Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Dogo utapasukaaaNini sasa πππππ€π€π€π€πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo utapasukaaaNini sasa πππππ€π€π€π€πππ
mimi dume la mbegu πWee dogo ππππ
Hiyo avatar yako nina wasi wasi nayo
Kuna raia mbili humu fundi haswa, ukiwa mroho wa P kisha ukawa na ubongo mzito unajaa... ila sikujua kama kuna watu wengi hivyo alifanikiwa kuwachomoa[emoji23]Sema mtoto ana maneno aiseee
Kuna mtongozo wake mmoja niliuona, alooo mtt alijipanga [emoji1787][emoji2960]
Hiyo inatokea PP π«£
Unajikuta unafall kwa mwandiko tu.
Mtu mzima huwa stishiwi nyauDogo utapasukaaa
usiwaze mwanangu nitakusanua πSiku yakikukuta usisahau kutoa taarifa
Proove tutaamini vipi humu ndani kama wewe ni dume la mbegu mkuumimi dume la mbegu π
Hata uwe na ubongo mdogo lazima ushtuke tu, ndo nashangaa hapa raia walipigwaje vile?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe yeye anajileta kwenu? Mie nikajua nyie mna mfata kupitia nyuzi zake za kujisifiaaa woiiiiiiiii.
Hapo ndo anakwamaa sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Njema sana classmate!!Za mchana majirani
njaa tu mpendwa hujapikaZa mchana majirani
dah, tuishi kinafki tu πProove tutaamini vipi humu ndani kama wewe ni dume la mbegu mkuu
Ni mbili tena π€£Kuna raia mbili humu fundi haswa, ukiwa mroho wa P kisha ukawa na ubongo mzito unajaa... ila sikujua kama kuna watu wengi hivyo alifanikiwa kuwachomoa[emoji23]
πUzi unakimbia mno kuna habari gani π¬πππNjema sana classmate!!
.Kwa sauti ya Putin Carrasco π!
Anawaona makolo ππMs Kidney mwenyewe anawacheki anasema hiiiiiiiiiiiii (in Mwendazake's voice).
Kwakwer tunapoelekea Mungu simamisha Dunia mimi nishuke tuπHabarini za asubuhi wapendwa natumai mpo poa.
Leo naomba niseme hivi kuna baadhi ya sisi wanaume tumekuwa na tabia ya kujifanya mwanamke yaani ni mshikaji kabisa anakuja PM anajifanya mwanamke ananza kukuomba pesa na virungu vya hapa na pale. Thamani yetu wanaume ni kubwa sana tubadilike. Kwanza unanzaje kama shida ni pesa si uombe members tutakupiga tafu kuliko hiviiiπ€π€
Raia wanaelewa basi wakishaona free PHata uwe na ubongo mdogo lazima ushtuke tu, ndo nashangaa hapa raia walipigwaje vile?
Nataka u prove ukishindwa basi wewe..ππππππππππdah, tuishi kinafki tu π
Hahaha!. Uliona maneno matamu ya Miss. Aya, tufanye ni wewe, usingejaa?Anawaona makolo ππ
Kwahiyo shemeji out of 600K unaamini atakuwa ni raia mmoja tu? Hiyo ni organization kabisa [emoji1]Ni mbili tena [emoji1787]
Sio hii tuijuayo
Shemeji una siri wewe!!
Hiyo mbaya sana.Habarini za asubuhi wapendwa natumai mpo poa.
Leo naomba niseme hivi kuna baadhi ya sisi wanaume tumekuwa na tabia ya kujifanya mwanamke yaani ni mshikaji kabisa anakuja PM anajifanya mwanamke ananza kukuomba pesa na virungu vya hapa na pale. Thamani yetu wanaume ni kubwa sana tubadilike. Kwanza unanzaje kama shida ni pesa si uombe members tutakupiga tafu kuliko hiviii[emoji848][emoji848]