Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Status
Not open for further replies.
Mimi sijala Hela ya mtu from no where labda mwanaume wangu nae Kwa ratiba zinazoeleweka lakini watu yanwakuta hiv mtu ana wazazi. Huko kijijin akupe Hela yake wew Bure usietaka kufanya kazi huko uyole utegemee nn haipo hiyo Dunia hii
"Usietake kufanya kazi huko Uyole"

Unanisema ujuee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!!
 
Huo ni uzi mwingine Madam.

Mdogo wako Depal alikuwepo usiku huo wa manane. Mods waliufyeka. Ulitunzwa for future use.

Leo ndiyo siku yenyewe.
Nyuzi za hivi hazitakiwi kufutwa, ziachwe ili hao wahuni waumbuliwe kama vipi wapigwe life ban.
Maana huo nao ni utapeli
 
Kumbe humu kuna business as usual....
Poleni mnaokutwa na majanga huko kwenye Piemu zenu..
 
SAS shida iko HV unamuweka mrembo wako uliyembanduaa dp , Avatar alfu njemba linakufta pm anaaza kukutongoza unajiuliza HV mtu hyu Ana ujasiri gani kumtongozaa mtu usiyemfahamu Wala kumuona
,SAS mmoja kanisumbua akijuwa mm Ni manzi nilichomfanya hata kaa anisahau

Anaanza kujiona pesa ndefu
 
Ahahahahahahhahah kuna watu wanasema et wa..... Ndo waliwao
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…