Baadhi ya Wanaume wa miaka hii wamekuwa walaini sana sijui huko mbeleni tutakuwa na kizazi cha aina gani

Baadhi ya Wanaume wa miaka hii wamekuwa walaini sana sijui huko mbeleni tutakuwa na kizazi cha aina gani

U
1: watoto wanalelewa na either single parent na hasa mama peke yao or yaya hapa hakuna malezi bali kuangalia asiharibu or kutoroka home but kitabia hakuna kitu.
2: Vyakula vya haraka haraka aka chips and irojo hapa ndio kuna janga kubwa sana huwezi kua na nguvu Kwa kula wanga na mafuta peke yake tena vyakukaanga yaani hawezi kua mkakamavu kamwe.
3: Ushoga ni janga lingine kwani wakiume wamegeuka wakike ndio maana dada/wamama wengi wapo single and hawafikishwi kabisa
4: hawataki kufanya kazi ngumu or hata mazoezi tu ya kutembea yaani boda/bajaji/ vijana hawataki shida unaina hata wasanii wakienda kwenye show hawawezi imba live kwakua hawana mazoezi ya pumzi ya kutosha
Ina maana ushoga unatokana na uliyoyaandika ? Ila kwa tafiti zangu hundred percent

Hapo ni malezi yakikosekana

Na kupata hisia za ushoga

Ndo vyanzo vikuu vya ushoga....
 
Mbona Tik
Hakuna battle nimewahi kuifurahia kama hii, Anko T kiboko bwana!
Ananifurahishaaaaa 😅😅🙌🏾
TikTok kwa moto sana......

Insta sipo account ilihakiwa toka 2022 nkaachana nayo...

Ila naona vita vyao......

Huyu dogo anajitoa akili 😂
 
Mbona Tik

TikTok kwa moto sana......

Insta sipo account ilihakiwa toka 2022 nkaachana nayo...

Ila naona vita vyao......

Huyu dogo anajitoa akili 😂
Mie pia sipo TikTok, naona tu clip instagram.

Huyo ndio kiboko ya Gigy sasa, kasuuzwa akasuuzika. Anko T anachamba kwa classy na facts.
 
Kizazi cha ovyo...ndomana vitoto sahv vinafiln mwanzo mwisho si wakike si wakiume
Mpk kufika 2030 nchi itajaaa mapunga na wasagaji
Naona walichofanya wanafunz wa baobab mmekiona na usemi wangu unatimia
Vitoto vinaflnnn mwanzo mwishoo

Ova
 
1: watoto wanalelewa na either single parent na hasa mama peke yao or yaya hapa hakuna malezi bali kuangalia asiharibu or kutoroka home but kitabia hakuna kitu.
2: Vyakula vya haraka haraka aka chips and irojo hapa ndio kuna janga kubwa sana huwezi kua na nguvu Kwa kula wanga na mafuta peke yake tena vyakukaanga yaani hawezi kua mkakamavu kamwe.
3: Ushoga ni janga lingine kwani wakiume wamegeuka wakike ndio maana dada/wamama wengi wapo single and hawafikishwi kabisa
4: hawataki kufanya kazi ngumu or hata mazoezi tu ya kutembea yaani boda/bajaji/ vijana hawataki shida unaina hata wasanii wakienda kwenye show hawawezi imba live kwakua hawana mazoezi ya pumzi ya kutosha
💯
 
Back
Top Bottom