Baadhi ya vyombo vya habari vya nchi jirani vinaeneza uongo, vichukuliwe hatua Kali

Baadhi ya vyombo vya habari vya nchi jirani vinaeneza uongo, vichukuliwe hatua Kali

Ndo akina nani na nani hao?
Whoever the big cheese is, what does it matter who the individual is?

The point is, why don't they refute these so called speculations with irrefutable facts, by showing that the president is alive and kicking, just as they did in the case of Dr. Mpango?
 
Da tunataka hata nchi za wenye akili wawe Kama banana republic?sidhani
 
aQUOTE="imhotep, post: 38336314, member: 105391"]
Kikwete alikuwa anayaweza sana haya mambo ya damage control awasaidie hawa wachunga Ng'ombe naona maji yamewafika shingoni
[/QUOTE]
People Daily waliweka wazi kila kitu hadi safari ya kwa Akina Andhaa Kanoon.
 
Magazeti ya nchi moja jirani yanaandika habari za uongo na kusababisha taharuki, naomba mamlaka zinazohusika zichukue hatua stahiki.
Mfano People Daily online hasa la leo.

Ni wakati mzuri Sasa Watanzania tushikamane kuitetea nchi yetu.
Ushikamane na nani
 
Mbona unaandika kwa kupanick.Kwani wamesema nini.Kama unaogopa kusema si ungeacha kuandika humu.Wachukuliwe hatua na nani,kwa sababu gani,wamesema nini.Vyombo vya wenzetu viko huru usidhani wanazibwa mdomo na pua kama hapa kwako.Tena ukajisahau kabisa eti,wachukuliwe hatua,bila kueleza sababu hasa.Lakini pia kuna International Laws zinazowalinda.Wenzetu sio wabongo,wana uhuru wa kutoa habari.Midomo yao haijabanwa na makufuli kama hapo kwako.Subiri mahakama kuu.
Ndg mbona unanifokea,
Google Gazeti la People Daily bana aaagh.
 
Suala si uongo au ukweli. Suala ni kuhabarisha mambo ambayo nchi haitaki yawe wazi kwa sasa. Jamaa hawana heshima kwa nchi.
 
W
Wanajisifu kuwa wait Wana huduma Bora za matibabu kuliko nchi yeyote ukanda huu. na kwamba kwao Sasa imekua Ni Kama utalii wa kimatibabu.
Inaniuma Sana wallah
Sisi tuna huduma bora za usafiri wa anga na punde tutakuwa na huduma bora za umeme. Nagema ulanzi hapa nilipo.
 
Wewe ya humu ndani huyasomi au wewe kiswahili hukijui hadi unafuatilia tu magazeti ya nje
FB_IMG_16155237868014899.jpg
 
Katika Information Theory, uongo unakanushwa kwa ukweli.

Na usipokanusha uongo kwa kuweka wazi ukweli, umeuachia uongo utawale na kuchukuliwa kama ukweli.

Rais Magufuli ni rais wa nchi. Si mwali aliyewekwa ndani.

Hajaonekana hadharani wiki mbili.

Katiba ya nchi inasema wananchi wana haki ya kupewa habari za muhimu kuhusu maendeleo ya nchi yao.

Habari za uzima wa rais zinahusu mustakabali wa nchi nzima.

Rais Magufuli yuko wapi?

Kwa nini haonekani?
Hata kama hatukumchagua anaishi kwa kodi zetu hata aliko anatumia kodi zetu He is a public figure and not somebody's errand 👦. Where is our president. It is a rightful demand and not a request.Abbas come out.
 
Habari za uongo walizoandika ni zipi mkuu?maana mimi nipo namtumbo huku sijui hao nchi jirani wameansika nn &maana ulivyoandika utazani wote tupo karibu na nchi jirani
Ukiwa Namtumbo hakuna nchi jirani? Hata aliyeko Tunduma, Ngara, Mtwara, Namanga, Mara, Pangani, nk wote wako karibu na nchi jirani
 
Ukiwa Namtumbo hakuna nchi jirani? Hata aliyeko Tunduma, Ngara, Mtwara, Namanga, Mara, Pangani, nk wote wako karibu na nchi jirani
Hoja ni nini walichoandika nchi jirani ya alieko mleta mada &kujua hili nalo hadi ufundishwe na wazazi wako?
 
Kwanza kabisa, Kiranga si rais wa nchi.

Mpaka hapo ushajionesha hujui kulinganisha vinavyofanana kulinganishwa.
hata rais wa nchi sio kiranga.

kwamba atakurupuka alipo sababu watu wanamtafuta.
 
Back
Top Bottom