Baadhi ya wanawake wana mambo ya ovyo. Ebu mnishauri cha kufanya hapa kabla sijaushangaza ulimwengu

Baadhi ya wanawake wana mambo ya ovyo. Ebu mnishauri cha kufanya hapa kabla sijaushangaza ulimwengu

Yule ni mwaminifu na mlokole mamboleo 😊 ambae anajitambua na hajapitia mambo mengi ya ujana pia Mimi ndie dream man wake so tuna aniversally nyingi tu..

Simu zangu mbili za smart moja nikifika anaichukua ingia online & everything..sina michepuko so yupo free kwenye simu yangu 😊 Mimi sinaga time na simu yake
Unasema hunaga time na simu yake, ila yeye anachukua ya kwako..!!!

When you see a horse 🐎 coming with nobody on it, Don't rejoice you have gotten a gift. First confirm what happened to the rider..🏇

Uaminifu haupimwi kwa imani tu, lazima uhakikishe na uthibitishe.
 
Hivi hawa wanawake zetu huwa hata wanatuonea huruma kweli jinsi tunavyowahangaikia wao waishi vizuri? Huwa sina kawaida ya kushika simu yake ila sijui nini usiku huu kimenituma niishike na kuikagua. Na hiki ndicho nilichokikuta.

Sijamsemesha chochote mpaka sasa niko macho tu natafakari. Alikuwa anachat na ex wake hapo, kuna mengi nimeyaona kwenye chatting zao lkn hili limenishangaza.

Naomba mnipe busara zenu ebu.

View attachment 3226517View attachment 3226518View attachment 3226519

Halafu jamaa linaonekana linampiga demu pipe vizuri,maana demu anaonekana yuko deep sana kwa jamaa.yaelekea huko nyuma jamaa liliwahi mzingua demu wakashindwana sahivi ndio limerudisha majeshi.
 
Unasema hunaga time na simu yake, ila yeye anachukua ya kwako..!!!

When you see a horse 🐎 coming with nobody on it, Don't rejoice you have gotten a gift. First confirm what happened to the rider..🏇

Uaminifu haupimwi kwa imani tu, lazima uhakikishe na uthibitishe.
Simu yake ipo TU na haina mambo mengi na kikubwa yupo busy na ulezi wa mtoto...moto anapelekewa wa kutosha...sizani Kama Kuna anything fish outside.
Malezi,elimu ,dini, tamaduni hutushepu kuwa vile tulivyo ndio maana tupo tofauti ki tofauti.
 
Halafu jamaa linaonekana linampiga demu pipe vizuri,maana demu anaonekana yuko deep sana kwa jamaa.yaelekea huko nyuma jamaa liliwahi mzingua demu wakashindwana sahivi ndio limerudisha majeshi.
TAMADUNI MUSIC.

Yasikie kwa jirani omba yasikukute all in all binadamu kaumbiwa kusahau.
 
Kosa moja haliachi mke, vumilia ndo ukubwa huo 😹

Cha kufanya wewe mtafute huyo x wake muulize malinda yake anayapenda??

Kugongewa mke kunauma coz umewekeza muda na pesa zako kwake, halafu unakuta kwako chuma mboga hakupi anakwambia mgongo unamuuma, ila kwa ex anabinuka haswaah na anatwerk bila kuombwa 😹😹😹

Nilisahau na ikichomoka kabla hajairudishia kwanza anailamba cone ndo anairudisha..!! 😹😹
Kwako ikichomoka anaacha uirudishie mwenyewe 🤣 OLE WAKO UMUACHE MI NATANIA HAPA 🏃‍♀️
😂😂😂We humtakii mema huyu Mwanamke unataka achomwe kisu.
 
Mpigie Ex wake ampokee wewe mpe nauli aende kwa ex wake . Akiondola make sure harusi tena
 
Yeye hajawahi kusaliti 😹
Atulie ashushe temper walee watoto hao..!!
Ukute hapo ana michepuko kama yote halafu hii Id ipo kwenye ule uzi wa kula tunda kimasihara kama sikosei😂😂😂🤸🏿‍♀️

Hivi Shangazi yako kapotea wapi mbona simuoni tena jukwaani😁
 
Ukute hapo ana michepuko kama yote halafu hii Id ipo kwenye ule uzi wa kula tunda kimasihara kama sikosei😂😂😂🤸🏿‍♀️

Hivi Shangazi yako kapotea wapi mbona simuoni tena jukwaani😁
😹😹 Kumbe?!
Naye wamemlia kimasihara mkewe analalamika nini sasa?? 🤣

Auntie bhana yupo maternity si unajua penzi lilirudi na blessing nyingi 😹😹
Auntie akachukua mimba kwa uwezo wa roho mtaka fujo 🤣
 
Brother usijitese kumbuka amesema "alikuwa anamkazia kipindi ndoa ni changa" kwa ushauri tu ndugu ili usipunguze siku zako za kula raha za dunia hii acha na Hugo mwanamke
 
Dokta upande wetu huu Kaka ni kweli ,ila kuhusu punyeto nimeshindwa kudhibitisha ukweli wa madhara maana wapo niliowaona wakifanya hivyo na wako sawa na wengine hawako sawa hivyo nimejikuta Kati Kati
Napendelea kuhitimisha kwa kusema Ina madhara kwa kiasi Cha upigaji wako hasa Mara ngapi kwa siku na Ina muda gani Ila madhara yatakuandama ikiwa ni final sex pleasure huna mtu kabisa Ila ikiwa unaye mtu hayo madhara sijayaona .

Nb:Mimi sio daktari wa Mambo ya ngono Ila wa virungu na viboko kwa watu wanaojitoa ufahamu wa Mambo katika jamii
Karibu chaman
 
Back
Top Bottom