Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Status
Not open for further replies.
Sema mtoto ana maneno aiseee
Kuna mtongozo wake mmoja niliuona, alooo mtt alijipanga [emoji1787][emoji2960]

Hiyo inatokea PP 🫣
Unajikuta unafall kwa mwandiko tu.
Kuna raia mbili humu fundi haswa, ukiwa mroho wa P kisha ukawa na ubongo mzito unajaa... ila sikujua kama kuna watu wengi hivyo alifanikiwa kuwachomoa[emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe yeye anajileta kwenu? Mie nikajua nyie mna mfata kupitia nyuzi zake za kujisifiaaa woiiiiiiiii.

Hapo ndo anakwamaa sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata uwe na ubongo mdogo lazima ushtuke tu, ndo nashangaa hapa raia walipigwaje vile?
 
Habarini za asubuhi wapendwa natumai mpo poa.

Leo naomba niseme hivi kuna baadhi ya sisi wanaume tumekuwa na tabia ya kujifanya mwanamke yaani ni mshikaji kabisa anakuja PM anajifanya mwanamke ananza kukuomba pesa na virungu vya hapa na pale. Thamani yetu wanaume ni kubwa sana tubadilike. Kwanza unanzaje kama shida ni pesa si uombe members tutakupiga tafu kuliko hiviiiπŸ€”πŸ€”
Kwakwer tunapoelekea Mungu simamisha Dunia mimi nishuke tu😎
 
Habarini za asubuhi wapendwa natumai mpo poa.

Leo naomba niseme hivi kuna baadhi ya sisi wanaume tumekuwa na tabia ya kujifanya mwanamke yaani ni mshikaji kabisa anakuja PM anajifanya mwanamke ananza kukuomba pesa na virungu vya hapa na pale. Thamani yetu wanaume ni kubwa sana tubadilike. Kwanza unanzaje kama shida ni pesa si uombe members tutakupiga tafu kuliko hiviii[emoji848][emoji848]
Hiyo mbaya sana.
Mwenyezi Mungu atuepushe na majanga haya.
Amiin
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom