much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Huo ni uoga sio nidhamuKama Jeshi la Tanzania lisingekuwa na nidhamu,Uasi unaouona katika nchi zenye vita ungeuona katika JWTZ.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni uoga sio nidhamuKama Jeshi la Tanzania lisingekuwa na nidhamu,Uasi unaouona katika nchi zenye vita ungeuona katika JWTZ.
Hujaamueleewahakuna kitu hapo
Kuna tatizo katika utawala mkuuNashangaa kwanini wengine wanakosa nidhamu maana kumkuta Afisa mzima akiwa haa nidham huwa linanifikirisha sana Bora hawa Ma askari wa jeshi sawa..
Ila maafisa ambao huenda Mwaka mmoja au wiki 52 huko Monduli kula Masomo ya nidhamu,Utumishi maadili na utawala...
Mkuu fafanua zaidiNi vita pekee huwaleta wanajeshi na raia wa kawaida pamoja.
Sio wakati huu ambapo raia anaamini mwanajeshi hawezi kulia mpaka kugalagala chini.
Mkuu kama nakuelewa hvMajeshi yasiyojiamini au tuseme majeshi feki ambayo tunajua fika uwezo wao unaishia kwenye vita za huku Afrika.
Ni kweli au???Mojawapo ya kazi ya jeshi ni kujivisha sura ya kuogopeka mbele ya raia wake katika mazingira fulani
Kwani wakiwa uraini sio wanajeshi mkuu??Sehemu ambapo nidhamu na utii vinaishi ni jeshini. Haya yanayotekea ni matokeo ya akii za pombe na hao askar wakiwa uraiani .
Sijui nimeelewekaje hapo mkuuKwani wakiwa uraini sio wanajeshi mkuu??
Umeongea sahii mkuuKaribia majeshi yote nchini yanatakiwa kufanyiwa maboresho ya kiufundi.
Maana yanafunfishwa matumizi ya nguvu zaidi kwenye kutatua matatizo, kuliko akili.
My pointMkuu ebu fafanua kiundani ,,masna umeongea pointi sana
Kwamba wakiwa uraiani wanauvua uanajeshi wao mkuu??Sijui nimeelewekaje hapo mkuu
Umeeleweka mkuuMy point
Angalia namna wanajeshi wanavyojazwa kwenye siasa during na baada ya kustaafu kwao. Unakuta mjeshi mkuu wa wilaya au mkoa. Ikumbukwe kwamba RC na DC wanatambulika kama wajumbe wa kamati ya siasa ya Wikaya au mkoa waliokuwepo. Na vyeo hivyo ni political appointment na siyo uograding levels za utumishi.
Wakistaafu wanaingia kwenye nafasi za kisiasa as if ni makada wazoefu wa chama tawala. Kimsingi Mwanasjeshi na askari hawapaswi kuwa wanachama wa chama chochote cha siasa.
Wamekuwa wakitoa ulinzi na sapoti kubwa kwa wagombea wa CCM during chaguzi kinyume na utaratibu. Anakuja mgombea wa CCM kituoni anaruhushiwa kuingia na kuongea hata na wasimamizi. Lakini akija chama mbadala haruhhsiwi labda kwa lengo la kupiga kura pekee.
Tunahitaji kuheshimu Katiba na sheria za nchi lakini wenzetu ndo wamejigeuza sheria na wanataka kuheshimiwa
Shukran mkuu.Hebu kunywa togwa hapo ntalipa.,..watu wengi hawajui kwamba matokeo ya yote haya sababu ni siasa uchwara
Duuuh sikujua hiloShukran mkuu.
Wana viapo vya siri kuwa watiifu kwa chama tawala kilichopo
Jeshi hufundisha na kusisitiza nidhamu ila wanajeshii wenyewe ndiyo shida wengine hujipulizia bangi matokeo yake ni hayoAu elimu inayotolewa jeshini inahusu tu nidhamu ua uwanja wa vita na sio nidhamu ya kuishi na raia au watu inaowalinda? Bahati mbaya uongozi wa jeshi unaongozwa na kanuni,sasa wale watu waliopewa dhama ya kusimamia hizo kanuni wakizivunja ni nani atawakemea?
Ni kweli mkuu maana kipindi cha mobeyo hatukuona hayaHujaamueleewa
Kuna tatizo katika utawala mkuu
Nahsisi watakuwa ni Askari tu Sio Maafisa wanaofNya hivyoJeshi hufundisha na kusisitiza nidhamu ila wanajeshii wenyewe ndiyo shida wengine hujipulizia bangi matokeo yake ni hayo