Huo ndio ukweli, msiwe mnatishwa na machozi ya wanawake hata siku moja.
Mwanamke ni mtu katili sana ambae anaweza kukushangaza matendo yake hadi ukaduwaa!
Fikiria mtu anabeba mimba bila kulazimishwa halafu baadae anaitoa hiyo mimba, au anazaa kabisa baadae kwa mikono yake anayonga na kuua mtoto!
Kiasili mwanaume ameumbwa na huruma sana, mwanaume anaweza kuhudumia mke na watoto miaka kibao hadi anakufa na hautosikia kelele, ukiyumba kidogo kiuchumi upewe sapoti kidogo na mwanamke taarifa zitafika hadi kwa mjumbe wa mtaa, hadi uliosoma nao chekechea watajulishwa haraka sana!
Vitabu vyenu vimeandika tuishi nao Kwa akili kubwa sana.
Mwanamke ni mtu katili sana ambae anaweza kukushangaza matendo yake hadi ukaduwaa!
Fikiria mtu anabeba mimba bila kulazimishwa halafu baadae anaitoa hiyo mimba, au anazaa kabisa baadae kwa mikono yake anayonga na kuua mtoto!
Kiasili mwanaume ameumbwa na huruma sana, mwanaume anaweza kuhudumia mke na watoto miaka kibao hadi anakufa na hautosikia kelele, ukiyumba kidogo kiuchumi upewe sapoti kidogo na mwanamke taarifa zitafika hadi kwa mjumbe wa mtaa, hadi uliosoma nao chekechea watajulishwa haraka sana!
Vitabu vyenu vimeandika tuishi nao Kwa akili kubwa sana.