Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tulia tuli Nyumbu wanakwenda kuumbuka siku si nyingi. Wamesahau kuwa Mkulu haendeshwi na maneno ya watu wa vibarazaniNikithibitisha ni mzima wa afya,na hajafa,ili kukanusha taarifa za kukisia tu mtandaoni,nitakuwa natumia nguvu kubwa sana kukuridhisha.
Unaelewa kwamba hata Magufuli akiibuka mzima leo nchi bado itakuwa imeumbuka kwa kuwa na rais Slopoke?Mkuu tulia tuli Nyumbu wanakwenda kuumbuka siku si nyingi. Wamesahau kuwa Mkulu haendeshwi na maneno ya watu wa vibarazani
Naona wameanza kuwa wapole.Mkuu tulia tuli Nyumbu wanakwenda kuumbuka siku si nyingi. Wamesahau kuwa Mkulu haendeshwi na maneno ya watu wa vibarazani
nenda moshi ukaone wakenya wanavyojaa kcmc.Ndioooo! Sisi hatumi. Waliokuwa wanapima walisimamishwa kazi. Takwimu hazitolewi kwanini wasijisifu and the wao taasisi zao za afya ziko huru utaalamu kwanza.
Kikubwa sisi tunakimbilia kwaokutibiwa
Unalia nini wakati wako jiuujuuuuuu sana
Sheria gani? Itaje hapa.Labda anajadili Mahindi. Huwezi kutamka kila kitu, kuna sheria!
Magufuli na selikali haiwezi kufanya kazi kihuni namna hiyo!
Sabaya tu aliwapuuza sembuse Magufuli?
Kesho jioni Mkulungwa ataunguruma.
wewe,mmeo na wifi zako ndio mnamchukia.Kesho mbali angurume hata leo, lakini ujumbe umefika kuwa hatupendi jizi lolote la kura fullstop.
ukweli ataujibu magufuli mwenyewe.Ukweli ni upi?
magufuli ni msukumaTofauti ya Magufuli na Sabaya ni ipi?