"Usietake kufanya kazi huko Uyole"Mimi sijala Hela ya mtu from no where labda mwanaume wangu nae Kwa ratiba zinazoeleweka lakini watu yanwakuta hiv mtu ana wazazi. Huko kijijin akupe Hela yake wew Bure usietaka kufanya kazi huko uyole utegemee nn haipo hiyo Dunia hii
Katajwaaaa mbna uduguuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtajeni
Huo ni uzi mwingine Madam.Aisee mambo ni mengi muda mchache
Kuomba wanaume wenzie sio issue kwasababu tunajua kukwama kupo siku zote kwenye utafutaji, ila swala la kuja kama wakike ni ushenzi mkubwa kama si dalili za kuwa papai.Hebu mtoeni laivu ajifunze..kwanza anaombaje ombaje wanaume wenzie
Tutafika mbinguni tunaburuzwaAisee mambo ni mengi muda mchache
Hapo Jichanganye umezweee mzima mzima!! hahahaaaBaby Aaliyyah u are hurting my moyoπ€¨- si uwakwepe Kama rafiki yangu huyuπππView attachment 2647803
Tafuta helaMimi hata hizo pm za wadada feki sizipati...nyie mnafanyaje lakini
Nina PhD kwenye hiyo tasnia na unajua kabisa, kuingia mkenge isingekuwa kirahisi vile[emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
ungeingizwa mkenge ungekuja kunihadithia eti mubebee?
Nyuzi za hivi hazitakiwi kufutwa, ziachwe ili hao wahuni waumbuliwe kama vipi wapigwe life ban.Huo ni uzi mwingine Madam.
Mdogo wako Depal alikuwepo usiku huo wa manane. Mods waliufyeka. Ulitunzwa for future use.
Leo ndiyo siku yenyewe.
Hahaha, hivi inawezekanaje?Usimkane tafadhaliπππ
Ulituma sh ngapi?
[emoji1][emoji19][emoji23]
SAS shida iko HV unamuweka mrembo wako uliyembanduaa dp , Avatar alfu njemba linakufta pm anaaza kukutongoza unajiuliza HV mtu hyu Ana ujasiri gani kumtongozaa mtu usiyemfahamu Wala kumuonaHabarini za asubuhi wapendwa natumai mpo poa.
Leo naomba niseme hivi kuna baadhi ya sisi wanaume tumekuwa na tabia ya kujifanya mwanamke yaani ni mshikaji kabisa anakuja PM anajifanya mwanamke ananza kukuomba pesa na virungu vya hapa na pale. Thamani yetu wanaume ni kubwa sana tubadilike. Kwanza unanzaje kama shida ni pesa si uombe members tutakupiga tafu kuliko hiviii[emoji848][emoji848]
[emoji23][emoji23]hahahahaa,
ni wa kiume, mweusi flani hivi mzuri, kapanda hewani....[emoji23][emoji23]
nimekosa mimi, nimekosa sana..
Ahahahahahahhahah kuna watu wanasema et wa..... Ndo waliwaoHili ni la ukweli kwa 100% lakini haikuwa rahisi kwangu mimi kuingizwa mkenge kirahisi vile, mimi nilimwambia nitamuexpose baadae nikaona itakiwa ni thread ya kimbea ila kwakua umepatikana mwenye uthibutu basi na mimi NAKAZIA.
WANAUME hatutakiwi kujipa uhusika wa kike, ukizaliwa mwanaume pambana tu.
Tujibane bane ivoivoo banaaa!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leta bench LA kukaa watu 6 bhana, woiiiiih
Anatuharibia ukike wetu huyo kumbe anakuja kama wa kike...itakua papai kweliKuombe wanaume wenzie sio issue kwasababu tunajua kukwama kupo siku zote kwenye utafutaji, ila swala la kuja kama wakike ni ushenzi mkubwa kama si dalili za kuwa papai.