Baadhi ya wanawake ni wakatili kuliko wanaume toka enzi na enzi

Baadhi ya wanawake ni wakatili kuliko wanaume toka enzi na enzi

Kiumbe hatari na kinachoongoza kwa kuua duniani siyo Simba, chui Wala mbu bali ni Mwanamke.

Asilimia 90% ya wanawake , Kila mmoja ana historia ya kuua mtu. Mnaua mimba, watoto Hadi Waume zenu kimya kimya.

Ukienda Machame, Musoma, Mbeya wamiliki wa nyumba ni wanawake maana washawatanguliza Waume zao mbele ya haki.

Na mlivyo smart kwenye mauaji, mara zote mnaonekana hamna hatia.
Aiseee kweli nimeamini wanaume ni either huwa mnajiona innocent au maovu yenu huwa mnayaona madogo, kila siku kuna cases za watu kukabwa na majambazi, kupigwa mapanga hadi kufa, wanawake kubakwa na kuuawa, watoto kulawitiwa hadi kufa, mauaji ya halaiki yanayosababishwa na vita za kiimani au kisiasa nk lakini hayo yote mnayaona madogo ila wanawake kutoa mimba mnaona ndio ishu kubwa ya kushangaza, seriously yani unaacha matukio yote hayo ya kusimamisha dunia unakuja kuongelea habari za machame sijui mbeya what kind of cockamamie argument is this
 
Aiseee kweli nimeamini wanaume ni either huwa mnajiona innocent au maovu yenu huwa mnayaona madogo, kila siku kuna cases za watu kukabwa na majambazi, kupigwa mapanga hadi kufa, wanawake kubakwa na kuuawa, watoto kulawitiwa hadi kufa, mauaji ya halaiki yanayosababishwa na vita za kiimani au kisiasa nk lakini hayo yote mnayaona madogo ila wanawake kutoa mimba mnaona ndio ishu kubwa ya kushangaza, seriously yani unaacha matukio yote hayo ya kusimamisha dunia unakuja kuongelea habari za machame sijui mbeya what kind of cockamamie argument is this
Kwako kutoa mimba siyo mauaji?
 
Sasa kama hayasikiki wewe hizo 90% ulizitoa wapi?

Ukatili wa mwanamke husababishwa na mwanaume, wakati hizo mimba zinatolewa nyie watia mimba mnakuwa wapi?
Ni umalaya wenu na mnategesha mimba makusudi . Unategeshaje mimba bila mipango ya wote wawili? Kati ya mwanamme na mwanamke nani yupo responsible kuzuia mimba isiingie?
 
Kwako kutoa mimba siyo mauaji?
Mnapenda sana kuyafanya maovu yenu yaonekane madogo, kati ya kuua kiumbe ambacho bado hakijaja duniani na kuua binadamu kama wewe kipi kibaya zaidi, ushajiuliza kwanini kisheria hukumu ya kutoa mimba na ya kuua binadamu hazifanani
 
Mnapenda sana kuyafanya maovu yenu yaonekane madogo, kati ya kuua kiumbe ambacho bado hakijaja duniani na kuua binadamu kama wewe kipi kibaya zaidi, ushajiuliza kwanini kisheria hukumu ya kutoa mimba na ya kuua binadamu hazifanani
Ndiyo maana nikasema, nyie ni wauwaji namba moja Hadi Sheria inawatetea kwa sababu ya ustadi wenu mzuri katika mauaji, siyo rahisi kuwagundua.

Na kibaya zaidi, mnaua watu wenu wa karibu na kwa ustadi mkubwa sana
mimba, watoto, Waume zenu. Mkiua mnajiliza Liza ili muonekane hamna hatia.
 
Mkuu uko sahihi!
Lakini hata hivyo Wanawake wana huruma na hofu ndani yao! Just imagine mkeo anakupikia chakula,anakufulia nguo,anakufanyia kazi za nyumba! Anashindwa nini kukuwekea sumu kwenye chakula au kwenye maji ya kuoga?
 
Wewe kwa nini usikatae kutiwa kwa sababu upo kwenye siku zako za hatari?
Nakataaje na umesema tunategesha mimba! Sasa nikikataa nitashikaje mimba🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️
 
Back
Top Bottom