Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka hii spana yako ni kubwa sana![emoji1][emoji1][emoji1]Dawa ya muongo ni ndogo.
Akisema uongo, kanusha kwa ukweli.
Akisema Magufuli yupo hospitali Nairobi, muoneshe Magufuli huyu hapa yuko Ikulu Tanzania hayupo hospitali Nairobi.
Kwa nini serikali ya Tanzania haikanushi uongo kwa kuweka ukweli wazi?
Habari inasemaje MKUU?embu ilete tuione ,ili tujue Kama NI ya UZUSHI AU LAH....otherwise wewe ndio mzushi ,uchukuliwe hatuaMagazeti ya nchi moja jirani yanaandika habari za uongo na kusababisha taharuki, naomba mamlaka zinazohusika zichukue hatua stahiki.
Mfano People Daily online hasa la leo.
Ni wakati mzuri Sasa Watanzania tushikamane kuitetea nchi yetu.
Sasa habari yenyewe hatujui ni Ipi , tutashikama Vip kwa kitu ambacho hatukijui mkuu , weka japo headingMagazeti ya nchi moja jirani yanaandika habari za uongo na kusababisha taharuki, naomba mamlaka zinazohusika zichukue hatua stahiki.
Mfano People Daily online hasa la leo.
Ni wakati mzuri Sasa Watanzania tushikamane kuitetea nchi yetu.
Ha ha haaaa! Sikujua kama nina followers wengi namna hii hapa JF. Ha ha haaa! Tushirikiane kumjibu tu, Mkuu, huyu ndugu yetu Kiranga.Njoo rudi
Pigia msitari kabisaDawa ya uzushi ni ukweli na muda
TCRA si ipo mzeeMagazeti ya nchi moja jirani yanaandika habari za uongo na kusababisha taharuki, naomba mamlaka zinazohusika zichukue hatua stahiki.
Mfano People Daily online hasa la leo.
Ni wakati mzuri Sasa Watanzania tushikamane kuitetea nchi yetu.
Wenzio hawatetei utopolo, na hamuwezi kuwafanya lolote!Magazeti ya nchi moja jirani yanaandika habari za uongo na kusababisha taharuki, naomba mamlaka zinazohusika zichukue hatua stahiki.
Mfano People Daily online hasa la leo.
Ni wakati mzuri Sasa Watanzania tushikamane kuitetea nchi yetu.
sasa hapa uongo uko wapi? hawajisifu bali wanasema kweli,W
Wanajisifu kuwa wait Wana huduma Bora za matibabu kuliko nchi yeyote ukanda huu. na kwamba kwao Sasa imekua Ni Kama utalii wa kimatibabu.
Inaniuma Sana wallah
Sabaya ni kiongozi mdogo sana bado aliwapuuza hao wahuni akaendelea na mishe zake!
Sembuse cheo cha rais?
Umejibu kijinga sana, nimecheka mbele za watu, aisee ningekuwa mimi ndiyo ninayekulipa leo usingepata kitu.Hii nguvu ungeitumia kuhoji institution ya kifalume na malikia huko Uingereza juu ya tuhuma nzito za ubaguzi kwa mkwe wao na mjukuu wao, ungeondoa dhana nzima ya biased opinions na double standard based narratives unazoelekea kuziunga mkono!!
Hivi huna habari jwamba dawa nyingi za kimagharibi zinatokana na wana sayansi kufanya utafiti kuhusu dawa zinazo tokana na miti shamba, walizanyia analysis kuangalia composition/ingredients zizilizomo, baada ya kubaini hayo ndio waka synthesize vidonge/vimiminika vinavyo fanana fanana na dawa za miti shamba - hivyo wanao beza beza na kukejeri masuala ya miti shamba hawajui historia ya utengenezaji wa dawa.Wapo sahihi tu mkuu si unakumbuka walivyomtibu Lissu kwa ufanisi?sasa wewe wenzio wanapata chanjo wewe unaweka sauna unasema ndio chanjo sasa hii akili?viungo vya kukata shombo katika vitoweo ndio dawa
.... MAMLAKA zichukue hatua stahiki... UMESENA NI MAGAZETI YA NCHI JIRANI, SASA MIMI NAKUULIZA:-Magazeti ya nchi moja jirani yanaandika habari za uongo na kusababisha taharuki, naomba mamlaka zinazohusika zichukue hatua stahiki.
Mfano People Daily online hasa la leo.
Ni wakati mzuri Sasa Watanzania tushikamane kuitetea nchi yetu.
Kama walimtibu Kwa ufanisi Belgium alifuata nini au ndio huo uhamiaji?Wapo sahihi tu mkuu si unakumbuka walivyomtibu Lissu kwa ufanisi?sasa wewe wenzio wanapata chanjo wewe unaweka sauna unasema ndio chanjo sasa hii akili?viungo vya kukata shombo katika vitoweo ndio dawa