Baadhi ya wanawake ni wakatili kuliko wanaume toka enzi na enzi

Baadhi ya wanawake ni wakatili kuliko wanaume toka enzi na enzi

Na ngoja nikuelemishe kidogo, hakuna kitu kama kichaa cha mimba, hiko kitu mmetunga ili kujitetea, ni kwamba mwili kipindi cha mimba una produce hormones nyingi, hormones zina-affect mood and emotions, ndo maana mkiwa na mimba mnajikuta mpo moody sana, ila hio haimaanishi una kichaa au kicha cha mimba sijui, acha uongo.
Umewahi shika mimba?
 
Huo ndio ukweli, msiwe mnatishwa na machozi ya wanawake hata siku moja.

Mwanamke ni mtu katili sana ambae anaweza kukushangaza matendo yake hadi ukaduwaa!

Fikiria mtu anabeba mimba bila kulazimishwa halafu baadae anaitoa hiyo mimba, au anazaa kabisa baadae kwa mikono yake anayonga na kuua mtoto!

Kiasili mwanaume ameumbwa na huruma sana, mwanaume anaweza kuhudumia mke na watoto miaka kibao hadi anakufa na hautosikia kelele, ukiyumba kidogo kiuchumi upewe sapoti kidogo na mwanamke taarifa zitafika hadi kwa mjumbe wa mtaa, hadi uliosoma nao chekechea watajulishwa haraka sana!

Vitabu vyenu vimeandika tuishi nao Kwa akili kubwa sana.
Ni ukweli mtupu, Mwanamke sio wa kumhurumia
 
Hizo apologetic excuses nazifahamu


Nyie hamfanyi hayo yote??
Si bora mwanaume, we unakaa na mtoto miezi tisa tumboni mwako alaf unamuua?? Una mwagia maji ya moto?? Unamtupia huko kwa bibi ake??
Kuua ni kuua tu hakuna ubora.
 
Kajielimishe zaidi ukiwa hujajifungia ndani ya sanduku.
That's funny, hujaongea chochote wala kutoa majibu ya kueleweka alaf unaniambia mm nikajielemishe, seriously?

I read books everyday.

Sijajua ww unajielemishaje?
 
Hapo kwenye mwanamke kushindwa kuhudumia familia kama mwanaume wala msiwalaumu ila ni mgawanyo wa majukumu tu ambao upo toka enzi na enzi, mwanamke ana majukumu yake ya nyumbani ambayo anaweza kuyafanya kila siku hadi anazeeka bila kuchoka je naye akipata changamoto ambayo itamfanya ashindwe kutimiza hayo majukumu vipi utaweza kumsaidia hadi atakapoweza tena kuyafanya, kila jinsia ina ukatili wake ila ukatili wa wanawake kwa asilimia kubwa unasababishwa na wanaume ila wanaume ukatili wenu upo toka enzi na enzi wanawake walipokuwa hawana sauti wala uhuru wa kufanya uovu
Kiumbe hatari na kinachoongoza kwa kuua duniani siyo Simba, chui Wala mbu bali ni Mwanamke.

Asilimia 90% ya wanawake , Kila mmoja ana historia ya kuua mtu. Mnaua mimba, watoto Hadi Waume zenu kimya kimya.

Ukienda Machame, Musoma, Mbeya wamiliki wa nyumba ni wanawake maana washawatanguliza Waume zao mbele ya haki.

Na mlivyo smart kwenye mauaji, mara zote mnaonekana hamna hatia.
 
Shetani ni mwanaume.

Matukio ya ajabu na ya kikatili hapa duniani yameongozwa na wanaume.
Matukio ya mwanamke hayasikiki na jamii inayafumbia macho. Unadhani kuua mimba ni jambo zuri? Kuua Waume zenu kimya kimya ni jambo zuri?

Mwanamke ndiye kiumbe hatari kwa mauaji hapa duniani.
 
Matukio ya mwanamke hayasikiki na jamii inayafumbia macho. Unadhani kuua mimba ni jambo zuri? Kuua Waume zenu kimya kimya ni jambo zuri?

Mwanamke ndiye kiumbe hatari kwa mauaji hapa duniani.
Sasa kama hayasikiki wewe hizo 90% ulizitoa wapi?

Ukatili wa mwanamke husababishwa na mwanaume, wakati hizo mimba zinatolewa nyie watia mimba mnakuwa wapi?
 
That's funny, hujaongea chochote wala kutoa majibu ya kueleweka alaf unaniambia mm nikajielemishe, seriously?

I read books everyday.

Sijajua ww unajielemishaje?
Soma vitabu vya kukuelimisha, na uvisome ukiwa na utimamu.
 
Pia nature ni katili kwa mwanamke, hivyo wanawake wengi ni helplessness, hii ni sababu kwanini wanawake wengi wana Ego kuliko wanaume, Ego inazalisha ukatili wa mwanamke. Mfano; Mwanamke atakuroga sababu tu hawezu kujisaidia zaidi ya hilo au Mwanamke atakuchukia sababu hawezi kujisaidia na wewe umeshindwa kumsaidia.
 
Back
Top Bottom