Kuna memba ana id ya kike hapa jf, ujumbe ukufike hapo ulipo. Acha kunanga wanaume na kuwa portray kama watu katili sana hapa duniani, nyuma ya pazia wewe ni mtongozaji mzuri sana.
Tulia usome huu ujumbe kwa makini na ujitahidi kubadilika, sina shida na UMALAYA unaofanya, shida yangu ni pale unapojaribu kuwafanyia utapeli wanaume waliokufadhiri. Sisi wanaume huwa tunapeana pasi za visigino, ipo siku utaliwa mtungo na kundi la watu kwa hizi tabia zako.
Kwanza unawaharibia wanawake waaminifu katika UMALAYA wao, hawawaibii wateja wao, bali wanatoa huduma safi kwa uaminifu. Halafu watu wakilalamika hapa wanawake wanakuja juu kukutetea wakiamini ni mwenzao. Acha utapeli utakufa vibaya. Usizani hela ya mwanaume inaliwa kijinga tu na mtu yoyote. Tunatoa hela kwa wanawake wastarabu hata kama ni MALAYA.
Ulinifata PM baada ya kuona nimepost picha yangu mahali flani, ukashindwa kuvumilia ukajaa PM na vimaneno vingiii. Nikashangaa mwanamke anapata wapi uthubutu wa kumvaa mwanaume PM na anakuja direct kwenye lengo. Ndani ya dakika 10 tu ukanitumia mpaka picha ya K.
Niligundua mapema kuwa unajiuza, nikaamua kukusanya ushahidi kwanza.
Usipate shida kujiuliza kama ni wewe, ulianza hivi
Wewe: mambo
Mimi: poa
Wewe: mbona unatutega jamani
Mimi: kivipi tena
Wewe: unafaa kukaliwa
Mimi: kwani mimi ni kiti?
Wewe: huyo jamaa alielala hapo akikasirila ni hatari sana.
Baasi tukachati kwa muda kidogo, ukaomba kuona picha nikiwa na boxer. Nikakwambia ukitaka kuniona nitumie picha yako kwanza ukiwa naked, halafu na mimi nakutumia nikiwa naked. Ukanitumia picha inaonyesha mapaja mpaka karibu na K, ulikuwa umejifunga taulo la light blue. Nikakujibu nataka picha ya K ndipo nikutumie na mimi. Ukanitumia picha 2 za K ukiwa na underwear ya dark blue nyingine umevua, nikakwambia hizi sio zako maana hazifanani na ile ya kwanza.
Ukanijibu nakutumia yangu ila nikiikuta kwa mtu tutagombana, nikakujibu sina huo utoto, ukanitumia picha ya K mwanamke amelala chali na ilifanana na ile ya mapaja. Nikaingia telegram nikachukua picha ya dude ni maarufu sana kwenye ma group ya wakenya. Ukaniambia hii sio yako, hapo nikapata jibu kuwa wewe ni malaya na hiyo picha ulishakutana nayo sana.
Nikaingia google nika search picha yenye sifa kama zangu, nikai edit na kuiwekea black and white colour nikakutumia. Ukasema mbona dude kubwa sana, halafu nguo sio kama zile, nikakudanganya ile ya kule sio ya leo, leo niko na nguo hiyo ukasema poa.
Nikaamua nimalizane na wewe siku hiyo hiyo, nikakuuliza unakokaa ukasema ukonga, nikakwambia nakaa magomeni kama vipi tuonane leo nikupige miti, ukasema poa ila naogopa dude kubwa. Halafu ukauliza kama natumia 0713, nikakwambia ndio vipi wewe, ukasema hutumii. Nikakwambia poa hata mimi situmii pia, ukasema poa.
Nikakwambia nipe dau lako tumalizane, ukanijibu laki 2, nikataka kujua kwa muda gani, ukasema siku nzima. Nikasema Poa na huduma yako ikiwa nzuri nitakuongezea ukakubali.
Nikakwambia nakutaka jioni hiyo uje ulale kwangu, ukasema poa, nikakwambia malipo tunafanyaje. Ukajanijibu nikupe advance nyingine nitakupa ukifika (hapa nikacheka sana). Nikakwambia ukija nakupa yote, ukasema poa ila nitume nauli. Nikakujibu nipe location nakuja kukufata ukasema poa kisha ukapotea.
Kesho yake ukanicheki jioni ukasema ulibanwa na kazi unaomba uje ijumaa uondoke jumapili kwa dau lile lile, nikasema poa. Ukaniambia nikusaidie vocha ya 10000 ununue kifurushi na pia unadaiwa, nikakujibu 'POTEZEE PM YANGU MIMI NI MKONGWE ZAIDI YAKO' , ukajibu ok.
Ukweli uko hivi
-Wewe ni mwanaume unaetumia picha za wanawake kudanganya watu PM. Ndio maana ulikuwa unanisisitiza sana tuhamie WhatsApp. Na avatar yako ina pisi kali sana.
-Wewe ni shoga, nilikugundua ulipotaka tufanye 'sex chat' , kuna maneno ulikuwa unayaongea, hayo huyakuti kwa wanawake (dirty talk) yako kwa mashoga.
- Ulikuwa curious sana kutaka kujua kama napenda 0713, mwanamke anaependa 0713 hawezi kuwa na maswali yale. Ulitaka unibadilishe lengo ili kama natumia uje.
- Ulishindwa kuendelea na mimi baada ya kukataa kutuma nauli, nikasema nakufata mwenyewe na gari yangu , ukaona nitakuumbua. (hapa nilikufanyia makusudi maana hata kama ungekuwa demu kweli bado tusingeonana maana siko Tz).
Niliamua kukufatilia na kuona content zako zote ni za 'attention seeker' kwa wanaume ili waje PM au ukiwafata PM waone umewakubali.
Sina nia ya kukuumbua hapa, wewe endelea kujitafutia kipato, ila kuwa makini, usipende dhuruma. Ni bora umwambie mtu kuwa wewe ni shoga ili kama anaridhia kufanya biashara na wewe akutumie nauli na uende kweli sio kula nauli na kunyamaza kama ulivyodhani utanikamata. Utakuja kufa vibaya mdogo wangu.
WEWE SIO MALAYA, WEWE NI SHOGA
Pata fundisho hapa.
Kuna dada mkenya ni diaspora hapa nilipo, kazi yake ni kuwalizisha wale wazee wanaoishi maisha ya kipweke. Kuna mtandao rasmi wanawake wanajisajili hapo, halafu mteja akipatikana anakutumia location unaenda mnamalizana anakulipa.
Huyu dada akaingia tamaa akawa anapaka madawa ya kulevya kwenye chuchu ili vile vibabau vikinyonya vilewe vilale, yeye anachukua pesa na vitu vya thamani anaondoka na kubadilisha Id mtandaoni. Alifanikiwa kuwaliza wengi, hatimae wakamfahamu.
Mwezi March kuna babu aliomba huduma yake, wakakubaliana akapewa location. Yule babu alikuwa mhanga pia (alishaibiwa na huyo dada, ila dada huwa anajibadilisha mwonekano hivyo anaamini hafahamiki). Yule babu akaandaa vijana watatu akawalipa, dada kafika akaanza michezo na babu kama kawaida, akapewa chuchu akagoma, dada akamwambia yeye bila kunyonya chuchu hisia haziji na hataweza kutoa huduma nzuri, mzee akamwambia nakufahamu ulishaniibia.
Dada akahamaki na kutaka kuondoka, wale vijana wakaingi, kufupisha stori ni kwamba, walimbaka wote watatu, walipolizika wakampa na mbwa wao nae akala mzigo, kibaya zaidi walitumia 0713 na 0756. Kisha wakamchukua wakampeleka shamba la huyo mzee wakampiga risasi na kumtupa kwenye shimo la maji taka.
Mwili wake uligundulika baada ya wiki 3, kuna wenzake walitoa taarifa police, simu yake ikafatiliwa mpaka kwa huyo babu. Japo simu ilitupwa ila mwisho wa kusoma signal ilikuwa kwa huyo mzee maana ni nyumba za nje ya mji mashambani.
Ubalozi ukajulishwa, tukapewa taarifa na ubalozi tukaenda kumtambua huyo dada, ila akatambulika kupitia DNA maana mwili ulishaharibika sana. Mzee akafunguka ukweli wote mpaka sasa kesi inaendele. Hata akifungwa sio shida kwake maana ana miaka 75 sasa. Tamaa sio nzuri.
Kuwa makini ndugu yangu, pesa ni ngumu, sio wote utakaowadhurumu watakusamehe.
Najua mengi sana hapa jf ila sina tabia ya kumuumbua mtu yoyote hata kama anafanya mabaya, ila nitatoa tu tahadhari kwa tafsida sana ili ajijue yeye tu.