Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani wewe😬😂😂🙌Na badooooo,
Kanyaga twende mwanamke wa nguvu, tumechelewa sana
Well saidHapo kwenye mwanamke kushindwa kuhudumia familia kama mwanaume wala msiwalaumu ila ni mgawanyo wa majukumu tu ambao upo toka enzi na enzi, mwanamke ana majukumu yake ya nyumbani ambayo anaweza kuyafanya kila siku hadi anazeeka bila kuchoka je naye akipata changamoto ambayo itamfanya ashindwe kutimiza hayo majukumu vipi utaweza kumsaidia hadi atakapoweza tena kuyafanya, kila jinsia ina ukatili wake ila ukatili wa wanawake kwa asilimia kubwa unasababishwa na wanaume ila wanaume ukatili wenu upo toka enzi na enzi wanawake walipokuwa hawana sauti wala uhuru wa kufanya uovu
Halafu kweli, make hata lile tunda lililetwa na nyoka wa kiume 😹Shetani ni mwanaume.
Matukio ya ajabu na ya kikatili hapa duniani yameongozwa na wanaume.
Ndio ndio, sie tukadanganywa tu malaika wa watu🙆♀️Halafu kweli, make hata lile tunda lililetwa na nyoka wa kiume 😹
So wewe unafurahia mauaji yanayoendelea kisa yanafanywa na mwanamke?Na badooooo,
Kanyaga twende mwanamke wa nguvu, tumechelewa sana
shetani(nyoka) alianza kuongea na Hawa kabla ya Adam....baadaye Hawa akamsindikiza shetani(nyoka)sijui waliongea nini huko njiani
Uliyosema hapo ni pure nonsense, kwann?Hapo kwenye mwanamke kushindwa kuhudumia familia kama mwanaume wala msiwalaumu ila ni mgawanyo wa majukumu tu ambao upo toka enzi na enzi, mwanamke ana majukumu yake ya nyumbani ambayo anaweza kuyafanya kila siku hadi anazeeka bila kuchoka je naye akipata changamoto ambayo itamfanya ashindwe kutimiza hayo majukumu vipi utaweza kumsaidia hadi atakapoweza tena kuyafanya, kila jinsia ina ukatili wake ila ukatili wa wanawake kwa asilimia kubwa unasababishwa na wanaume ila wanaume ukatili wenu upo toka enzi na enzi wanawake walipokuwa hawana sauti wala uhuru wa kufanya uovu
Kuna tukio la ajabu zaidi hapa duniani kama kumzamisha mtoto uliyemzaa wewe mwenyew kweny tundu la choo??Shetani ni mwanaume.
Matukio ya ajabu na ya kikatili hapa duniani yameongozwa na wanaume.
Unaijua kichaa cha mimba?Kuna tukio la ajabu zaidi hapa duniani kama kumzamisha mtoto uliyemzaa wewe mwenyew kweny tundu la choo??
Tutakoma 😅😅Huo ndio ukweli, msiwe mnatishwa na machozi ya wanawake hata siku moja.
Mwanamke ni mtu katili sana ambae anaweza kukushangaza matendo yake hadi ukaduwaa!
Fikiria mtu anabeba mimba bila kulazimishwa halafu baadae anaitoa hiyo mimba, au anazaa kabisa baadae kwa mikono yake anayonga na kuua mtoto!
Kiasili mwanaume ameumbwa na huruma sana, mwanaume anaweza kuhudumia mke na watoto miaka kibao hadi anakufa na hautosikia kelele, ukiyumba kidogo kiuchumi upewe sapoti kidogo na mwanamke taarifa zitafika hadi kwa mjumbe wa mtaa, hadi uliosoma nao chekechea watajulishwa haraka sana!
Vitabu vyenu vimeandika tuishi nao Kwa akili kubwa sana.
Unaendeleaje na Hali mkuuJamani wewe😬😂😂🙌
Hizo apologetic excuses nazifahamuUnaijua kichaa cha mimba?
Nyie hamfanyi hayo yote??Mnaua, Mnabaka, mnalawiti, nk nk nk watoto wenu.
Na ngoja nikuelemishe kidogo, hakuna kitu kama kichaa cha mimba, hiko kitu mmetunga ili kujitetea, ni kwamba mwili kipindi cha mimba una produce hormones nyingi, hormones zina-affect mood and emotions, ndo maana mkiwa na mimba mnajikuta mpo moody sana, ila hio haimaanishi una kichaa au kicha cha mimba sijui, acha uongo.Unaijua kichaa cha mimba?