G Classic Og
Member
- Mar 9, 2021
- 9
- 3
Reality
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Reserved for future reference.Wewe unajuaje.....?
sasa kila mwaka mnaibiwa nyinyi tu,kwani hamjui namna ya kuiba na nyinyi!!!!Tushikamane kwenye kutetea jizi la kura? Ingekuwa tuna huo umoja tusingeona wapinzani wakiuwawa ili ccm ikae madarakani kwa shuruti. Mngekuwa mnataka umoja msingekubaliana na siasa za kihayani za awamu hii.
Sabaya aliyefanya interview juzi?Sabaya tu aliwapuuza sembuse Magufuli?
Ww na mashoga wenzako ndio mnakubali hilo jizi la kura.wewe,mmeo na wifi zako ndio mnamchukia.
tukiwatoa kwenye taifa la watu 60mln hamuwezi shindana nao kimaombi.
Dawa ya muongo ni ndogo.
Akisema uongo, kanusha kwa ukweli.
Akisema Magufuli yupo hospitali Nairobi, muoneshe Magufuli huyu hapa yuko Ikulu Tanzania hayupo hospitali Nairobi.
Kwa nini serikali ya Tanzania haikanushi uongo kwa kuweka ukweli wazi?
When in the future?Reserved for future reference.
Kwanza kabisa, Kiranga si rais wa nchi.haiwezekani,
mtu anayeeneza taarifa kwamba wewe kiranga unaumwa ukimwi,huwezi msahihisha haraka haraka ili uweke uvumi kapuni,maana hujui lengo la yeye kusema hayo.
so jibu sahihi ni wewe kuendelea na ratiba zako.
Dah!Mnavyozidi kutapatapa bila kujibu swali hili dogo tu, "yuko wapi Magufuli?", ndivyo mnavyozidi kutoa mwanya kwa uzushi wowote kuhusu hali yake kutapakaa.
That is simple information dynamics.
Kama yupo na ni mzima, kwa nini inakuwa vigumu sana kumuonesha kwa kadamnasi uzushi wote uishe?
Vimekuponya na vimeponya wengi! Mtu akishiba dona utasikia " dona la Kazi gani kwani mimi mfungwa?." Mungu ametuponya kupita hivyo unavyovidharau!Wapo sahihi tu mkuu si unakumbuka walivyomtibu Lissu kwa ufanisi?sasa wewe wenzio wanapata chanjo wewe unaweka sauna unasema ndio chanjo sasa hii akili?viungo vya kukata shombo katika vitoweo ndio dawa
Mtu anaulizwa, Rais yuko wapi?Calling a spade a big spoon instead of 'a spade a spade'
Mbona Dr. Mpango walimuonesha?Dah!
Yaani wamuonyeshe kwa kadamnasi? Kawa sanamu?
Akina nani kwanza hao?
Kumuonesha hivyo Magufuli si kuendesha nchi kwa tetesi.Nchi haiwezi kuendeshwa kwa tetesi.
Hii nguvu ungeitumia kuhoji institution ya kifalume na malikia huko Uingereza juu ya tuhuma nzito za ubaguzi kwa mkwe wao na mjukuu wao, ungeondoa dhana nzima ya biased opinions na double standard based narratives unazoelekea kuziunga mkono!!
Wewe Pseudo, Njoo rudi hapa umjibu KirangaReserved for future reference.
Akina nani?Mbona Dr. Mpango walimuonesha?
Kwani Dr. Mpango ni sanamu?
Serikali ya Tanzania.Akina nani?