Baadhi ya wanawake wana mambo ya ovyo. Ebu mnishauri cha kufanya hapa kabla sijaushangaza ulimwengu

Baadhi ya wanawake wana mambo ya ovyo. Ebu mnishauri cha kufanya hapa kabla sijaushangaza ulimwengu

hamna bro, ili kupunguza HA$IRA bora iwe hivyo. sasa mwanamke una malengo nae na umeWEKEZA vya kutosha kwake, alafu anakufanyia madharau!? kama hayo? kweli? Potelea karibu, acha iwe hivyo.
No sina hasira bro
 
Ujajibu swali mama yako alifunga ndoa na bikra?
Hili sio swali ni kumtukania kama yake.

Wewe masuala ya mapenzi ya mama Yako unayafuatilia hauko sawa kimaadili.

Inaingia akilini hata kujiuliza "hivi mama aliolewa akiwa na Bikra?"
 
Tuliza akili kwanza,hata siku tatu,then mwulize kwanini anakusaliti?,,akikujibu fyongo ndo uchukue maamuzi ya kumuacha,sio vinginevyo,lkn kabla ya hapo kama ulimuoa kihalali kabisa,si vibaya kushirikisha wazazi wake kama wapo au ndugu,then pima mizani kwa kusikiliza pia moyo wako zaidi then fainal uchukua maana ya kuendelea nae au kumuacha.
 
Mike we si Dr mnasema ina effect? 🤔
Dokta upande wetu huu Kaka ni kweli ,ila kuhusu punyeto nimeshindwa kudhibitisha ukweli wa madhara maana wapo niliowaona wakifanya hivyo na wako sawa na wengine hawako sawa hivyo nimejikuta Kati Kati
Napendelea kuhitimisha kwa kusema Ina madhara kwa kiasi Cha upigaji wako hasa Mara ngapi kwa siku na Ina muda gani Ila madhara yatakuandama ikiwa ni final sex pleasure huna mtu kabisa Ila ikiwa unaye mtu hayo madhara sijayaona .

Nb:Mimi sio daktari wa Mambo ya ngono Ila wa virungu na viboko kwa watu wanaojitoa ufahamu wa Mambo katika jamii
 
X wanasaidia sana kwenye ugomvi wa wanandoa 😜wanajua sana kuliwaza 😊
 
Back
Top Bottom