Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Status
Not open for further replies.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu basi...Comments zako hapa nacheka mno...
 
Hadi mmefikia hapa umenishwa sana mkuu, sio?πŸ˜‚
 

Nina miaka mingi sana hapa na halijawahi nitokea, itakuwa unawatafuta mwenyewe! Unless unawataja, unakuwa mmoja wao.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe ulipigwaaa kweliiiiiii, tena 2k.
Antonnia ankoliio wako ujanja wake wotee kajaa kwenye mfumo wa Kidney, woiiiiiiii
Taratibuu basi anko 🫣🫣🫣
imeishatokea tugange yajayo 😁😁
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…