Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Huyo alisema ana body kali hadi wanaume wenzie wanamtolea udenda,,Umewahi shika mimba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo alisema ana body kali hadi wanaume wenzie wanamtolea udenda,,Umewahi shika mimba?
🤣🤣🤣🤣 Malaika wa misukosuko! Jina linasadifu yaliyomo.Asante sana naona kapumzishwa kwa lazima
Tena hiyo misukosuko imkute hadi huko alikojibanza🤣🤣🤣🤣 Malaika wa misukosuko! Jina linasadifu yaliyomo.
Heeeeeeeh tena!! No wonder na kichaa cha mimba anakikataa kitu ambacho wataalamu wanakubali🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️Huyo alisema ana body kali hadi wanaume wenzie wanamtolea udenda,,
Unamaanisha Samia ni mwanamke katili ?Huo ndio ukweli, msiwe mnatishwa na machozi ya wanawake hata siku moja.
Mwanamke ni mtu katili sana ambae anaweza kukushangaza matendo yake hadi ukaduwaa!
Fikiria mtu anabeba mimba bila kulazimishwa halafu baadae anaitoa hiyo mimba, au anazaa kabisa baadae kwa mikono yake anayonga na kuua mtoto!
Kiasili mwanaume ameumbwa na huruma sana, mwanaume anaweza kuhudumia mke na watoto miaka kibao hadi anakufa na hautosikia kelele, ukiyumba kidogo kiuchumi upewe sapoti kidogo na mwanamke taarifa zitafika hadi kwa mjumbe wa mtaa, hadi uliosoma nao chekechea watajulishwa haraka sana!
Vitabu vyenu vimeandika tuishi nao Kwa akili kubwa sana.
Hivi hii compaign ya kuwavisha wanawawake ubaya kiiila kukicha hapa jukwaani ina agenda gani nyuma yake!! Ili wanawake waonekane ni mashetani kisha waoane wao kwa wao au🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️Tena hiyo misukosuko imkute hadi huko alikojibanza
Tungemuombea akipate lakini sasa ndo hata afanyeje hawezi kubeba mimbaHeeeeeeeh tena!! No wonder na kichaa cha mimba anakikataa kitu ambacho wataalamu wanakubali🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Ndo maana yake mi napambana nao kila siku, wivu na ushindani ni mkali sana kwa hii jinsia ya mabibi na mabwanaHivi hii compaign ya kuwavisha wanawawake ubaya kiiila kukicha hapa jukwaani ina agenda gani nyuma yake!! Ili wanawake waonekane ni mashetani kisha waoane wao kwa wao au🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
😄😄😄😄 angalau angeweza kuongea kwa experience.Tungemuombea akipate lakini sasa ndo hata afanyeje hawezi kubeba mimba
Kuna uzi uliwahi anzishwa, sikumbuki jina la member, ulikuwa unasema jf ni kimbilio la mashoga. Akaongelea namna vita ilivyo dhidi ya mwanamke kutoka kwa hao viumbe, maana wanahisi wanawazibia riziki zao. Aaah slishambiliwa na uzi ulifutwa shwaaaa. Ila sasa njoo uzi wa kupondea wanawake, utadumu balaa.Ndo maana yake mi napambana nao kila siku, wivu na ushindani ni mkali sana kwa hii jinsia ya mabibi na mabwana
Jf inafanya kazi kinyume nyume nyakati hizi, mada zisizo na mantiki zipo zinatrend mashoga yapo yanatrend, limebaki jina ila ladha yake inazidi kuishaKuna uzi uliwahi anzishwa, sikumbuki jina la member, ulikuwa unasema jf ni kimbilio la mashoga. Akaongelea namna vita ilivyo dhidi ya mwanamke kutoka kwa hao viumbe, maana wanahisi wanawazibia riziki zao. Aaah slishambiliwa na uzi ulifutwa shwaaaa. Ila sasa njoo uzi wa kupondea wanawake, utadumu balaa.
😂😂😂 biologists in work......Na ngoja nikuelemishe kidogo, hakuna kitu kama kichaa cha mimba, hiko kitu mmetunga ili kujitetea, ni kwamba mwili kipindi cha mimba una produce hormones nyingi, hormones zina-affect mood and emotions, ndo maana mkiwa na mimba mnajikuta mpo moody sana, ila hio haimaanishi una kichaa au kicha cha mimba sijui, acha uongo.
Washazoea kudanganyana😂😂😂 biologists in work......
Utimamu wangu ndo umeniongoza nikujibu kwa medical facts zinazojulikana.Soma vitabu vya kukuelimisha, na uvisome ukiwa na utimamu.
Kwanza kabisa ni wanaume gani hao unaowazungumzia ambao wanasaidia majukumu ya nyumbani au ndio hadi mke awe hoi kitandani, hawa hawa ambao ukiwaambia wasaidie wanasema "sasa nimeoa ili iweje" na mke akisema aweke housegirl unatembea naye kwa kisingizio cha kwamba mke kajisahau kazi zote kamuachia housegirl, kuhusu wanaume kutoka na kupambana na majambazi ni wanaume wangapi wanafanya hivyo siku hizi mbona cases nyingi tunazozisikia ni majambazi kuvamia nyumba na kuwacharanga mapanga familia nzima au wengine kubaka wanawake wanaowakuta humoUliyosema hapo ni pure nonsense, kwann?
Unaposema kusaidia majukumu ya nyumbani, wanaume tunasaidia sana majukumu ya nyumbani sio tuu kukulisha wewe na watoto.
Talaka 80% are initiated by women kwa sababu zisingo za msingi, na sababu kubwa utakuta mwanaume kukwama kiuchumi na utakuta mwanamke hapo amejitapa anaingiza hela viela zaidi ya mumewe bac anamuona mumewe fala haiendani nae tena.
Haya tukija kweny ulemavu uliopatikana ndani ya ndoa, wanawake ndo wanaongoza kuachana na wanaume ambao wamepatwa na majanga/ajali na kuwa walemavu, hii inamaanisha nn kama sio kwamba tangia ulimwengu uumbwe mnajijali nyinyi tuu, a woman only cares about her own welfare, mbona kiwango kikubwa cha wanaume tunabaki kusaidiana majukumu na wake zetu wasiojiweza?
Tukizungmzia ukatili, upo both ways, system za maisha (ambazo kaweka mwanaume huyohuyo) zimemfanya mwanamke kuwa mtu ambaye yupo salama most of the time.
Mwanamke akitaka kutoa mimba kwasababu fulani mnasema "her body her choice" ila mwanaume akimwambia atoe mimba kwasababu hana child support mnaona mnanyanyaswa.
Wanaume wengi wametoa child support kwa watoto ambao sio wao, ikija kuwa proven kwamba hao watoto sio wao, kuna hatua yeyote inachukuliwa kwa huyo mwanamke, je refund ya child support kwa mtoto ambae sio wangu??
Wanaume wengi wapo jela kwa kusingiziwa ubakaji na wamepoteza miaka mingi ya maisha yao, ila wakitoka hao wanawake hawachukuliwi hatua yeyote.
We unadhani the judicial system iko sawa kwa both me and women??
Hakuna wanawake wanapiga wanaume zao?? Wewe ukienda mahakamani kwa kupigwa na mwanaume na mimi mwanamme nikienda mahakamani kwa kupigwa na mke wangu, we unadhani nani atasikilizwa mapema?? We unadhani nani atapewa adhabu kali??
Public Perception ni kitu kibaya sana.
Public Perception imemfanya mwanaume kuonekana kuwa kama mnyama mwenye roho mbaya anayemwonea mwanamke, wakati sio kweli, ukivamiwa na majambazi usiku nani hutoka na kutoa maisha yake kukulinda wewe na watoto?
Utakapo gombana na watu mtaani nani wa kwanza kuja kukusaidia??
Utakapo zimia/ishiwa nguvu ukiwa sehemu yeyote nani wa kwanza kuja kukuinua kukukimbiza hospitali?
Quite the contrary, wanawake hawajaanza kuwa walaghai leo au jana, tokea zamani hayo ni mambo yenu.
Mwanamke hana nguvu, kwaio njia pekee ya kupambana na mwanaume is through innuendo, gossip na reputation destruction, na huwaga hamchukuliwi hatua zozote za kisheria, mkianza kulialia mnasamehewa.
Ngoja niishie hapo kwa leo.