Baadhi ya vyombo vya habari vya nchi jirani vinaeneza uongo, vichukuliwe hatua Kali

Baadhi ya vyombo vya habari vya nchi jirani vinaeneza uongo, vichukuliwe hatua Kali

Tushikamane kwenye kutetea jizi la kura? Ingekuwa tuna huo umoja tusingeona wapinzani wakiuwawa ili ccm ikae madarakani kwa shuruti. Mngekuwa mnataka umoja msingekubaliana na siasa za kihayani za awamu hii.
sasa kila mwaka mnaibiwa nyinyi tu,kwani hamjui namna ya kuiba na nyinyi!!!!

kuonewa sana nao ni ugonjwa.
 
wewe,mmeo na wifi zako ndio mnamchukia.

tukiwatoa kwenye taifa la watu 60mln hamuwezi shindana nao kimaombi.
Ww na mashoga wenzako ndio mnakubali hilo jizi la kura.
 
Dawa ya muongo ni ndogo.

Akisema uongo, kanusha kwa ukweli.

Akisema Magufuli yupo hospitali Nairobi, muoneshe Magufuli huyu hapa yuko Ikulu Tanzania hayupo hospitali Nairobi.

Kwa nini serikali ya Tanzania haikanushi uongo kwa kuweka ukweli wazi?

Nchi haiwezi kuendeshwa kwa tetesi.
 
Yaani wewe mpumbavu kweli.

What if wakaja wakaweka ushahidi ni kweli alifika hapo? Hujui kama CCTV camera zipo kila mahali siku hizi?

Embu ficha ujinga wako.
 
haiwezekani,

mtu anayeeneza taarifa kwamba wewe kiranga unaumwa ukimwi,huwezi msahihisha haraka haraka ili uweke uvumi kapuni,maana hujui lengo la yeye kusema hayo.

so jibu sahihi ni wewe kuendelea na ratiba zako.
Kwanza kabisa, Kiranga si rais wa nchi.

Mpaka hapo ushajionesha hujui kulinganisha vinavyofanana kulinganishwa.
 
Mnavyozidi kutapatapa bila kujibu swali hili dogo tu, "yuko wapi Magufuli?", ndivyo mnavyozidi kutoa mwanya kwa uzushi wowote kuhusu hali yake kutapakaa.

That is simple information dynamics.

Kama yupo na ni mzima, kwa nini inakuwa vigumu sana kumuonesha kwa kadamnasi uzushi wote uishe?
Dah!

Yaani wamuonyeshe kwa kadamnasi? Kawa sanamu?

Akina nani kwanza hao?
 
Wapo sahihi tu mkuu si unakumbuka walivyomtibu Lissu kwa ufanisi?sasa wewe wenzio wanapata chanjo wewe unaweka sauna unasema ndio chanjo sasa hii akili?viungo vya kukata shombo katika vitoweo ndio dawa
Vimekuponya na vimeponya wengi! Mtu akishiba dona utasikia " dona la Kazi gani kwani mimi mfungwa?." Mungu ametuponya kupita hivyo unavyovidharau!
 
Waache watusaidie kusema ukweli maana vyombo vya habari hapa bongo vinaamuliwa cha kuandika
 
Nchi haiwezi kuendeshwa kwa tetesi.
Kumuonesha hivyo Magufuli si kuendesha nchi kwa tetesi.

Kumuoneshq hivyo Magufuli ninkumqliza tetesi.

Kutomuonesha hivyo Magufuli ndiyo kuendesha nchi kwa tetesi.

Maana kuna tetesi, kuna namna serikali inaweza kuzimaliza tetesi hizi kiurahisi sana, lakini inazilea, haizimalizi.

Hapo ukitumia werevu kidogo tu utaona kuna jambo haliko sawa.

Kuna jambo serikali inaficha.

Kama rais yupo hai na ni mzima, hizi tetesi zingeweza kumalizwa ndani ya dakika tano tu.

Kwani Magufuli anaogopa wananchi wa Tanzania?
 
Hii nguvu ungeitumia kuhoji institution ya kifalume na malikia huko Uingereza juu ya tuhuma nzito za ubaguzi kwa mkwe wao na mjukuu wao, ungeondoa dhana nzima ya biased opinions na double standard based narratives unazoelekea kuziunga mkono!!

Reserved for future reference.
Wewe Pseudo, Njoo rudi hapa umjibu Kiranga
Unaenda kutafuta viposti vyako vya fake news uje kujibu

Mnakajipost kenu kajiginga huko ya kwamba Yule Kenge Mkuu kashinda Covid na sasa yuko hoi bin taabani ugenini , na Nguruvi3 kawagaraza huko unaleta utopolo wako huku.
Na Malkia kahusu nini na Covid?
 
Back
Top Bottom