza taarifa kwamba wewe kiranga unaumwa ukimwi. Huwezi msahihisha haraka haraka ili uweke uvumi kapuni, maana hujui lengo la yeye kusema hayo.

So jibu sahihi ni wewe kuendelea na ratiba zako.
 
tumemiss kufikewa bana
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png


Wewe msindikizaji umemmiss nani??
 
Kesho mbali angurume hata leo, lakini ujumbe umefika kuwa hatupendi jizi lolote la kura fullstop.
wewe,mmeo na wifi zako ndio mnamchukia.

tukiwatoa kwenye taifa la watu 60mln hamuwezi shindana nao kimaombi.
 
Back
Top Bottom