Mwanamke anaweza kulia mbele yako, huku moyoni anacheka, ni watu wakatili sana na ndio wanaoharibu kila kituRais Samia kaonyesha ukatili sana jana kwa ile pole ya kinafki
Historia na hata vitabu vitakatifu vina mifano mingi ya wanawake makatili waambao hata waliweza kuwashawishi wafalme wawaue watu wao. Lakini pia wanawake wakiamua kuwa malaghai huwa wanafanya kwa ufanisi mkubwa. Angalia huyu wa kwetu alivyowalaghai watu kuwa eti ameomba ufanyike uchunguzi na taarifa apelekewe, wakati kile kikosi ya watekaji na wauaji, wanachokiita Task Force, kipo chini yake, kinapokea maelekezo toka ikulu, kinawajibika kwake, na kinatoa taarifa kwake kila siku.Rais Samia kaonyesha ukatili sana jana kwa ile pole ya kinafki
Tuendako siko kabisa kila mmoja aseme
Hua wanaukatili wa ajabu sanaUko sahihi kabisa,
Mwanamke akianza kazi hata shetani hugeuka mwanafunzi.
Na vile wetu ni kiziwi, tutazika nguo za watanzania bila kuona miili Yao mpaka tukome.
Waje Kwa utaratibunoma sana.ngoja waje....
Ndo tuheshimiane sasa......๐นHua wanaukatili wa ajabu sana
KabisaCopy iende kwa Queen Nzinga of Ndongo and Matamba Kingdom.....
Au nasema uongo ndugu zangu wa Angola?
๐๐
Historia haiongopi, dhambi na matatizo makubwa duniani chanzo ni ninyi wanawakeNdo tuheshimiane sasa......๐น
Si ndio maana mkapewa angalizo muishi na sisi kwa akili.Historia haiongopi, dhambi na matatizo makubwa duniani chanzo ni ninyi wanawake
Yaani iko hivi ninyi akili hamna na kama zipo hazieleweki kwahiyo tahadhari tulipewa sisi wenye akili tuzitumie maana ninyi hamueleweki dakika mbili mbele Kwa mbeleSi ndio maana mkapewa angalizo muishi na sisi kwa akili.
Cha ajabu mnakua wakaidi mnatuona hatuna akili, utaambiwaje uishi kwa akili na kiumbe kisicho na akili.
Yani mbele yako kuna nyoka halafu kuna kobe inawezekanaje uambiwe chukua tahadhari huko kuna kobe.
Anyway bado hamjasema ๐น
Mwanamke ni kiumbe chenye uwezo na akili sana, tena akili sharp, basi tu nakwambia akili zetu wengi tunazitumia kwenye mambo ya ovyo ovyo......Yaani iko hivi ninyi akili hamna na kama zipo hazieleweki kwahiyo tahadhari tulipewa sisi wenye akili tuzitumie maana ninyi hamueleweki dakika mbili mbele Kwa mbele