Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Status
Not open for further replies.
Nina miaka mingi sana hapa na halijawahi nitokea, itakuwa unawatafuta mwenyewe! Unless unawataja, unakuwa mmoja wao.
Ofcoz kama jambo halijakupata cyo rahisi kuamini ... OK huniamni mmi je? Hata cement za wadau huziamini pia au sisi wote letu ni moja kasoro wew ..... amka usingizini mzee .... pia kama jambo hulijui ukikaa kimya na kutaka kujifunza itakusaidia itakuongezea busara kuliko iviii
 
Tutokomaje maisha ni risk kila mahali.
Mtaani unakutana na pisi kali lkn usiku anajiuza.
Kazini unakutana na mrembo unampenda anakupenda kumbe mke wa tu.
Hakuna nafuu popote mrembo...wewe nisogezee zigo langu😁
huu ujasiri wako ni kama kukumbatia bomu kwa mikono ndugu yangu.. 😂
 
Ofcoz kama jambo halijakupata cyo rahisi kuamini ... OK huniamni mmi je? Hata cement za wadau huziamini pia au sisi wote letu ni moja kasoro wew ..... amka usingizini mzee .... pia kama jambo hulijui ukikaa kimya na kutaka kujifunza itakusaidia itakuongezea busara kuliko iviii

Haijwahi nitokea, na mimi ni very engaging, mnakutana kwenye mambo yenu huko ya kishenzy.
 
Uzi umenougaaaa baraaaaaa!!!
Natamani ningekua najua kuongeaaa na kubishana
mimii walaiiiii jf chaka kubwaaaa

Jf idumuuu🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺
Kwa kifupi nduguzetu upande wa baba wamerest in peace jina la bwana lihimidiwe
Wanaume hamna ndo maana wanachamba had unashangaa huyu mwanaume kweli 😅😅
 
huu ndio mwanzo wa mtu kuvuliwa ubingwa, tusisingizie maisha magumu kuna umbwa moja nilikuwa nachat nayo pm najua ni bint mrembo. Nashtuka baada ya kupitia post zake kwenye nyuzi za mpira nikagundua kuna kitu hakiko sawa kwenye mwandiko wake.
Fakini blal ful yule nikamchana pale pale akajitetea kuwa anashea id na kaka yake. Tangu siku ile sijamuona tena online nahis kabadil id.
Kwamba id zimekua expensive hivyo hadi washee id moja na kaka yake 😅
 
😂😂😂
Ningeamini watu wengine wamepigwa ila siyo wewe National, na ujanja wote huo ndugu yangu..??
Mpaka mshamba_hachekwi kakushinda..!!
🫣🫣🫣 sema ka elfu mbili , mishale mingine ambayo ilikuwa nilikwepa jamani.. ila hapa kweli nilipigwa ... sijui ilikuaje dah.. nilijaa faster kinoma, alikuja na picha picha bomba hatari... huwa natabia ya kuangalia source ya picha ila hapo nilipitiwa dah..
 
Kwa kifupi nduguzetu upande wa baba wamerest in peace jina la bwana lihimidiwe
Wanaume hamna ndo maana wanachamba had unashangaa huyu mwanaume kweli 😅😅
Hahahaahahaaa!! !!
 
Duuuuh JF kumekuchaaaa, sio kwa makomboraa yanayorushwaa leo hapaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikae na [emoji897] kabisaa. Uwiiiiih
 
🫣🫣🫣 sema ka elfu mbili , mishale mingine ambayo ilikuwa nilikwepa jamani.. ila hapa kweli nilipigwa ... sijui ilikuaje dah.. nilijaa faster kinoma, alikuja na picha picha bomba hatari... huwa natabia ya kuangalia source ya picha ila hapo nilipitiwa dah..
Weee mjomba kumbe ni mjanja hivoo ulikwama wapi mjomba wangu lol!!!😁😁😁

Muwe mnachunguzaaa kwanzaaa banduguuu🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣Mbavoooo zangooooo mjomba pullliiizzzzzzzzzzzzzzz 🤣🤣🤣🤣 !! Nacheka hadi nataka kujikojolea hukuuuuuu🤣!!

Sema asavali Hio sio kobwaaa
😅😅😅😅 sena inauma maana siku hiyo niliamshwa kununua vocha ya huku mbili alafu maduka yalikuwa mbali kinomaaa ila nikaenda
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom