Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Naomba summary Half american πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππ ni shwaaaaaaa
Am in
Tulia uje uombwe aftano piemuπππHahaha!. Usinihusishe na mambo ya Yanga tafadhali.
Kabisa hakuna Cha Bure Dunia hiimwalimu wangu aliwahi niambia, 'there is no free lunch'..
the moment umekula cha mtu, usidhani chako kitaliwa na kutu...
Hebu mtoeni laivu ajifunze..kwanza anaombaje ombaje wanaume wenzieHili ni la ukweli kwa 100% lakini haikuwa rahisi kwangu mimi kuingizwa mkenge kirahisi vile, mimi nilimwambia nitamuexpose baadae nikaona itakiwa ni thread ya kimbea ila kwakua umepatikana mwenye uthibutu basi na mimi NAKAZIA.
WANAUME hatutakiwi kujipa uhusika wa kike, ukizaliwa mwanaume pambana tu.
nilipitiwaa shwaaa π π π π sema kuna mwana namjua humu kajikausha ila kapusuliwa parefu zaidi.. π πWeee mjomba kumbe ni mjanja hivoo ulikwama wapi mjomba wangu lol!!!πππ
Muwe mnachunguzaaa kwanzaaa banduguuuπ€£π€£
ndiyo,Naamini hutaniangusha
Baby Aaliyyah u are hurting my moyoπ€¨- si uwakwepe Kama rafiki yangu huyuπππTena mabaharia tukishakula Helazao wanaipiga haswaπ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] sena inauma maana siku hiyo niliamshwa kununua vocha ya huku mbili alafu maduka yalikuwa mbali kinomaaa ila nikaenda
Niache ππππNaomba summary Half american πππ
Hizi pages nyingi dada, sitoboi πππππ
niko hapa nacheka kama vile sina deni..
Sawa tu wew unavoona ni sahihiAah hiyo ni kiuzoefu zaidiπ
π π π πHili ni la ukweli kwa 100% lakini haikuwa rahisi kwangu mimi kuingizwa mkenge kirahisi vile, mimi nilimwambia nitamuexpose baadae nikaona itakiwa ni thread ya kimbea ila kwakua umepatikana mwenye uthibutu basi na mimi NAKAZIA.
WANAUME hatutakiwi kujipa uhusika wa kike, ukizaliwa mwanaume pambana tu.
Nakumbuka vingi beshtie π€£π€£π€£Niache ππππ
Kwani hujawahi kutoa sadaka?
Ninaweza kumjua mwalimu wako tafadhali? Nimenusa harufu ya kamba hapa[emoji1].mwalimu wangu aliwahi niambia, 'there is no free lunch'..
the moment umekula cha mtu, usidhani chako kitaliwa na kutu...
Sikiliza binti.ndiyo,
nitajitahidi, uniombee.
πππ π π π
ungeingizwa mkenge ungekuja kunihadithia eti mubebee?
Halafu wakali haoo..ukiona mwanaume anajionyesha ukali ukali jukwaani ujue ana walakini..huko pembeni ni mdebwedoKwa kifupi nduguzetu upande wa baba wamerest in peace jina la bwana lihimidiwe
Wanaume hamna ndo maana wanachamba had unashangaa huyu mwanaume kweli π π