Hulda-Tamarri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 1,412
- 1,669
🤣🤣🤣Bora wewe kaendelea kukuita mume wengine wana itwa JAMAA ,KAJAMAA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Bora wewe kaendelea kukuita mume wengine wana itwa JAMAA ,KAJAMAA
Mwehu wewe huyo mwenzio acha wamsaidie tu 😂😂Pakada nishakuambia tangu zamani kama hupigwi mashine vizuri ni wewe sio wanawake wote..
So wewe unaamini mke wa huyu mtoa post ana akili sana ila mwamba ndie hampigi mashine si ndio?
Tangu kule nilikuambia inaonekana hupigwi mti ukasikia ndio maana unakuwa hivi..
Feministi yeyote ukimpiga pipe vizuri huwa anajisahau kwa muda kwanza anakuwa wife material na hata anaanza kuwapinga mafeministi wenzake..
Kwahiyo hana mikono analishwa kama mtoto eee! Hivi mtu mzima ukirudi unakuta kila kitu kipo sawa, hivi kama mwanaume kakamilika anaweza kutafuta mtu mwingine? Inamaana hawezi kamilika mpaka awe na mke yaani msaidiziJe Hilo Swali Lako Na Wewe Umejiuliza?
Huyo Mwanamke Anajihudumia Au Anahudumiwa Na Mwamba?
Nani Anaoa? Nani Analipa Mahari?
Kwa Kukusaidia Mwanaume Ni Kama Mzazi Kwa Mwanamke Sijawahi Kuona Mtoto Akimwadhibu Mzazi Ila Kinyume Chake Ndo Sahihi.
Haiwezekani Unafuga Kuku Akupangie Sikukuu Ya Kumchinja!
Malaya ni malaya tu. Malaya baada ya kupata ndoa anarudi kwa malaya wenzake.Mwehu wewe huyo mwenzio acha wamsaidie tu 😂😂
Itakuwa mwenzio aliingia Kwa gia kubwa kumbe haina nguvu 😄😄😄 hata hivyo huyo jamaa yako hana uhakika, nakushauri usikae mbali na mkeo uwe karibu nayeMalaya ni malaya tu. Malaya baada ya kupata ndoa anarudi kwa malaya wenzake.
Kwanini hakuolewa na huyo jamaa anayempiga pipe vizuri?
Soma text za huyo jamaa ndiyo ujue huyo mwanamke ni malaya aliyekubuhu aliyekuwa anafukuzia ndoaItakuwa mwenzio aliingia Kwa gia kubwa kumbe haina nguvu 😄😄😄 hata hivyo huyo jamaa yako hana uhakika, nakushauri usikae mbali na mkeo uwe karibu naye
Nyieee dhambiii 😅😅mchochezi wewe..Kwa wale mnaotaka kujua hii conversation ilikuaje;
Me: "...hahaaa ivi unajua ww una vituko sana?"
Ke: "vituko gan ss bby"
Me: "we kwann ulinikazia sana kule mwanzoni?"
(Hapa weka hiyo msg kwenye uzi)
Me: "ahaa sawaa.. ujue nilianza kuhisi labda unataka kunichinjia baharini!"
Ke: "amnaa.. ilikua ni lazima niweke mazingira vizuri kwanza jamaa asije akashtuka"
Me: "hapo sawa, nimekuelewa. Kwahiyo lini tena tunaonana? "
Ke: "ngoja tuone weekend hii"
Me: "ok"
Ke: "jamaa amerudi, usitume tena msg. Bye"
Me:
Haitamsaidia mzee mwanaume ndo atapoteza amini kwamba so akaushee tuuMzee usichukue huu ushauri, ni wa kike
Kutombw(a) nje ni JAMBO DOGO??Jambo dogo ilo usichukulie kwa ukubwa uho
Hakika mkuu. Tupo pamoja.Hayo ya mwisho ni mambo ya msingi sanaa...mimi huwa naona ndio msingi wa muhimu mno, wanandoa wakikosa hivyo basi lazma mushkeli utokee
Hongera mkuu
Ukisoma hizo meseji, huyo mwanamke alikuwa ana mahusiano kabla hata ya kuingia kwenye ndoa.Mchawi wa mwanaume ni mwanaume mwenzakee..why utongoze mke wa mtuu?.na unajua kbsa kaolewaa?..mabadiliko yanaanza na nyie wanaume...Acheni kudeal na married woman...
Kila kitu kipo sawa bila pesa?Kwahiyo hana mikono analishwa kama mtoto eee! Hivi mtu mzima ukirudi unakuta kila kitu kipo sawa, hivi kama mwanaume kakamilika anaweza kutafuta mtu mwingine? Inamaana hawezi kamilika mpaka awe na mke yaani msaidizi
KawaidaKutombw(a) nje ni JAMBO DOGO??
😳😳😳😳😳
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Tafuta mwamba awe anakukuna vizuri hata kwa wiki mara nne hautakaa uje kubishana na wanaume humu..Mwehu wewe huyo mwenzio acha wamsaidie tu 😂😂
Mkuu inamaana ww hujaoa ? IlaUnaishi na mwanamke ?Hivi mnaoaga mpate Nini ?
Tupe ,tekniki namna ya kuanzisha familia ,n kuchukua demu kuzalsha ,na kulea mtoto alafu no ndoa au vp bro?ushauriKatika generation tuliyopo ndoa ni concept ambayo ishapitwa na wakati. Mwanamke akiitetea ndoa kidogo nitamuelewa kwa sababu inalinda masilahi yake, lakini kwa upande wa mwanaume kwa maisha ya sasa ndoa haina maana tena