Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Status
Not open for further replies.
Nina miaka mingi sana hapa na halijawahi nitokea, itakuwa unawatafuta mwenyewe! Unless unawataja, unakuwa mmoja wao.
Ofcoz kama jambo halijakupata cyo rahisi kuamini ... OK huniamni mmi je? Hata cement za wadau huziamini pia au sisi wote letu ni moja kasoro wew ..... amka usingizini mzee .... pia kama jambo hulijui ukikaa kimya na kutaka kujifunza itakusaidia itakuongezea busara kuliko iviii
 
Tutokomaje maisha ni risk kila mahali.
Mtaani unakutana na pisi kali lkn usiku anajiuza.
Kazini unakutana na mrembo unampenda anakupenda kumbe mke wa tu.
Hakuna nafuu popote mrembo...wewe nisogezee zigo langu๐Ÿ˜
huu ujasiri wako ni kama kukumbatia bomu kwa mikono ndugu yangu.. ๐Ÿ˜‚
 

Haijwahi nitokea, na mimi ni very engaging, mnakutana kwenye mambo yenu huko ya kishenzy.
 
Uzi umenougaaaa baraaaaaa!!!
Natamani ningekua najua kuongeaaa na kubishana
mimii walaiiiii jf chaka kubwaaaa

Jf idumuuu๐Ÿ•บ๐Ÿ•บ๐Ÿ•บ๐Ÿ•บ๐Ÿ•บ๐Ÿ•บ๐Ÿ•บ
Kwa kifupi nduguzetu upande wa baba wamerest in peace jina la bwana lihimidiwe
Wanaume hamna ndo maana wanachamba had unashangaa huyu mwanaume kweli ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Kwamba id zimekua expensive hivyo hadi washee id moja na kaka yake ๐Ÿ˜…
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ningeamini watu wengine wamepigwa ila siyo wewe National, na ujanja wote huo ndugu yangu..??
Mpaka mshamba_hachekwi kakushinda..!!
๐Ÿซฃ๐Ÿซฃ๐Ÿซฃ sema ka elfu mbili , mishale mingine ambayo ilikuwa nilikwepa jamani.. ila hapa kweli nilipigwa ... sijui ilikuaje dah.. nilijaa faster kinoma, alikuja na picha picha bomba hatari... huwa natabia ya kuangalia source ya picha ila hapo nilipitiwa dah..
 
Kwa kifupi nduguzetu upande wa baba wamerest in peace jina la bwana lihimidiwe
Wanaume hamna ndo maana wanachamba had unashangaa huyu mwanaume kweli ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Hahahaahahaaa!! !!
 
Duuuuh JF kumekuchaaaa, sio kwa makomboraa yanayorushwaa leo hapaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikae na [emoji897] kabisaa. Uwiiiiih
 
Weee mjomba kumbe ni mjanja hivoo ulikwama wapi mjomba wangu lol!!!๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Muwe mnachunguzaaa kwanzaaa banduguuu๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃMbavoooo zangooooo mjomba pullliiizzzzzzzzzzzzzzz ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ !! Nacheka hadi nataka kujikojolea hukuuuuuu๐Ÿคฃ!!

Sema asavali Hio sio kobwaaa
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… sena inauma maana siku hiyo niliamshwa kununua vocha ya huku mbili alafu maduka yalikuwa mbali kinomaaa ila nikaenda
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ