[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Ulimpigia na kuona sura mkuuu,una uhakika na unalolisema?
Jamaa anujua saikolojia kinoma,utaskia "kama huniamini tuvideocall" ukisema "powa" utaskia "sasa me bando sina basi nitumie bando" sasa na wewe na zile papala zakutaka kuona toto huyo mbio mbio unatuma hela[emoji23]
π π π naanzaje kupigwa banaa weee figo76 ebu njoooUmepigwaaaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumekuchaaaaaaa!!!!!
Apewe maua yakeeee pullliiizzzzzzzzzzzzzzz π€£π€£Umevukaa viwangoo vya kuruka utapeliii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hadi weweππππMtaalam wa Magonjwa ya FIGO nipo hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Apewe maua yakeeee pullliiizzzzzzzzzzzzzzz [emoji1787][emoji1787]
ila buku mbili haina nomaa π π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chezea PM weyeeeeeh. Ni tafrani tupuuu.
Hadi mmefikia hapa umenishwa sana mkuu, sio?πSiku ya kwanza nlimtumia vocha ...... sikunyingine tena akataka nimtumie 50k nikampa sharti la kumpigia video call kwanza ....akachomoa nika vunga .... jana akaniomba tena 150k ..... ndo nka mchana nka mwambia video call hutaki na pesa sikutumii akaona nimemshtukizia ....nikimpigia simu hapokei
Tuishi humohumooooooπ€£π€£π€π€[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chezea PM weyeeeeeh. Ni tafrani tupuuu.
Habarini za asubuhi wapendwa natumai mpo poa.
Leo naomba niseme hivi kuna baadhi ya sisi wanaume tumekuwa na tabia ya kujifanya mwanamke yaani ni mshikaji kabisa anakuja PM anajifanya mwanamke ananza kukuomba pesa na virungu vya hapa na pale. Thamani yetu wanaume ni kubwa sana tubadilike. Kwanza unanzaje kama shida ni pesa si uombe members tutakupiga tafu kuliko hiviiiπ€π€
Flat mtamu sana, asikwambie mtu...unatafuna na mifupaπππNdiyo maana nikatumia neno 'baadhi'...!!ππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pambeeeeeeeTuishi humohumoooooo[emoji1787][emoji1787][emoji2960][emoji2960]
π«£π«£π«£ dah.. kweli mjini ni shidaaMdai hela zako akiappear tu hapa jukwaan mbwa yule,unajua kwann alifuta uzi wake ule wa kuelezea wanaume wanafanya fresh sita kwa sita hujiulizi tu
Hichi kitu muambie bro Shimba ya Buyenze kama atakuelewa..!!πππFlat mtamu sana, asikwambie mtu...unatafuna na mifuoaπππ
Taratibuu basi anko π«£π«£π«£[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe ulipigwaaa kweliiiiiii, tena 2k.
Antonnia ankoliio wako ujanja wake wotee kajaa kwenye mfumo wa Kidney, woiiiiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mtapigwaa sanaa huko PM. chezeaa watu weyeee.Buku 2 hiyo hata omba omba anapewa kiroho safi
Wasukuma asili yao wanapenda:Hichi kitu muambie bro Shimba ya Buyenze kama atakuelewa..!!πππ